Makonda: Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi. Viongozi wa Dini mniombee!

Makonda: Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi. Viongozi wa Dini mniombee!

Sasa yeye anaita wenzake chura,. Akiitwa yeye atasema anatukanwa. Bashite hovyo kabisa.
Mwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.

"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.

Jambo TV
 
Mwenezi wa CCM Komredi Makonda amewaomba Viongozi wa Dini wazidi kumuombea ili mosi, amuheshimishe Mungu wa Mbinguni na pili, atimize majukumu ambayo Rais Samia anaamini atamsaidia.

"Rais Samia alilibeba jina langu na kuingia nalo Kamati Kuu bila kujali kelele za chura akiamini nitamsaidia kazi," amesema Komredi Makonda.

Jambo TV
Msamiati mpya..
KAMATI KUU YA CCM NI VYURA ISIPOKUWA RAIS?

MATUSI YA MAKONDA YATAJIBIWA
 
Makonda anarudisha imani ya chama kwa wananchi kwa mtindo wa kusikiliza kero za wananch. ' BIG UP MAKONDA'

Anasikiliza kero kwa cheo gani?. Ila Tanzania tunajiendea Kwenye kata Kuna afisa elimu, afisa Afya , afisa mazingira etc, lakini unamsubiria Katibu Mwenezi aje asikilize kero za wananchi. Tupo nyuma Sana.
 
Back
Top Bottom