Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,976
Hata mm sijaendelea na upupu wakeNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm sijaendelea na upupu wakeNimeishia hapo uliposema kifo Cha magufuli Ni pigo kwa Afrika.Pumbavuuu
Hakuna kitu kama hiko kaka anguWeka akiba ya maneno mkuu, mama samia anamkubali makonda sana na atamrudisha kwenye mfumo
Muda utazungumza boss...tusubiri!Hiyo ni zilipendwa...
Si ndio? Muda utazungumza Chief..waache wabwabwajeKuna watu niliwaambia hawaamini
Wakati ni ukuta
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndege zote tunauza uwanja wa chato tunawapa wasukuma wafugie ngo'mbeKwa tanzania ni neema sana. Washenzi tu hao. Kwanza Account zake zipigwe stop turudishe 1.5T yetu.
😅😅😅[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ndege zote tunauza uwanja wa chato tunawapa wasukuma wafugie ngo'mbe
Bado waovu wamebaki hawaishagi hawa. Moja linakufa lingine linazaliwa.Duh Mambo haya Kuna Mzee Mmoja Nae amekua akinyanyasa sana Watumishi anasema Mambo kibao kwamba yuko karibu na Mkuu.Nae sijui atafanyaje ametesa sana wananzengo pale Ofisi ya Mtumba .
Wanaema utahukumiwa na matendo yako. Acha yamhukum.Ni kweli kabisa kwa mantiki hiyo hilo linajidhihirisha, Marehem aagwe kwa mazuri na mabaya yake pia
Tume ya uchaguzi wote.Muondoe Nape na Gambo kwenye hiyo list.
Kangi Lugola anafaa?Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere...
Makonda wa enzi ya Magufuli hatarudi tena. Narudia, hatarudi tena. Hata akipata uteuzi atakuwa Makonda asiye na nguvu kubwa kama ile aliyokuwa analindwa na walinzi na kutembea na msafara huku kila mtu akimnyenyekeaWeka akiba ya maneno mkuu, mama samia anamkubali makonda sana na atamrudisha kwenye mfumo
Ole Sabaya nimepata tetesi kumhusu
Ole Sabaya nimepata tetesi kumhusu
Wapungeze kuzurula, maana ya wasaidizi inakuwa haina maana tenaHakuna mabadiliko yoyote makubwa ya kiutendaji yatakayofanyika au kuletwa na Bi mkubwa, nite my word.
Jk alimlipia mahari wakati anaenda kuoa manina zakeMusiba huyu anayemtukana Dr JK kila kukicha? Aende akaombe radhi kwanza.
Hatatokea tena mkuu