SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Jifanye kama unajikuna mbele yangu uone kama nitakosea pa kuweka,bwabwa weweIle wew ni kichaa kabisa nishagundua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifanye kama unajikuna mbele yangu uone kama nitakosea pa kuweka,bwabwa weweIle wew ni kichaa kabisa nishagundua
Kibaha Sec alisoma form ngapi huyo Mbowe?Usisahau na Mbowe yupo kundi Hilo Hilo na anamuongoza Lissu na ujanja wake wote! Ahahahahaha!!!
Babu yako yuko hai?Kuna mtu alitamba yeye ni jiwe kweli kweli leo hii amebaki skeleton tu 6' ardhini
Alisoma form one hadi four, Kisha akaenda Ihungo kwa form five hadi six. Lakini ajabu, mwaka aliomaliza form six pale Ihungo jina lake kwenye watahiniwa HALIPO! Ahahahahaha!!!!Kibaha Sec alisoma form ngapi huyo Mbowe?
Kiboko ni elimu ya aliyemteua Makonda. Only God knows.
Katika upokezi wake wa Ukatibu Mwenezi Makonda amesema ataenda kwa Chongolo, Dr Mwinyi na pamoja na viongozi wa bunge la Tanzania kuomba mawazo yao wamwambie wanataka Mwenezi wa namna gani.
Akisema yeye anaweza kuwa mwenezi wa aina yoyote yule wanayemtaka, mnyenyekevu au mkorofi.
Atamnyoosha nani labda, au huyo kupewa mbeleko na vyombo vya Dola ndio kunyoosha?Hata Makonda atakufa
Ila acha awanyooshe kidogo