Makonda: Ni kweli likizo yangu ilikuwa kwa sababu nilipewa sumu

Kicki
 
Umekua mjinga sasa hivi. Hakuna sehemu makonda amesema hiko ambacho umeandika
Hakuna aliposema alipewa sumu. Kila kitu kilikua live na pia zipo clip za hiyo event yote. Acha kuchota watu akili sababu tu pengine hawakufatilia
 
Kumbe uvumi ulikuwa kweli?
Amshukuru Mungu sana, maana hata Kikwete yuko on record akisema, usiache glasi yako ya maji mezani unapokwenda maliwatoni.
Muongo huyo hakuna sehemu makonda kasema alipewa sumu. Aliulizwa Hilo swali akasema alienda likizo akawa kimya kwa sababu mbalimbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…