johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwahiyo leo chama chetu kimemtuma akaeneze haya?Mwenezi wa CCM komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea Ili mosi amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia
"Rais Samia alilibeba Jina Langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za Chura akiamini Nitamsaidia Kazi" amesema Komredi Makonda
Chanzo: Jambo TV
Imani ilienda wapi Kwani? Na Lini? Maana Kila siku mnajisifia Yale yaleMakonda anarudisha imani ya chama kwa wananchi kwa mtindo wa kusikiliza kero za wananch. ' BIG UP MAKONDA'
Shujaa: Sitawaacha ninyi yatima 😂Makonda anarudisha imani ya chama kwa wananchi kwa mtindo wa kusikiliza kero za wananch. ' BIG UP MAKONDA'
Shujaa: Nitawaletea Msaidizi 😂😂Imani ilienda wapi Kwani? Na Lini? Maana Kila siku mnajisifia Yale yale
Naunga mkono hoja, sisi washauri wa bure, tuliisha mshauri awapuuze tuu hao chura na kelele zao kisimani, aendelee kuteka maji. Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .Mwenezi wa CCM komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea Ili mosi amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia
"Rais Samia alilibeba Jina Langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za Chura akiamini Nitamsaidia Kazi" amesema Komredi Makonda
Chanzo: Jambo TV
Uenezi wa CHAMA au binafsi ... lolMwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV
Shetani anahimiza aombewe ili atende kazi yake ya uharibifu kwa ustadi mkubwa.Mwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV
Serikali ya Marekani ilikurupuka kumwekea zuio la kuingia US kwa sababu ya rekodi yake ya kuvunja Haki za Binadamu?Naunga mkono hoja, sisi washauri wa bure, tuliisha mshauri awapuuze tuu hao chura na kelele zao kisimani, aendelee kuteka maji. Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
P
Drama queen
SawaMwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.
"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.
Jambo TV