Mama yake alisema anachangamsha mji,huko vijijini wakulima hawana hata mbegu,watoto wa wao baadhi hata daftari ya sh 700 hawana,yeye ni show za mjini tu!!.Hii nchi bado kuna tatizo kubwa la kufikiri.
Anafikiri siku Moja atakuwa rais wa nchi hii.
Ila kwa sababu ccm ni wajinga wanaweza tuletea kichaa kuongoza.
Mungu atatunusuru kama alivyotunusuru 2021
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.