Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Hivi hapo mwamba anakuwa Makonda au maagizo anayopewa na serikali kuyafanya? Tuwe tunafikiria kidogo kuepuka kuonekana watupu kichuani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya kijinga. Kwa hivyo Makonda kapewa ukuu wa Mkoa kupambana na Lema?Na Godbless na kidomodomo chake sasa, mi ntapenda😀😀😀😆
Na bado mtamwita Hadi Rais wa kusini.Kua rais wa Kaskazini ,mbona pasi nzuri tu hio
Siyo Lema tu, Cdm nzma, maana huko ndiko iliko ngome kuu.Nchi ya kijinga. Kwa hivyo Makonda kapewa ukuu wa Mkoa kupambana na Lema?
Kusini kazi kwisha sahv,,akabinye kwanza wavuta bange wa chuga,..kusini na mamoshi yao kazi kwishaNa bado mtamwita Hadi Rais wa kusini.
wewe umo kwenye hilo kundi la wajinga...? 😂😂Taifa limejaa wajinga sana hili
kitaumanaNa Godbless na kidomodomo chake sasa, mi ntapenda😀😀😀😆