Makonda na Ndugai wako chimbo gani?

Makonda na Ndugai wako chimbo gani?

Na Mwanae anampeleka na kumchukua Shuleni Mwenyewe na Gari yake Nyeusi kila Siku!!
Agenda setting nawaambia hiyo!

Hata Sabaya hatamaliza vifungo vyake, mtaniambia huko tuendako.

Huwezi kutumiwa alafu ukaachwa kuteketea bila msaada (ni gheresha tu).

Hivyo vyombo vinavyomshughulikia vinaongozwa na hao hao waliomtuma Sabaya.
 
Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!
Umeandika ukweli kabisa! Ingawaje ni Tz tu watu wanasifia ufisadi kwa lugha za maua
 
Kazi ipo kwa kweli! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom