Hatimaye Mawaziri Vigogo ya Serikali ya Rais Samia ambao ni Profesa Kabudi, William Lukuvi na Kamishna wa mafunzo Jeshi la polisi Awadhi wakutana na Paul Makonda na kufanya kikao kizito na Kamati ya Usalama ya Mkoa Arusha.
Your browser is not able to display this video.
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi (kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi (kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakiwa katika picha ya pamoja walipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Karatu ambapo wakiwa wilayani humo leo Agosti 23, 2024 watafanya shughuli mbalimbali.
Viongozi hao ambao wameongozana na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Awadhi Juma Haji, tayari wamekutana na Kamati ya Usalama ya mkoa wa Arusha. Viongozi hao wanatarajiwa kwenda Ngorongoro kuzungumza na wananchi wa Tarafa ya Ngorongoro.
Hiyo ndio habari kuu inayoendelea kusambaa Nchini kwote na nje ya mipaka ya Tanzania .Ambapo Mwamba Mwenyewe na kijana jasiri kusini mwa jangwa la Sahara Mheshimiwa Paul Christian Makonda ataongoza msafara mzito wa mawaziri wazito na wasomi kwelikweli kuitembelea na kuzungumza na wananchi wa Ngorongoro.
Ambapo katika msafara huo yupo waziri wa katiba na sheria Mheshimiwa Profesa Palamagamba Kabudi. Huyu ni waziri na mhadhiri mstaafu wa chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha sheri.ambaye amewahi kuweka rekodi ya Mwanafunzi bora kabisaa katika Historia ya Taifa letu na huo kikuu cha UDSM .
kwa kupata alama za juu sana katika sheria .narudi kusisitiza kuwa alama za juu katika sheria.maana ukienda katika uchumi yupo Mwamba Mwingine Profesa Ibrahim haluna Lipumba..
Lakini pia katika ziara hiyo yupo pia Waziri Mwingine wa muda mrefu sana na katika awamu tofauti tofauti na aliyekuwa mshauri wa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mheshimiwa William Lukuvi.
Kwa hakika naamini kwa safu hiyo ya magwiji hawa basi wananchi wa Ngorongoro watapigwa Simo zuri mpaka wabakie wanabubujikwa machozi ya furaha bila kukatika utafikiri wamepakwa pilipili machoni.
Kikubwa endelea kubwa hapa hapa jukwaani na kuendelea kuwa karibu yangu ili kuendelea kupata habari motomoto kutoka huko Ngorongoro mkoani Arusha. Tarajieni hotuba nzito nzito kutoka kwa miamba na majabali haya zitakazo teka Nchi
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ndio habari kuu inayoendelea kusambaa Nchini kwote kaeni kwa kutulia nitaendelea kuwaleteeni habari zote kutoka katika mkoa wa Mwamba Mwenyewe wa kaskazini Mheshimiwa Paul Makonda kijana jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi (kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi (kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakiwa katika picha ya pamoja walipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Karatu ambapo wakiwa wilayani humo leo Agosti 23, 2024 watafanya shughuli mbalimbali.
Viongozi hao ambao wameongozana na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Awadhi Juma Haji, tayari
wamekutana na Kamati ya Usalama ya mkoa wa Arusha.
Hatimaye mawaziri vigogo ndani ya Serikali ya Rais Samia. PROFESA Kabudi na Mheshimiwa Lukuvi wakiambatana na kamishna awadhi wakutana na Mkuu Mkoa Arusha Paulo Makonda
Waziri wa Katiba na Sheria Profesa Palamagamba Kabudi (kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi (kulia) pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda wakiwa katika picha ya pamoja walipowasili kwenye ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Karatu ambapo wakiwa wilayani humo leo Agosti 23, 2024 watafanya shughuli mbalimbali.
Viongozi hao ambao wameongozana na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini Awadhi Juma Haji, tayari
wamekutana na Kamati ya Usalama ya mkoa wa Arusha.
Hiyo ndio habari kuu inayoendelea kusambaa Nchini kwote kaeni kwa kutulia nitaendelea kuwaleteeni habari zote kutoka katika mkoa wa Mwamba Mwenyewe wa kaskazini Mheshimiwa Paul Makonda kijana jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara.View attachment 3077170
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ndio habari kuu inayoendelea kusambaa Nchini kwote kaeni kwa kutulia nitaendelea kuwaleteeni habari zote kutoka katika mkoa wa Mwamba Mwenyewe wa kaskazini Mheshimiwa Paul Makonda kijana jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara.View attachment 3077170
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ndio habari kuu inayoendelea kusambaa Nchini kwote kaeni kwa kutulia nitaendelea kuwaleteeni habari zote kutoka katika mkoa wa Mwamba Mwenyewe wa kaskazini Mheshimiwa Paul Makonda kijana jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara.View attachment 3077170
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hiyo ndio habari kuu inayoendelea kusambaa Nchini kwote kaeni kwa kutulia nitaendelea kuwaleteeni habari zote kutoka katika mkoa wa Mwamba Mwenyewe wa kaskazini Mheshimiwa Paul Makonda kijana jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara.View attachment 3077170
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyo keshafanya bila uongozi hawez kuishi yeye anaamin kwenye kupata uongozi ndo maisha yake yaende bahati nzuri hana karma ya uongozi labda ya u content creator