Makonda: Ni kweli likizo yangu ilikuwa kwa sababu nilipewa sumu

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
“Ni Kweli nilipewa Sumu miezi kadhaa ilopita na ni jaribio la Tatu, mbili zilizotangulia ilikuwa nimwagiwe tindikali kabisa ila wakubwa wastaafu wakanipa taarifa mapema” Makonda akijibu swali la Zembwela baada ya kuulizwa uvumi wa kuwa hakuwa likizo ya kawaida bali ilikuwa matibabu…

“Pia watu wanataka kunimaliza kisiasa kwa kuwa wanalipwa kufanya hivyo mitandaoni”

Alisema



 
Kwanini asiache siasa ili awe salama.
 
Km Kwa sumu wameshindwa ,bac jiandae Kwa manati ya mzungu au Kwa ajali ya gari Yako ..

Nyie CCM bila kuuwana hamsikiagia Raha kbs cjui Kwann
 
Kumbe uvumi ulikuwa kweli?
Amshukuru Mungu sana, maana hata Kikwete yuko on record akisema, usiache glasi yako ya maji mezani unapokwenda maliwatoni.
 
Makonda ni most wanted na hao mafisadi,. Huwa hampendi kabisa, kwasbb anawapiga spana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…