Haki itendeke na ionekane inatendekaItakusaidia nini
eti Tundu alikwepa mahakama....Viongozi waandamizi hawa katika Mihimili ya Utendaji na Bunge id est Makonda na Ndugai wako Oldonyo gani kusikoweza kufika mkono wa serikali?
Tundu alikwepa Mahakama hadi Wakili akajiondoa na hadi Mahakama ikafuta shauri je, Makonda naye anaweza kufanikiwa kukwepa Mahakama kwa njia hiyo ya Tundu?
Ndugai anaaminika kuwa nje ya mipaka ya JMT bila taarifa kwa umma, alizuia mishahara ya Tundu kwa kigezo cha utoro je, Bunge nalo leo litatumia vigezo vile vile alivyotumia Ndugai kuzuia mishahara ya Tundu; kuzuia mishahara ya Ndugai ilhali anaonekana kufuata njia ile ile aliyofuata Tundu kisiasa na kufika huko aliko kusikojulikana na anachokifanya ni kwa faida ya nani Bunge au jimbo lake?
Viongozi wote hawa watatu wamewahi kuwa na nyakati ngumu za kukabiliana wao kwa wao katika mambo kadha wa kadha.
Kweli nyota ya alfajiri haikeshi.
Picha la kitambo hilo enzi hizo anaruhusiwa kukaa msatari wa mbeleNdugai nae ana kesi?
Makonda mbonvsa yupo tele amejaa? Ni wajinga tu wa pale ufipa ndio wanaofikiri Makonda kajifichaView attachment 2129619
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ni Mahakama gani ilitoa maamuzi kwamba Makonda ana kesi ya kujibu?Watarudi tu ni kwamba aibu kwa sasa, ila makonda ana kesi ya kujibu mahakamanj
Hapana Mkuu. Hii Picha si ya Kitambo,ni Picha iliyopigwa kwenye Msiba wa Dr. Mwele Seaview DSM ambapo Makonda alienda kutoa Pole. M O (Mohamed Dewji) nae alienda kutoa Pole. Sasa linganisha Maeneo ya Picha hizi mbili utaona yanafanana. Kwa hio Picha Hii ya Makonda si ya KitamboPicha la kitambo hilo enzi hizo anaruhusiwa kukaa msatari wa mbele
Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!Unafuga jibwa then linakuja kujun'gata kigimbi, poleni sana wazee wa legacy, maisha haya yanakwenda kwa kasi saana hakuna aliyetegemea pea hii yaani bashite na Jobo waishi kama digidigi mwituni.
Bashite anaishi maisha magumu snMuda utasema Ila fununu zjnasema mmoja yuko nje ya nchi kwa matibabu mmoja kawa digidigi
Hatari snHapana Mkuu. Hii Picha si ya Kitambo,ni Picha iliyopigwa kwenye Msiba wa Dr. Mwele Seaview DSM ambapo Makonda alienda kutoa Pole. M O (Mohamed Dewji) nae alienda kutoa Pole. Sasa linganisha Maeneo ya Picha hizi mbili utaona yanafanana. Kwa hio Picha Hii ya Makonda si ya KitamboView attachment 2129643
View attachment 2129665View attachment 2129666
Wana mali za wizi zoteHao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!
Mwele kafariki mwaka gani kwani?Picha la kitambo hilo enzi hizo anaruhusiwa kukaa msatari wa mbele
Hapa ni digi digi?Muda utasema Ila fununu zjnasema mmoja yuko nje ya nchi kwa matibabu mmoja kawa digidigi
Wakiwa na stress za kukosa mlo wanafikiri hata kwa kina Mkonda hivyohivyo!Hao wote wanakuzidi maisha wewe pimbi! Ndugai anapata asilimia80% ya mshahara wa Spika mpaka mwisho wa maisha yake!,atajengewa nyumba sehemu atayochagua,mke wake mkurugenzi wa halmashauri,watoto wamepiga kitabu vizuri, anamafao some bilioni!,Makonda anapharmacy kibao, anaapartment Capri point masaki ya mwanza anaardhu ya kutosha kigamboni!,anabiashara na kilimo medium scale,Lisu anapewa matunzo na wazungu,watoto wake wanapata masomo shule nzuri na bado m/mwenyetiki wa CHADEMA! wewe pimbi na ID yako feck unaowaita digidigi!
Na wewe kaibe! nani amekuzuia? Pumbavu!Wana mali za wizi zote
Kwani wanajua kiingerezaLabda wapo Ukraine wanatuliza mzozo..π
Hao ni wezi china tungeshawasahau.Na wewe kaibe! nani amekuzuia? Pumbavu!
Sugar, sijui ngoma ya dansi..vinini vimeamka mkuu, ila kwa namna ambayo amewatendea ubaya wenzake kwa kuwanyima stahiki zao na kuhujumu wengi acha viamke saba mara sabini.
Hii hapa Mkuu!!..tupia ka-photo basi
πππKuna dada anasema Ndugai yupo India, sasa sijui vimeamka tena?