Makonda na usumbufu Jijini Arusha

Makonda na usumbufu Jijini Arusha

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi,

Tangu Makonda ateuliwe Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa ni mtu wa harakati nyingi sana ambazo kwa kiasi kikubwa kawaweka watu busy pasipo sababu za maana.

Makonda alianza na harakati za vipimo (Matibabu) katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Zoezi hili lilileta faraja hasa wananchi wa kipato cha chini.
Zoezi la upimaji halikuwa na karaha kwakuwa lilifanyika sehemu sahihi.

Makonda hapoi kaazisha haraka za nyama choma.Harakati hizi liliambatana na kufungwa baadhi ya barabara maeneo ya Clock Tower kuelekea zilipo ofisi za halimashauri ya Jiji.
Msongamano wa magari na ukosefu mkubwa wa maegesho ya magari ilikuwa karaha kubwa na usumbufu wa kujitakia.

Makonda kanzisha mashindano ya pikipiki ambayo yalisababisha vifo kwakuwa pikipiki zilizotumika katika mashindano hayo hazikuwa na ubora wa kuhimili mashindano.

Makonda kaanzisha tena Land Rover festival akitaka kuweka rekodi iliyokuwa na maana yoyote kwa maisha ya mtanzania.

Makonda tena karejea mchezo wake mchafu wa kufunga barabara maeneo ya Stadium na Kaloleni hakika mji wa Arusha umekuwa mchungu kupitia zoezi hili la kufunga barabara nyingi na kuwaacha wakazi wa Arusha wakimshangaa Makonda na team yake ya wataalamu wasiokuwa na utaalamu.
 
Heshima sana wanajamvi,

Tangu Makonda ateuliwe Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa ni mtu wa harakati nyingi sana ambazo kwa kiasi kikubwa kawaweka watu busy pasipo sababu za maana.

Makonda alianza na harakati za vipimo (Matibabu) katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Zoezi hili lilileta faraja hasa wananchi wa kipato cha chini.
Zoezi la upimaji halikuwa na karaha kwakuwa lilifanyika sehemu sahihi.

Makonda hapoi kaazisha haraka za nyama choma.Harakati hizi liliambatana na kufungwa baadhi ya barabara maeneo ya Clock Tower kuelekea zilipo ofisi za halimashauri ya Jiji.
Msongamano wa magari na ukosefu mkubwa wa maegesho ya magari ilikuwa karaha kubwa na usumbufu wa kujitakia.

Makonda kanzisha mashindano ya pikipiki ambayo yalisababisha vifo kwakuwa pikipiki zilizotumika katika mashindano hayo hazikuwa na ubora wa kuhimili mashindano.

Makonda kaanzisha tena Land Rover festival akitaka kuweka rekodi iliyokuwa na maana yoyote kwa maisha ya mtanzania.

Makonda tena karejea mchezo wake mchafu wa kufunga barabara maeneo ya Stadium na Kaloleni hakika mji wa Arusha umekuwa mchungu kupitia zoezi hili la kufunga barabara nyingi na kuwaacha wakazi wa Arusha wakimshangaa Makonda na team yake ya wataalamu wasiokuwa na utaalamu.
Wewe lazima utakuwa Mrisho Gambo
 
Heshima sana wanajamvi,

Tangu Makonda ateuliwe Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa ni mtu wa harakati nyingi sana ambazo kwa kiasi kikubwa kawaweka watu busy pasipo sababu za maana.

Makonda alianza na harakati za vipimo (Matibabu) katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Zoezi hili lilileta faraja hasa wananchi wa kipato cha chini.
Zoezi la upimaji halikuwa na karaha kwakuwa lilifanyika sehemu sahihi.

Makonda hapoi kaazisha haraka za nyama choma.Harakati hizi liliambatana na kufungwa baadhi ya barabara maeneo ya Clock Tower kuelekea zilipo ofisi za halimashauri ya Jiji.
Msongamano wa magari na ukosefu mkubwa wa maegesho ya magari ilikuwa karaha kubwa na usumbufu wa kujitakia.

Makonda kanzisha mashindano ya pikipiki ambayo yalisababisha vifo kwakuwa pikipiki zilizotumika katika mashindano hayo hazikuwa na ubora wa kuhimili mashindano.

Makonda kaanzisha tena Land Rover festival akitaka kuweka rekodi iliyokuwa na maana yoyote kwa maisha ya mtanzania.

Makonda tena karejea mchezo wake mchafu wa kufunga barabara maeneo ya Stadium na Kaloleni hakika mji wa Arusha umekuwa mchungu kupitia zoezi hili la kufunga barabara nyingi na kuwaacha wakazi wa Arusha wakimshangaa Makonda na team yake ya wataalamu wasiokuwa na utaalamu.
Sasa wewe ulitakaje maana hueleweki.
 
Heshima sana wanajamvi,

Tangu Makonda ateuliwe Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa ni mtu wa harakati nyingi sana ambazo kwa kiasi kikubwa kawaweka watu busy pasipo sababu za maana.

Makonda alianza na harakati za vipimo (Matibabu) katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Zoezi hili lilileta faraja hasa wananchi wa kipato cha chini.
Zoezi la upimaji halikuwa na karaha kwakuwa lilifanyika sehemu sahihi.

Makonda hapoi kaazisha haraka za nyama choma.Harakati hizi liliambatana na kufungwa baadhi ya barabara maeneo ya Clock Tower kuelekea zilipo ofisi za halimashauri ya Jiji.
Msongamano wa magari na ukosefu mkubwa wa maegesho ya magari ilikuwa karaha kubwa na usumbufu wa kujitakia.

Makonda kanzisha mashindano ya pikipiki ambayo yalisababisha vifo kwakuwa pikipiki zilizotumika katika mashindano hayo hazikuwa na ubora wa kuhimili mashindano.

Makonda kaanzisha tena Land Rover festival akitaka kuweka rekodi iliyokuwa na maana yoyote kwa maisha ya mtanzania.

Makonda tena karejea mchezo wake mchafu wa kufunga barabara maeneo ya Stadium na Kaloleni hakika mji wa Arusha umekuwa mchungu kupitia zoezi hili la kufunga barabara nyingi na kuwaacha wakazi wa Arusha wakimshangaa Makonda na team yake ya wataalamu wasiokuwa na utaalamu.
Wananchi wa Arusha wanasemaje?
 
Heshima sana wanajamvi,

Tangu Makonda ateuliwe Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa ni mtu wa harakati nyingi sana ambazo kwa kiasi kikubwa kawaweka watu busy pasipo sababu za maana.

Makonda alianza na harakati za vipimo (Matibabu) katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Zoezi hili lilileta faraja hasa wananchi wa kipato cha chini.
Zoezi la upimaji halikuwa na karaha kwakuwa lilifanyika sehemu sahihi.

Makonda hapoi kaazisha haraka za nyama choma.Harakati hizi liliambatana na kufungwa baadhi ya barabara maeneo ya Clock Tower kuelekea zilipo ofisi za halimashauri ya Jiji.
Msongamano wa magari na ukosefu mkubwa wa maegesho ya magari ilikuwa karaha kubwa na usumbufu wa kujitakia.

Makonda kanzisha mashindano ya pikipiki ambayo yalisababisha vifo kwakuwa pikipiki zilizotumika katika mashindano hayo hazikuwa na ubora wa kuhimili mashindano.

Makonda kaanzisha tena Land Rover festival akitaka kuweka rekodi iliyokuwa na maana yoyote kwa maisha ya mtanzania.

Makonda tena karejea mchezo wake mchafu wa kufunga barabara maeneo ya Stadium na Kaloleni hakika mji wa Arusha umekuwa mchungu kupitia zoezi hili la kufunga barabara nyingi na kuwaacha wakazi wa Arusha wakimshangaa Makonda na team yake ya wataalamu wasiokuwa na utaalamu.
Ndiyo tabia ya viongozi wa afrika. Working hard in their own way. Wapambe watakwambia ni ubunifu
 
Heshima sana wanajamvi,

Tangu Makonda ateuliwe Mkuu wa Mkoa wa Arusha amekuwa ni mtu wa harakati nyingi sana ambazo kwa kiasi kikubwa kawaweka watu busy pasipo sababu za maana.

Makonda alianza na harakati za vipimo (Matibabu) katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid.Zoezi hili lilileta faraja hasa wananchi wa kipato cha chini.
Zoezi la upimaji halikuwa na karaha kwakuwa lilifanyika sehemu sahihi.

Makonda hapoi kaazisha haraka za nyama choma.Harakati hizi liliambatana na kufungwa baadhi ya barabara maeneo ya Clock Tower kuelekea zilipo ofisi za halimashauri ya Jiji.
Msongamano wa magari na ukosefu mkubwa wa maegesho ya magari ilikuwa karaha kubwa na usumbufu wa kujitakia.

Makonda kanzisha mashindano ya pikipiki ambayo yalisababisha vifo kwakuwa pikipiki zilizotumika katika mashindano hayo hazikuwa na ubora wa kuhimili mashindano.

Makonda kaanzisha tena Land Rover festival akitaka kuweka rekodi iliyokuwa na maana yoyote kwa maisha ya mtanzania.

Makonda tena karejea mchezo wake mchafu wa kufunga barabara maeneo ya Stadium na Kaloleni hakika mji wa Arusha umekuwa mchungu kupitia zoezi hili la kufunga barabara nyingi na kuwaacha wakazi wa Arusha wakimshangaa Makonda na team yake ya wataalamu wasiokuwa na utaalamu.

..Makonda amegundua udhaifu wa watu wa Arusha ni nyama choma.
 
Nashangaa Jiji kama jiji halina taratibu za kuendesha shughuli za jiji,Mkuu wa mkoa anaamuwa tu leo barabara fulani ifungwe kwa ajili ya kula nyama,unajiuliza mahotel na mabaa yote kazi yake ni nini? Tunahitaji katiba ili kuondokana na mipango ya watu binafsi.
 
Back
Top Bottom