Pre GE2025 Makonda: Mwacheni Mbowe afanye tu harambee za Kanisani, na ili afanikiwe lazima aje kwa Watu wa CCM. Inawezekana ile 150m iliyotoka ilikuwa 200m

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Makonda acha upuuzi ndugu...huo sio ueneze bana mdogo. Unatia kinyaa kwa huu aina ya uenezi wako... This is pathetic!!! Zungumzia matatizo ya watanzania, acha Mbowe akae na siasa zake. By the way we na Mbowe ni mbingu na ardhi, hata robo huingii kwa yule mwamba!!

Eneza mambo ya CCM, mbona unaeneza kuhusu Mbowe unaacha kilichokupeleka Moshi?? Kila siku Mbowe, usipomtaja unawashwa nini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…