Makonda kusuka au kunyoa: Kinana awataka watendaji wafuate muongozo wa Rais kwa kutodhalilisha watendaji hadharani

Makonda kusuka au kunyoa: Kinana awataka watendaji wafuate muongozo wa Rais kwa kutodhalilisha watendaji hadharani

Kanda ya Ziwa ya wapi anakosikilizwa Makonda? Nipo Kanda ya Ziwa, hapa Mwanza, sijawahi kumsikia yeyote akitoa positive comments kwa Makonda. Au hao watu anaowasombasomba kwaajili ya mikutano yake, ndio wamekuwa wawakilishi wa watu wote wa kanda ya Ziwa?

Si Makonda wala si Kinana, mwenye ushawishi Kanda ya Ziwa.
Sasa kama upo ofisi za bavicha muda wote utasikia habari positive juu ya makonda kweli?
 
Kumdhalilisha mtu ni kumtaka afanye kitu ambacho hatakiwi kufanya au kinachochafua utu wake.

Makonda ye anahamasisha utendaji na uwajibikaji bila kuoneana haya. Huyo samia mwenyewe amewashawaambia viongozi wenzie stupid hadharani tena mara mbili.

Kinana anajaribu kufukuzana na Makonda. Kitu ambacho atafeli. Hao kina Kinana walipewa nafasi Makonda akiwa benchi wakadhani wamepewa ulaji. Mwanaume anapiga kazi ndio wanashtuka.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
We ni bwege lisilojitambua
 
Kumdhalilisha mtu ni kumtaka afanye kitu ambacho hatakiwi kufanya au kinachochafua utu wake.

Makonda ye anahamasisha utendaji na uwajibikaji bila kuoneana haya. Huyo samia mwenyewe amewashawaambia viongozi wenzie stupid hadharani tena mara mbili.

Kinana anajaribu kufukuzana na Makonda. Kitu ambacho atafeli. Hao kina Kinana walipewa nafasi Makonda akiwa benchi wakadhani wamepewa ulaji. Mwanaume anapiga kazi ndio wanashtuka.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Wahuni sio sehemu ya mfumo wa nchi
 
Makonda sasa asuke au anyoe, Kinana ametoa kauli kwamba falsafa ya Rais Samia ni kufuata Katiba sheria na kanuni, na kwamba watendaji wasidhalilishwe na viongozi.

Naiona falsafa ya makonda ya kudhalilisha ili apate umaarufu inagonga mwamba, je nini hatma yake?

Atabadili gia angani na kwanza kueneza itikadi ya chama badala ya kutembea huku na kule akidhalilisha watendaji?.

View attachment 2841593
Samia ana akili sana asingekubali ule upuuzi wa Makonda, alifikiri ni km yule mshamba mwenzie?
 
A

Acha ukanda we lofa. Sema washamba wenzie wasukuma, Mara, Kagera usiwaunganishe na ushamba wenu
Kwa hiyo lengo laki kutukana Wasukuma?
Pumbavu zako! Ngoja tuone kati ya Makonda na huyo muuza meno ya tembo nani ni nani?
Yeye wakati anasema mawaziri mzigo alikuwa anazalilisha ama laa?
Mnafiki sana huyo!
 
Ila mbona kama Mzee wetu huyu huwa ana hasira sana na Makonda? Kulikoni? Huwa anaionyesha waziwazi!
 
Hata mama mwenyewe sio mjinga! Kinana ni liability na Makonda ni asset!
Mama mwenyewe anajua kabisa Kinana na Makonda hawaelewani!
 
Kumdhalilisha mtu ni kumtaka afanye kitu ambacho hatakiwi kufanya au kinachochafua utu wake.

Makonda ye anahamasisha utendaji na uwajibikaji bila kuoneana haya. Huyo samia mwenyewe amewashawaambia viongozi wenzie stupid hadharani tena mara mbili.

Kinana anajaribu kufukuzana na Makonda. Kitu ambacho atafeli. Hao kina Kinana walipewa nafasi Makonda akiwa benchi wakadhani wamepewa ulaji. Mwanaume anapiga kazi ndio wanashtuka.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
Blackmail siyo nzuri, tuhuma zichunguzwe, zikiwa na ukweli watuhumiwa washitakiwe mahakamani na hukumu zitolewe kwa haki. Ku black mail watu ni uhaini sio ujanja.
 
Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
Uko timamu kweli? Hoja yangu umelisoma ukailewa kweli? Kwahiyo Komredi Kinana alikuwa anazungumzia habari za kipindi cha Mwamba Jiwe Magufuli? Mbona unachanganya madesa Dogo?
 
Wewe umekuja Duniani jana? Hivi aliyemdhalilisha mkurugenzi wa jiji la Dar hadharani, mbele ya Rais Magufuli, na kisha mzee wa watu kufa ghafla kwa mshtuko, anaitwa nani?
Uko timamu kweli? Hoja yangu umeisoma ukailewa kweli? Kwahiyo Komredi Kinana alikuwa anazungumzia habari za kipindi cha Mwamba Jiwe Magufuli? Mbona unachanganya madesa?
 
Back
Top Bottom