Huwa sheria siyo lazma kuifuata Mara nyingi kama kiongoz ana maneno ya busara yanaweza tumika badala ya sheria ,,maana kuwachapa vboko watu wanao dai kuongezwa mshahara ni utovu wa nidhamu na kukosa adabu kwa viongoz wako ,ni bora usubir wakuongeze wao ww ukiwa kmya nazan ni busara sana kukaa kmya mpka mwajir na viongoz wako watakapoona inafaa ww kuongezwa hako kamshahara.Kwani mikataba ya hao wafanyakazi inasemaje juu ya nyongeza ya mshahara? Je, wa kwake unasemaje?
Huwa sheria siyo lazma kuifuata Mara nyingi kama kiongoz ana maneno ya busara yanaweza tumika badala ya sheria ,,maana kuwachapa vboko watu wanao dai kuongezwa mshahara ni utovu wa nidhamu na kukosa adabu kwa viongoz wako ,ni bora usubir wakuongeze wao ww ukiwa kmya nazan ni busara sana kukaa kmya mpka mwajir na viongoz wako watakapoona inafaa ww kuongezwa hako kamshahara.Mimi angenichapa ningempa ngumi za usoni,Bashite ungetoa vyeti nakwambia walahi.
Ahaaha watz sis ni wanafiki sana bashte mm nna hakika angewachapa tena ukiwa umeshka vidole vy a miguu na uktoka hapo unampigia makof kweny hotuba yake ili ijulikane amefanya jambo Jema..!!Mimi angenichapa ningempa ngumi za usoni,Bashite ungetoa vyeti nakwambia walahi.
Mpaka somo la dini F..na icho ni kipaji ujuekupata FFFFFFF Masomo yote simchezo
Ni hatareeHatari kijana inaonekana ni moja ya watu wenye nguvu sana Tz kwa sasa
Makonda oyeeeeeeeeeee
Yaan ww mi sielew waokulipa kwa huu upupu wamelogwa au la, yaan always ni pumba tu hata penye afya na ustawi wa jamii ww ni upo against.Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Enzi zake zimeshapitwa na wakati na sasa atakuwa anajutia sana matendo aliyo yafanya.View attachment 1769704
"Marufuku kwa watumishi wa serikali kudai nyogeza ya Mshahara"
Anasema walioandamana kudai nyongeza ya Mshahara mei mosi walipaswa kuchapwa viboko.
Nini Maoni yako?
Mumeo siku hizi ni joblesssBora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.
Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?
Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.
Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.
Makonda oyeeeeeeeeeee
Lei anasema watu wanataka kumuua? π€£π€£View attachment 1769704
"Marufuku kwa watumishi wa serikali kudai nyogeza ya Mshahara"
Anasema walioandamana kudai nyongeza ya Mshahara mei mosi walipaswa kuchapwa viboko.
Nini Maoni yako?
Bashite hajui kitu yule. Kwa bahati mbaya sana . Tanzania yyte anaweza kuwa.Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dsm wanapitia kipindi kigumu sana.
Bashite hajui May Mosi ni siku ya kuzungumzia Masuala ya Wafanyakazi sio Wateja wa Wafanyakazi