Makonda: Nitasimamia harusi za Lemutuz, Lulu na Meya wa Kinondoni

Kweli Tanzania ina mengi ya kufurahisha nchi nyingine watasubiri sana kutufikia
 
Umri wa kulea wajukuu yeye ndio anaoa binti mbichi wa miaka chini ya 30 si anatafuta lawama kwa vijana wapaka Puturu?
 
Sisi tunawaza hela ya kula japo mlo mmoja wao wanawaza harusi za kifahari tena kiongozi wa serikali huyu hana huruma na kodi zetu
Kwan hizo harusi zitagharamikiwa na serikali?
 
I don't know Lemutuz personally but I find some comments about him to be very mean and utterly sadistic. It's high time some people got over this gentleman.
 
Ajiandae kisaikolojia Pia kuishi Na 'kufuniko cha peni'
Aisee watu mna maneno acha kabisa.

Ila kifuniko cha peni' huwa hakipwai kwenye kalamu. Na bidada kakipendea hiko hiko kwan hata uwe na muwa kama hujui kutumia ni sawa na huna kitu
 
Huwa tunasema uandish wa habar ni sauti ya watu......
Sasa kama mwandishi swali lake la muhimu ni akimuuliza Rc kuhusu kuwepo wa harusi ya lulu na majay unategemea jamii imepaziwe sauti gani zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…