Tetesi: Makonda Kuwa Spika 2020-2025?

Tetesi: Makonda Kuwa Spika 2020-2025?

Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu kuwalinda Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo yake. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?

Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Hapa naamini unaota...
 
Mawazo kila mtu ana mawazo yawe mabaya au mazuri, nimekumbuka tu jimbo ya lady jdee
 
Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu kuwalinda Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo yake. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?

Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Kwani Job Ndugai kasemaje?
 
Labda kwenye Jamuhuri ya Nyanza sio ta Tanzania hivi Bashite ni wa kukalia Kiti cha Uspika tukiwa hai?
 
Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu kuwalinda Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo yake. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?

Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Cv ni uwezo wako wa kuimba kwaya.
Kama ameweza kuwa RC bila vyeti anashindwa kuwa subwoofer ili waumize na kutesa watu vizuri.
 
Ikifika hatua iyo basi ,tz tutakua tumerogwa .Nakubali anaweza pewa vyeo vingine sio uspeeker,hapo inakua too much kwamba Ccm nzima hakuna watu stahiki wa kutmikia cheo hicho ambacho
ni nyeti ,acheni mzaa taifa haliwezi chezewa kwa kiwango icho ,
Nakataa hakuna cha tetesi ni uongo na uzushi
Ccm ipi,ccm ilishakufa na Nyerere,hii iliuzwa chattle, mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi kwani sumu haionywi
 
Cha kushangaza makonda yuko na ndoto za kuwa rais wa nchi hii
Hivi watu tunafikilia uraisi ni kazi nyepesi,
Sikatai kila mtu anao uwezo wa kuutaka
hata Mimi nautaka maana ni haki kila MTU
kikatiba kama umetimiza vigezo but
Lazima ujipime kweli waweza,mfano
Mimi binafsi nautaka na vigezo vipo ila
Si huwezi.Urais ni mgumu unahitaji
mambo mengi bila kusahau uvumilivu
CHA MSINGI
Nikuelewa tz kwanza na hakuna na
atatokea Mwenye hati miliki ya tz ni jambo
la mda tu tue hai au tumefukiwa maana
twaongea Leo lakini lazima tufe but tz itabaki so yatupasa mahamuz sahii kuhusu
Taifa hili
 
Daa nilikuwa sijacheka siku nzimaa ila hii kiboko[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna uwezekano Makonda kuja kuwekwa kuwa Spika baada ya uchaguzi mwaka huu kama Magufuli atashinda. Ndio maana ile sheria yetu kuwalinda Rais, Spika, Waziri Mkuu na Jaji Mkuu inapitishwa haraka ili kwenda kulinda mambo yake. Mimi najiuliza tu mtu ambaye hana hata course ya sheria anakuwaje Spika?

Je hii kitu wadau imekaaje? bunge litakuwaje chini ya mtu design ya Makonda.
Bungeni yupo AG tayari kutafsiri sheria..sio kazi ya spika kutafsiri sheria hivyo sio lazima asome sheria.
Spika ye anacheza na kanuni tu.
 
Ccm ipi,ccm ilishakufa na Nyerere,hii iliuzwa chattle, mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi kwani sumu haionywi
No Mkuu kinadhalia Wenda ukawa saw a
Ila kihalisia IPO na ndo yaongoza dola but
yote kwa yote bila kupinga mawazo yako
kama hii iko hivyo basi ikitokea na Kwanzaa
haiwezi tokea sijui ila moto wake da .na haiwezi fika huko mark my word
 
Hivi watu tunafikilia uraisi ni kazi nyepesi,
Sikatai kila mtu anao uwezo wa kuutaka
hata Mimi nautaka maana ni haki kila MTU
kikatiba kama umetimiza vigezo but
Lazima ujipime kweli waweza,mfano
Mimi binafsi nautaka na vigezo vipo ila
Si huwezi.Urais ni mgumu unahitaji
mambo mengi bila kusahau uvumilivu
CHA MSINGI
Nikuelewa tz kwanza na hakuna na
atatokea Mwenye hati miliki ya tz ni jambo
la mda tu tue hai au tumefukiwa maana
twaongea Leo lakini lazima tufe but tz itabaki so yatupasa mahamuz sahii kuhusu
Taifa hili
Eti Urais ni kazi ngumu? Kama asemaye Barakola ni sawa na titi LA mwanamke kaweza unadhani kuna atakaye shindwa mwingine?
Labda nchi nyingine lakini sio Tanzania
 
No Mkuu kinadhalia Wenda ukawa saw a
Ila kihalisia IPO na ndo yaongoza dola but
yote kwa yote bila kupinga mawazo yako
kama hii iko hivyo basi ikitokea na Kwanzaa
haiwezi tokea sijui ila moto wake da .na haiwezi fika huko mark my word
Mmiliki wa chama ndie mwenye maamuzi rejea ishu ya manunuzi, chaguzi marejeo,kufukuzwa membe,nk hayakuwa maamuzi ya wanachama,Bali ya mwenye chama.
 
Back
Top Bottom