Pre GE2025 Makonda: Ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli wangenyooka hawa

Pre GE2025 Makonda: Ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli wangenyooka hawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)


"Mimi ni Mwenezi ninaebadilika kutokana na mazingira, ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli chuma wale jamaa wangenyooka.

"Sasa Kipindi hiki na mimi najaribu kuwa na kauli za mama, Mama mstaarabu, unatamani kupiga panch lakini unasema mhhh, mama sio mapigo yake haya. Sasa kwa upendo huo kwanini tumuonee mama wa watu? Kwanini tuchafue heshima ya Taifa hili?

"Kwanini na sisi ttuwe Taifa la Maandamano kama wenzetu Wakenya mpaka wanakosa watalii?"


Ameyasema hayo Mwenezi Makonda kwenye ziara yake Moshi, Kilimanjaro.
Ukishakula nyama za watu hutaacha (J.K.Nyerere)
 
Kiukweli makonda ni mtu sahihi katika nafasi hiyo ya uenezi.. ameongea something that sound maana maandamano Yana madhara makubwa sana ikiwemo katk sector ya utalii kama alivyosema lkn pia itavuruga amani ya nchi kwa kias chake hivyo hatuna budi watanzania kuachanà na maandamano na badala yake tukailinda amani ya taifa letu ... Ni jukumu letu sote kuilinda aman haijalishi ni member wa chama gani .. pongezi ziende kwake Makonda ,hakikaaa ingekuwa ni enzi za uncle angewanyoosha💪
Ila yeye kwenye hizo ziara zake Kuna maandamano na Bado watalii wanakuja. Au watalii wanaogopa maandamano ya wapinzani tu?
 


"Mimi ni Mwenezi ninaebadilika kutokana na mazingira, ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli chuma wale jamaa wangenyooka.

"Sasa Kipindi hiki na mimi najaribu kuwa na kauli za mama, Mama mstaarabu, unatamani kupiga panch lakini unasema mhhh, mama sio mapigo yake haya. Sasa kwa upendo huo kwanini tumuonee mama wa watu? Kwanini tuchafue heshima ya Taifa hili?

"Kwanini na sisi ttuwe Taifa la Maandamano kama wenzetu Wakenya mpaka wanakosa watalii?"


Ameyasema hayo Mwenezi Makonda kwenye ziara yake Moshi, Kilimanjaro.
Alipaswa kuwa lupango huyu
 
Kau;li za kizamani na kishamba sana hizi!
Watu hushindana kwa hoja na sio kwa maguvu ya kutegemea dola!
Mliharibu sana maisha ya watu, damu zilimwagika na watu walipotea (ie Ben Sanane!)
Anyway, hakuna damu ambayo itapotea bure bila Mungu kujibu.
 


"Mimi ni Mwenezi ninaebadilika kutokana na mazingira, ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli chuma wale jamaa wangenyooka.

"Sasa Kipindi hiki na mimi najaribu kuwa na kauli za mama, Mama mstaarabu, unatamani kupiga panch lakini unasema mhhh, mama sio mapigo yake haya. Sasa kwa upendo huo kwanini tumuonee mama wa watu? Kwanini tuchafue heshima ya Taifa hili?

"Kwanini na sisi ttuwe Taifa la Maandamano kama wenzetu Wakenya mpaka wanakosa watalii?"


Ameyasema hayo Mwenezi Makonda kwenye ziara yake Moshi, Kilimanjaro.
Huyu pimbi bado kidogo tu ataropoka namna walivyokuwa wanateka na kuua wakosoaji kama Ben Saanane.

Ukisikia Zerobrain ndiyo TAKATAKA kama hii
 
Back
Top Bottom