technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
amepangwa kumbadili mzee wa kusini "Katelefoni".Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?
Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Sio bure umerogwa ,na aliekuroga kafaKuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?
Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Ni jambo jema!Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?
Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Ikifika hatua iyo basi ,tz tutakua tumerogwa .Nakubali anaweza pewa vyeo vingine sio uspeeker,hapo inakua too much kwamba Ccm nzima hakuna watu stahiki wa kutmikia cheo hicho ambachoBunge litageuka Coco beach
Cha kushangaza makonda yuko na ndoto za kuwa rais wa nchi hiiHata kama anapendwa kiasi gani....hapo hata atambike bila mavazi hawezi pewa..not to that extent [emoji1787][emoji1787][emoji1787]