Makonda: Naweza kuwa Mwenezi yeyote yule mnyeyekevu au mcheza rafu na mkorofi

Mwenye cheo chake kaingia. Sasa itakuwa ni kujadili kauli zake tu. CCM ilimuhitaji sana mtu wa aina hii.
 
Kibaha Sec alisoma form ngapi huyo Mbowe?

Kiboko ni elimu ya aliyemteua Makonda. Only God knows.
Alisoma form one hadi four, Kisha akaenda Ihungo kwa form five hadi six. Lakini ajabu, mwaka aliomaliza form six pale Ihungo jina lake kwenye watahiniwa HALIPO! Ahahahahaha!!!!
 

Takataka ya Samia, uteuzi huu umenifanya nimuone aliyemteua ni hopeless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…