Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Mi nashauri Mh. Samia amtafute makamu wake ambaye ni mchumi mmbobezi ambaye amtamsaidia kuurudisha uchumi kwenye mstari, lakini mtu mwenye ufahamu wa diplomasia vizuri itamsaidia pia kuurudisha mahusiano na nchi marafiki na mwisho mtu walau mwenye uzoefu wa shughuli za serikali.

Possible candidates include former CAG, former Katibu mkuu kiiongozi Sefue,

Proffesor Mkenda, Mizengo Linda.

Mheshimiwa aepuke kutea makada ambao wanaweka chama mbele na sio taifa
Hizo zote ni takataka
 
Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.

Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao yatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.

Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.

Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.

Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.

RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WAS OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.
Ole Sabaya nimepata tetesi kumhusu
 
Kifo cha rais John Pombe Maguli ni pigo kubwa kwa taifa na Afrika kwa ujumla. Ni rais ambaye amejijengea sifa, maadui hata marafiki. Tanzania, bila unafiki wala kificho itamkumbuka baada ya mwanzilishi wake Mwl Julius Nyerere.

Alikuwa mkweli na muwazi ingawa maradhi yake yalizungukwa na kificho bila sababu ya msingi kana kwamba hakuwa binadamu wa kawaida. Hata hivyo, wakati tukiomboleza, kuna watu saa hizi hawamuombolezi kwa vile wanampenda bali maisha yao yatakuwa hatarini tokana na kujipendekeza kwao wakidhani wangefanikiwa kumtumia.

Ndoto ya Dodoma kuwa makao makuu ya nchi pia imo mashakani. Si vizuri kuongelea urithi wakati hata marehemu hajazikwa. Hata hivyo, urais si mali binafsi, lazima tuanze kufikiri mbele.

Wakati tukifanya hivyo, kuna watu watajuta kuzaliwa na wengine hasa mafisadi waliofichwa mahabusu wanasherehekea na wale waliosaidiwa wanasaga meno. Kati ya hao Daudi Bashite aka Makonda na Msiba Musiba watakuwa na hali ngumu.

Haya ni mawazo yangu kama baba yenu.

RIP JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI. YOU INDEED WAS OPEN AND TRUSTWORTHY FOR YOUR NATION AND PEOPLE.
Ni kweli hayo ni mawazo yako - swali ni, je, kwa nini baadhi yenu mko obsessed na hatma ya Makonda - kawafanyieni kosa gani, mbona mnamfuata fuata na kujaribu kumwaribia sifa kila kona - looking back now naona kinacho wasukuma ni wivu tu, sioni kitu kingine zaidi ya hicho.
 
Kwa mila na desturi zetu marehemu hasemwi vibaya mkuu.
Kuna mila na desturi tunatakiwa kiziacha kwenye hizi zama... mfano kukeketa.... SASA HII YA KUMSIFIA JAMBAZI WAKATI HANA HIZO SIFA NAYO NI YA KUOACHA

Tunatakiwa tu kusema maisha yake yalikuwaje... kama yalikuwa mema, basi tuseme mema yake na likewise, kama yalikuwa fifty fifty nayo tuseme kama yalivyo...
 
Kuna mila na desturi tunatakiwa kiziacha kwenye hizi zama... mfano kukeketa.... SASA HII YA KUMSIFIA JAMBAZI WAKATI HANA HIZO SIFA NAYO NI YA KUOACHA

Tunatakiwa tu kusema maisha yake yalikuwaje... kama yalikuwa mema, basi tuseme mema yake na likewise, kama yalikuwa fifty fifty nayo tuseme kama yalivyo...
Umeongea ukweli, shida ni kwamba watanzania wengi wamekua "brain washed" hata uwaambie vipi hawawezi elewa, watakuona Kama fisadi au mpinzani
 
Makonda anaweza kupata nafasi nyingine unlike Musiba kwa kuwa mama amemsemea vizuri na kuonyesha moyo wa shukrani kwake akiwa kwenye bunge la Katiba.

Japo kwa kweli katika uongozi wake Makonda aliendekeza ubabe, chuki, fitina, uzandiki, majivuno, kujikweza, kutaka kiti Cha juu kupita vimo vya mawinguni na kufanana na aliye juu.

Mama si mtu wa hivyo.

Akiyaacha hayo aweza kuwa kiongozi mzuri na wa mfano mwema.

Musiba asihangaike, kazi yake imeishia hapo.
 
Ambacho hamkifahamu ni kwamba Bashite na Mteule Mama Rais wa nchi ni maswahiba kuliko alivyokuwa na mzee baba wa Chattle hivyo tegemeeni kurudi kwake kwa kishindo, tupo hapa mtakuja kutukumbusha
 
Lile gari ulilo mdhulumu yule Mwarabu Makonda rudisha
Sabaya zile pesa ulizo pora siku unavamia hoteli tunazitaka
Makonda kuna ghorofa anajenga kapri point na Uhuru hapa mza itabidi afuatiliwe mapato TRA kipato chake mpaka akajenga hayo majengo. Salary ya rc ni 6M na DC ni 3M so tuangalie kama ameshapata hizo billions za kujenga ghorofa pia na mapato take yako sawa
 
Back
Top Bottom