Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
What else do you expect from form four failure?Katika upokezi wake wa Ukatibu Mwenezi Makonda amesema ataenda kwa Chongolo, Dr Mwinyi na pamoja na viongozi wa bunge la Tanzania kuomba mawazo yao wamwambie wanataka Mwenezi wa namna gani.
Akisema yeye anaweza kuwa mwenezi wa aina yoyote yule wanayemtaka, mnyenyekevu au mkorofi.
Kama wanaenda na upepo,Makonda atafanya hadi kazi za wengine,na inaweza ikaleta mgongano.Ipo ila haifuatwi
Watu wanaenda na upepo
Ni yeye na Chongolo kuelewanaKama wanaenda na upepo,Makonda atafanya hadi kazi za wengine,na inaweza ikaleta mgongano.
Huyu alifaa kuwa mgambo wa jiji tuWhat else do you expect from form four failure?
Kuna mtu alitamba yeye ni jiwe kweli kweli leo hii amebaki skeleton tu 6' ardhiniKatika upokezi wake wa Ukatibu Mwenezi Makonda amesema ataenda kwa Chongolo, Dr Mwinyi na pamoja na viongozi wa bunge la Tanzania kuomba mawazo yao wamwambie wanataka Mwenezi wa namna gani.
Akisema yeye anaweza kuwa mwenezi wa aina yoyote yule wanayemtaka, mnyenyekevu au mkorofi.
Hata Makonda atakufaKuna mtu alitamba yeye ni jiwe kweli kweli leo hii amebaki skeleton tu 6' ardhini
My thoughts exactly.Wawe na job descriptions.
Ndani ya CCM hakuna kitu kama hichoWawe na job descriptions.
Hii ndo Rangi yake kamiliKatika upokezi wake wa Ukatibu Mwenezi Makonda amesema ataenda kwa Chongolo, Dr Mwinyi na pamoja na viongozi wa bunge la Tanzania kuomba mawazo yao wamwambie wanataka Mwenezi wa namna gani.
Akisema yeye anaweza kuwa mwenezi wa aina yoyote yule wanayemtaka, mnyenyekevu au mkorofi.
Atawaharibia snKama wanaenda na upepo,Makonda atafanya hadi kazi za wengine,na inaweza ikaleta mgongano.
CCM ndivyo hufanya hivyo mamno yao kila siku relaxAtawaharibia sn
OkCCM ndivyo hufanya hivyo mamno yao kila siku relax