atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Mm na ww nan wa kujiheshimu,ukiambiwa ukweli unaona umekosewa heshima,yaani nyie ndio wale wale mkiambiwa ukweli mnakimbilia kukamata raia,ila hamuwezi kuua mawazo ya watuJiheshimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm na ww nan wa kujiheshimu,ukiambiwa ukweli unaona umekosewa heshima,yaani nyie ndio wale wale mkiambiwa ukweli mnakimbilia kukamata raia,ila hamuwezi kuua mawazo ya watuJiheshimu.
Awamu ijayo itakuwa njema, tuombee tu awe muislam, wao huwa hawabani rizki hadi wanyonge twalaNimekata tamaa
kuna ukweli fulani .anafanya skendo ili aandikwe! wahariri kazeni Uzi! kilaka sana huyu!
Wapo watu wana elimu ya darasa la 7 na wengine hawakusoma lkn wana busara,hekima na heshima.Huyo c......o ni kiburi chake tu na ulimbukeni wa madaraka.Shule inasaidia kuongeza maarifa na akili kichwani, lakini kwa kuwa Bashite ana elimu ya darasa la saba sishangai kwa matamko haya ya kifedhuri dhidi ya watumishi wa Umma
Ridhiwani hajawahi kuwa mjinga kiasi hiki.baada ya ridhiwani sasa ni zamu ya bashite kutesa
Mijeledi inamfanya, punda aendeNimekata tamaa