Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

"Naitwa Mwanaharakati Huru Cyprian Majura Musiba sijatumwa na mtu yoyote wala chama na serikali"😅
Haya tuone nani atachapisha magazeti "yake" na gharama zake
 
"Naitwa Mwanaharakati Huru Cyprian Majura Musiba sijatumwa na mtu yoyote wala chama na serikali"😅
Haya tuone nani atachapisha magazeti "yake" na gharama zake


Umesahau kuongeza jina "Amagambire".
 
Ni mwendo wa kisasi ili kuwatia adabu hii mikia miwili kwanza baada hapo ndiyo tuijenge nchi, tena tuhakikishe hawa waalifubwawili hawaikimbii nchi
 
Mkonda, Musiba bado wako salama otherwise upinzani ungekuwa ndiyo umeshika hatamu
 
Polepole akafikia hatua eti anaiamrisha Corona. Hata ndio wamemuua Magufuli. Wangemuambia ukweli kuanzia kwenye chama, bungeni na cabinet tusingefika hapa
 
Ngoma nzito iko kwa Musiba ataishi km digdigi!! Anaanza kunuka mavi sasa hivi. Dunia inatisha jamani mweee! Siasa hizi
 
Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu na kumfanya Kinga yake
 
Kwa taarifa fupi tuu soon Makonda atalamba teuzi

Utaniambia,na nitarudi hapa kukumbusha.

...Samia anampenda sana,kwenye bunge la katiba aliwahi kusema yeye ndiye aliyempendekeza awe VP wa kwanza mwanamke Tz.

Mwisho katufute clip ya Makonda akimpendekeza Samia Bungeni.
Hiyo ilikuwa mwaka gani? Makonda imeisha hiyo siyo kwa CCM wala serikali
 
Kama si spwika Professa Assad angerudi alafu akamkague mjomba dotto jemusi,makoonda enzizake,DC saambaya nk. maana kunaela zetu flani hatuelewielewi!!
#mitano kwa Suluhu
 
Back
Top Bottom