Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!