Ninawashangaa sana WATEULE wa RAIS wakati wao wakijipatia mishahara minono na magri makubwa ya kifahari ya kutembelea,kujiwekeza pesa za wizi ambazo hao wanaotukanwa wanalazimishwa kuzisighn/kuzitayarisha.
Hawa ndiyo walaji wakubwa wa zile 10% za ujenzi wa miundo mbinu,hawa ndiyo wale watafunaji wa mishahara hewa,hawa ndiyo wale wa kivuko hewa na barabara mbovu.Hawa ndiyo wale wa Ndege ya mwaka 1940??
Wakati anatukana wafanyakazi hawa yeye amejilimbikizia magari yaliyotaifishwa kwa wafanyabiashara wakubwa,ana majumba,anakwenda SA kwa kutumia pesa za drug lords,huyu ndiye aliyeteuliwa na mwenye Kebbys Building pale Mwenge.
Hawa ndiyo wanaona walimu waliotumia vyeti vya wenzao ni wezi kupita wao waliopiga Bilioni nane na kivuko hewa.