Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Yaani uncle magu akifanya mengine namuona wa maana ila nikimkumbuka bashite tu namuona zero kabisa, kumuacha huyu kilaza hapa ni aibu kubwa mno.
 
Hawa hawa wafanyakaz ndio kiherehere cha kwenda kuvaa jez za kijan na kushangilia upuuz wa magamba...kiongoz gan anaongea trash hivo...ameshahi kuomba kura yeye?
 
Mahaba unayo wewe,ambaye uko busy kutetea hata upumbavu anaoufanya.
Aaaah Mangi mlisema hamuandiki tena habari za Makonda. Sasa ajabu nyie ndiyo mnazitafuta na kutuletea humu, kama siyo mahaba mazito kwa Makonda mchapakazi, nini hicho mpaka msaliti msimamo wenu?
 
Nyie si mlisema hamtotoa taarifa zake vip leo mmekengeuka alfu hakusema watumishi ila alizungumza na watu baadhi nafikiri ni tbc coz nao wamezidi mapuuza kwakweli mambo muhim ya taifa yakiendelea wao wanaleta vipindi visivyoeleweka ,,,ao sijaona chaajabu ,,hii kiki embu tafuta nyingne wew nyumbuu
 
Aaaah Mangi mlisema hamuandiki tena habari za Makonda. Sasa ajabu nyie ndiyo mnazitafuta na kutuletea humu, kama siyo mahaba mazito kwa Makonda mchapakazi, nini hicho mpaka msaliti msimamo wenu?


Hata shetani mchapa kazi kwa namna yake.Inawezekana huyo unayedhani mchapakazi kumbe ni Jangili tu kama Majangili wenzake waliomo ndani ya chama chake cha Majangili.
 
Mungu huwa anamuadhibu kiumbe chake akiwa hivyo malipo ya huyu mpuuzi atayapata hapahapa
Nyakati Fulani huwa najiuliza hawa waungwana kwenye nyumba za ibada wanaenda kufanya nini!Muumini yeyote huchagua la kuongea,huheshimu waliowazidi umri,lkn Mara nyingi hawa wateule kauli zao zinawaumiza hata wale ambao ki umri ni baba na mama zao.Zamani kabla ya kupewa kadi ya Tanu na baadaye Ccm ilitakiwa uingizwe darasani uimbishwe ahadi za mwana Tanu!Hakika yalikuwa ni mafunzo ambayo ilikuwa si rahisi ukakosa heshima.
 
Acha uongo wewe.

Unadhani mie mnafiki kama wewe??Siwezi kufanya kazi mahali ambapo huwezi kutumia akili yako.Akili unayotunia ni ya akina Bashite.

Hayo matawi ya CCM fanyeni kazi nyingi.
 
Si mlisema kuwa hamtaandika habari zake Paul Makonda?? Sasa imekuwaje hadi mnaanza kumtafuta kijana wa watu? Au zilikuwa hasira tu. Makonda noma, mtake msitake, mtamuandika tu!
Du kumbe mleta mada anamiliki chombo cha habari!!!!
 
Shukrani sana. Baada ya Kikwete niliamini hatatokea Rais mwingine mbovu zaidi kwenye utendaji kama yeye lakini baada ya miezi michache ya huyu dikteta uchwara nikagundua dhana yangu haikuwa sawa hata chembe na ndiyo kwanza mwaka mmoja tu sijui baada ya miaka mitano nchi yetu itakuwa katika hali gani. Usitegemee kuona lolote la maana kutoka sera MUFILISI, kudharau katiba na Bunge na maamuzi ya kukurupuka. Huko lori linakokwenda kuna giza nene sana, lori halina taa wala break na dreva haoni vizuri ana matatizo ya macho hivyo ni MAJANGA TU!

Nafikiri wengi humu tulitaka Raisi aliye kama JPM, na wengi tulimfurahia na tunaendelea kumfurahia.

Waliobadili mawazo juu yake wengi sana hawakutegemea atakuwa nanmisimamo kama hii ambayo zamani ilikuwa ndoto ukifikiria na kusaidia kunyoosha nchi kwenye mengi na pia kutuendeleza "Hapa kazi tu" itakumbukwa milele. Kwa Kikwete na wa kabla yake hatuna la kukumbuka sana labda ile moja ya Mwinyi na haikunikaaaa na ndio maana siikumbuki ninavyoandika.

Kwa awamu hii tunajua laki si pesa imekufa na walio chini nao wanapumua, ealiokuwa wengi juu na dharau zao imesikitisha kuwa walikuea wanatumia njia za mikato na ufisadi ulikomaaa. Hata mtu sasa hivi ukienda kwenye ofisi za umma unajitambua kama mwananchi anayepaswa kuhudumiwa na sio ile ilikuwa mtu unaenda unafikiri sio ofisi ya umma bali ya mtu binafsi.

Itazoeleka tu katika mengi, kuhusu mengine ni wananchi naowana budi kuchangia ujuzi na maarifa kulipaisha taifa letu.

Mh. Magufuli hapendi wavivu na ndio ile ya kila mtu afanye kazi...yaani kila mtu ajiingizie kipato kivyovyote tu awezavyo.

Ni mengi naishia hapa ila kuwa na subira...najua ameumiza wengi hawakutegemea ila wangeishi maisha ya mstarini wasingelalamika hivi na kumchukia wanavyofanya.

Hakuna kurudi nyuma bali kuanza kuzoea kwa mazuri, miaka nane natamani iwe kama miaka 20. Kuna mengi tunasubiri kufaidika mitaani kama beinza vingi kuzidi kushuka watu waambulie kujipaisha.

Lori linataa na hakuna giza mbeleni, Mola analiongoza kuwa na imani meanga uleeee na utazidi kuwepo.

Unaona na viongozi wengi wanafurahia kuwa na uwezo wa kufata sheria bila kuombwa kupindisha kwa sababu ya kupewa bahasha za khaki. Mengi viongozi waliogopa kusema au kufanya awamu hii wanayatenda, na ndio watu hawaishi kulalamika itazoeleka tu. Hakuna mteremko awamu hii

Unajua Magufuli 2020 kama kawa. Na Makonda nae kuzidi kupaa kama kawa, ona anavyojadiliwa humu leo hadi raha.
 
Hapana mie nadhani na Watanzania wengi hatukutaka Rais kama Kikwete bali Rais mwenye kuheshimu utawala wa sheria, mwenye kuona umuhimu mkubwa wa kuipitisha katiba mpya ya rasimu ya Warioba, atakayeheshimu katiba na Bunge, atakayeweka mbele maslahi ya Tanzania na Watanzania, atayekuwa tayari kuwapandisha kizimbani wezi, mafisadi etc bila kujali wadhifa wao wa sasa au uliopita na pia atakayewapenda Watanzania bila kujali itikadi zao na hivyo kutuunganisha Watanzania, lakini huyu aliyekuja ni kinyume kabisa kwenye yote hayo. Kwa kifupi ni MAJANGA MAKUBWA SANA.

Nafikiri wengi humu tulitaka Raisi aliye kama JPM, na wengi tulimfurahia na tunaendelea kumfurahia.

Waliobadili mawazo juu yake wengi sana hawakutegemea atakuwa nanmisimamo kama hii ambayo zamani ilikuwa ndoto ukifikiria na kusaidia kunyoosha nchi kwenye mengi na pia kutuendeleza "Hapa kazi tu" itakumbukwa milele. Kwa Kikwete na wa kabla yake hatuna la kukumbuka sana labda ile moja ya Mwinyi na haikunikaaaa na ndio maana siikumbuki ninavyoandika.

Kwa awamu hii tunajua laki si pesa imekufa na walio chini nao wanapumua, ealiokuwa wengi juu na dharau zao imesikitisha kuwa walikuea wanatumia njia za mikato na ufisadi ulikomaaa. Hata mtu sasa hivi ukienda kwenye ofisi za umma unajitambua kama mwananchi anayepaswa kuhudumiwa na sio ile ilikuwa mtu unaenda unafikiri sio ofisi ya umma bali ya mtu binafsi.

Itazoeleka tu katika mengi, kuhusu mengine ni wananchi naowana budi kuchangia ujuzi na maarifa kulipaisha taifa letu.

Mh. Magufuli hapendi wavivu na ndio ile ya kila mtu afanye kazi...yaani kila mtu ajiingizie kipato kivyovyote tu awezavyo.

Ni mengi naishia hapa ila kuwa na subira...najua ameumiza wengi hawakutegemea ila wangeishi maisha ya mstarini wasingelalamika hivi na kumchukia wanavyofanya.

Hakuna kurudi nyuma bali kuanza kuzoea kwa mazuri, miaka nane natamani iwe kama miaka 20. Kuna mengi tunasubiri kufaidika mitaani kama beinza vingi kuzidi kushuka watu waambulie kujipaisha.

Lori linataa na hakuna giza mbeleni, Mola analiongoza kuwa na imani meanga uleeee na utazidi kuwepo.

Unaona na viongozi wengi wanafurahia kuwa na uwezo wa kufata sheria bila kuombwa kupindisha kwa sababu ya kupewa bahasha za khaki. Mengi viongozi waliogopa kusema au kufanya awamu hii wanayatenda, na ndio watu hawaishi kulalamika itazoeleka tu. Hakuna mteremko awamu hii

Unajua Magufuli 2020 kama kawa. Na Makonda nae kuzidi kupaa kama kawa, ona anavyojadiliwa humu leo hadi raha.
 
]
Tuliishapitisha azimio kwamba habari za mtu huyu zisiandikwe kwenye vyombo vya habari. Sasa vipi tena?
 
Hujui unachoandika,sifa ya kujua kusoma na kuandika inakuhusu
Haya maneno hata kwenye kanga yapo...jaribu kugoma mahali mkono wa makonda unafika!... Viboko vitakuhusu sana wewe......ni viboko tu!. Mtakaa sawa
 
Haya maneno hata kwenye kanga yapo...jaribu kugoma mahali mkono wa makonda unafika!... Viboko vitakuhusu sana wewe......ni viboko tu!. Mtakaa sawa
Makonda ndio waziri wa kazi na ajira!Simple logic inawashinda,tatizo ubashite!Ulitaka mei mosi wafanyakazi waje kuwachekea tu,kama hujui siku hiyo ni maalum kwa ajili ya wafanyakazi,period!Mmekalia ujinga tu,stiff insolent fools!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom