Pre GE2025 Makonda: Ningeteuliwa kuwa Mwenezi kipindi cha Magufuli wangenyooka hawa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukishakula nyama za watu hutaacha (J.K.Nyerere)
 
Ila yeye kwenye hizo ziara zake Kuna maandamano na Bado watalii wanakuja. Au watalii wanaogopa maandamano ya wapinzani tu?
 
Alipaswa kuwa lupango huyu
 
Kau;li za kizamani na kishamba sana hizi!
Watu hushindana kwa hoja na sio kwa maguvu ya kutegemea dola!
Mliharibu sana maisha ya watu, damu zilimwagika na watu walipotea (ie Ben Sanane!)
Anyway, hakuna damu ambayo itapotea bure bila Mungu kujibu.
 
Huyu pimbi bado kidogo tu ataropoka namna walivyokuwa wanateka na kuua wakosoaji kama Ben Saanane.

Ukisikia Zerobrain ndiyo TAKATAKA kama hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…