Makonda na Ndugai wako chimbo gani?

Makonda na Ndugai wako chimbo gani?

Ndugai nae ana kesi?

Makonda mbonvsa yupo tele amejaa? Ni wajinga tu wa pale ufipa ndio wanaofikiri Makonda kajificha
FB_IMG_1645095684327.jpg


Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Viongozi waandamizi hawa katika Mihimili ya Utendaji na Bunge id est Makonda na Ndugai wako Oldonyo gani kusikoweza kufika mkono wa serikali?

Tundu alikwepa Mahakama hadi Wakili akajiondoa na hadi Mahakama ikafuta shauri je, Makonda naye anaweza kufanikiwa kukwepa Mahakama kwa njia hiyo ya Tundu?

Ndugai anaaminika kuwa nje ya mipaka ya JMT bila taarifa kwa umma, alizuia mishahara ya Tundu kwa kigezo cha utoro je, Bunge nalo leo litatumia vigezo vile vile alivyotumia Ndugai kuzuia mishahara ya Tundu; kuzuia mishahara ya Ndugai ilhali anaonekana kufuata njia ile ile aliyofuata Tundu kisiasa na kufika huko aliko kusikojulikana na anachokifanya ni kwa faida ya nani Bunge au jimbo lake?

Viongozi wote hawa watatu wamewahi kuwa na nyakati ngumu za kukabiliana wao kwa wao katika mambo kadha wa kadha.

Kweli nyota ya alfajiri haikeshi.

View attachment 2129451 View attachment 2129453
Taswira zote kwa hisani ya Google.
eti Tundu alikwepa mahakama....
 
Picha la kitambo hilo enzi hizo anaruhusiwa kukaa msatari wa mbele
Hapana Mkuu. Hii Picha si ya Kitambo,ni Picha iliyopigwa kwenye Msiba wa Dr. Mwele Seaview DSM ambapo Makonda alienda kutoa Pole. M O (Mohamed Dewji) nae alienda kutoa Pole. Sasa linganisha Maeneo ya Picha hizi mbili utaona yanafanana. Kwa hio Picha Hii ya Makonda si ya Kitambo
JamiiForums2006092824.jpg

View attachment 2129665View attachment 2129666
 
Unafuga jibwa then linakuja kujun'gata kigimbi, poleni sana wazee wa legacy, maisha haya yanakwenda kwa kasi saana hakuna aliyetegemea pea hii yaani bashite na Jobo waishi kama digidigi mwituni.
Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!
 
Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!
Wana mali za wizi zote
 
Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!
Wakiwa na stress za kukosa mlo wanafikiri hata kwa kina Mkonda hivyohivyo!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Akiongea kwa njia ya mtandao kupitia mjadala unaoendeshwa kupitia mtandao wa Clubhouse, Pia ndugu Catherine Ruge alisema amedokeza anashangaa watu wakihoji alipo aliyekuwa Spika wa bunge ndugu Job Yustino Ndugai wakati yeye anafahamu kuwa yupo Katika matibabu hospitali ya Apollo nchini India na Kuna ulinzi mkali umeimarishwa katika mahali alipo mgonjwa.

Taarifa za kuugua kwa Ndugai, Catherine Ruge amedai kuwa amezipata kutoka kwa mdogo wake ambaye walikuwa wakitibiwa pamoja katika hospitali hiyo.
 
Back
Top Bottom