Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washenzi sana hao wastaafu. Wnawashwa washwa. Nilitaka afe mwanaharamu huyuilikuwa nimwagiwe tindikali kabisa ila wakubwa wastaafu wakanipa taarifa mapema”
Kicki“Ni Kweli nilipewa Sumu miezi kadhaa ilopita na ni jaribio la Tatu, mbili zilizotangulia ilikuwa nimwagiwe tindikali kabisa ila wakubwa wastaafu wakanipa taarifa mapema” Makonda akijibu swali la Zembwela baada ya kuulizwa uvumi wa kuwa hakuwa likizo ya kawaida bali ilikuwa matibabu…
“Pia watu wanataka kunimaliza kisiasa kwa kuwa wanalipwa kufanya hivyo mitandaoni”
Alisema
View attachment 3155423
Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi? Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu. Britanicca.www.jamiiforums.com
Duh。。。!。Tuna manabii wengi wa majanga kuliko tunavyojidhania Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!Washenzi sana hao wastaafu. Wnawashwa washwa. Nilitaka afe mwanaharamu huyu
Ni mzee wenu Kinana.NYIE NDIYO WAHUNI WENYEWE MNAOMPA SUMU NA MMESHINDWA SHETANI HAJAWAHI KUFAULU HATA SIKU MOJA MNA ROHO ZA AJABU SANA NYIE WEHU
Umekua mjinga sasa hivi. Hakuna sehemu makonda amesema hiko ambacho umeandika“Ni Kweli nilipewa Sumu miezi kadhaa ilopita na ni jaribio la Tatu, mbili zilizotangulia ilikuwa nimwagiwe tindikali kabisa ila wakubwa wastaafu wakanipa taarifa mapema” Makonda akijibu swali la Zembwela baada ya kuulizwa uvumi wa kuwa hakuwa likizo ya kawaida bali ilikuwa matibabu…
“Pia watu wanataka kunimaliza kisiasa kwa kuwa wanalipwa kufanya hivyo mitandaoni”
Alisema
View attachment 3155423
Tetesi: - Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu
Mtoto pendwa yuko hoi sana sana sana yaani hoi, inasemekana yuko kwa Madiba, je ni hali ya kawaida au kuna cha zaidi? Nimekumbuka beirut na kupotea kwa Saa 9 kwa kuliwa na Chatu. Britanicca.www.jamiiforums.com
Muongo huyo hakuna sehemu makonda kasema alipewa sumu. Aliulizwa Hilo swali akasema alienda likizo akawa kimya kwa sababu mbalimbaliKumbe uvumi ulikuwa kweli?
Amshukuru Mungu sana, maana hata Kikwete yuko on record akisema, usiache glasi yako ya maji mezani unapokwenda maliwatoni.