Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Awamu ijayo itakuwa njema, tuombee tu awe muislam, wao huwa hawabani rizki hadi wanyonge twala
Hili jambo nimelisikia sana likizungumza tena na wakristo wenyewe nahisi lina ukweli ndani yake,mana enzi za mwinyi na mkwere ndio awamu ambazo watu waliishi kwa raha zaidi.
 
Nimekumbuka maneno ya Jen. Ulimwengu
 
Hapo ndio utajuwa vyama vya wafanyakazi ni zero kabisa maana achana na mambo ya mishahara lakini hawakuweza hata kufanya shindikizo huju jamaa aondoke maana kawatukana wote matusi na udhalilishaji wa hali ya juu lakini wako kimya. Hovyo kabisa.
 
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.

Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?

Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.

Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.

Makonda oyeeeeeeeeeee
unajua chochote kuhusu tofauti kati ya human resources na personnel?
unajua chochote juu ya motivation?
unajua chochote juu ya employees engagement?
 
Piga kazi Vice President wetu. Mwaka 2020 huyu atagombea ubunge kwa Kitwanga pale. Na atashinda. Halafu atakuwa PM.

Mtaikumbuka hii post kama tunavyoikumbuka ile ya Pascal Mayalla kuhusu mgombea urais CCM 2015.
 
Hili jambo nimelisikia sana likizungumza tena na wakristo wenyewe nahisi lina ukweli ndani yake,mana enzi za mwinyi na mkwere ndio awamu ambazo watu waliishi kwa raha zaidi.

wanakuta hela hazina, na mipango yote iko sawa, hawafanyi kazi...wanakula bata
 
unajua chochote kuhusu tofauti kati ya human resources na personnel?
unajua chochote juu ya motivation?
unajua chochote juu ya employees engagement?

Ha ha haaaaaaaa

Eeeeeeeeh

Eti unauliza nini wewe.. nakucheka.. hapa ni JF.. pokea ulillopokea sepa..
 
Wendawazimu ndivyo walivyo! Hakuna sheria yoyote ile nchini ambayo inawazuia wafanyakazi kudai nyongeza ya mishahara. Huyu jamaa ni mpuuzi sana.
mtu "" Mwenye sifa ya kufoji vyeti"unadhani anapaswa kuwa vipi mkuu"?? utendaji wake unaakisi kile ambacho kipo katika fikira zake "" hapo ndio kafanya vizuri na kwa mujibu wa CV yake alistahiki pongezi""....haa haha
 
Ha ha haaaaaaaa

Eeeeeeeeh

Eti unauliza nini wewe.. nakucheka.. hapa ni JF.. pokea ulillopokea sepa..
nilijiua hujui ndo.mana ukashadadia ya makonda .kwakuwa ni jf. ndo mana hata wenye akili kama zako nao mnaandika msiyoyajua mkidhani mnamkomoa mtu. tofauti yako na huyo BASHITE ni ndogo sana kama ambavyo hatofautiani na wema sepetu.
utashangilia hata mavi yake tupo hapa
 
Watumishi wa umma poleni sana mtapata tabu sana awamu hii ya tano kila mtu ana ndevu kama ukoo wa panya.
Njooni mjiajiri kuna raha sana kujiajiri.
haha haaa kila mtu ana ndevu"" kama ukoo wa kambale ""
 
Kila lenye mwanzo lina mwisho ndugu Bashite. mwisho wa ubaya ni aibu bashite, your time is coming
 
Ýaani nina mashaka na akili za mashabiki wa Makonda!!

Yaani wapo tayari kushabikia lolote toka mdomoni mwa Makonda hata kama ni la kipumbavu namna gani!

Yeye Makonda ni nani hata awe na mamlaka ya kuzuia wafanyakazi wasitoe dukuduku lao siku ya kazi?!
Yeye ni nani hadi azuie watu kudai haki zao?!
 
Ninawashangaa sana WATEULE wa RAIS wakati wao wakijipatia mishahara minono na magri makubwa ya kifahari ya kutembelea,kujiwekeza pesa za wizi ambazo hao wanaotukanwa wanalazimishwa kuzisighn/kuzitayarisha.

Hawa ndiyo walaji wakubwa wa zile 10% za ujenzi wa miundo mbinu,hawa ndiyo wale watafunaji wa mishahara hewa,hawa ndiyo wale wa kivuko hewa na barabara mbovu.Hawa ndiyo wale wa Ndege ya mwaka 1940??

Wakati anatukana wafanyakazi hawa yeye amejilimbikizia magari yaliyotaifishwa kwa wafanyabiashara wakubwa,ana majumba,anakwenda SA kwa kutumia pesa za drug lords,huyu ndiye aliyeteuliwa na mwenye Kebbys Building pale Mwenge.

Hawa ndiyo wanaona walimu waliotumia vyeti vya wenzao ni wezi kupita wao waliopiga Bilioni nane na kivuko hewa.
hatari sana...nchi hii ingekuwa ni mzazi ingeshatoa radhi kwa vizazi vyake " sio kwa ufisadi huu aiisee
 
Back
Top Bottom