Makonda kutoa mafuta lita 20,000 kwa vyombo vya Ulinzi na Usalama

Hapo matajiri watakamuliwa wapende wasipende
 
Makonda hela anatoa wapi msimkweze
 
Pablo Escobar alijenga hospital, mechi za mtaani na timu ya mtaani aliidhamini vizuri tu alitoa misaada ila yote ni wachache walijua nyuma ya hiyo misaada maana yake nini.

US Department of State huwa hawabahatishi kazi kwenu sasa.
 
Si anaongea na wamiliki wa vituo tu wanampa lita kadhaa, ni kama alivyokarabati magari ya polisi aliongea na watu wa garages tu. Ni CSR fulani kwa wenye makampuni ya mafuta.
Alafu hizo lita kwa mwezi ni ndogo sana kwa watu wa vituo vya mafuto makonda ni genius sema wenzake wanamuonea wivu sana..
Ila anachofanya ndio kinatakiwa kufanya na kila kiongozi.
 
Biashara ya ruzuku? Labda siyo mchaga.
Ajuza CCM inapata zaidi ya 3B za ruzuku, wamepora viwanja vya umma, bado wanapewa pesa na DEDs, wanachukua kwa wafanyabiashara n.k, wamefanya nini? report ya CAG ambaye ni mali ya CCM huwa anawapa hati safi CHADEMA, sijui kwanini huna akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…