Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Yaani tuna unafuu bado kama watu wanaambiana kwa sitara
Ila kwenye mikutano yao huwa wanatuteta nini au huwa wana mambo yao ya kutupiga tu
Na haya wasituambie sisi waambiane nyuma ya Pazia hayatuhusu
Sisi tunataka kujua hawa wanaokula mamilioni na hawafungwi wanalindwa na nani?
6
Ila kwenye mikutano yao huwa wanatuteta nini au huwa wana mambo yao ya kutupiga tu
Na haya wasituambie sisi waambiane nyuma ya Pazia hayatuhusu
Sisi tunataka kujua hawa wanaokula mamilioni na hawafungwi wanalindwa na nani?