inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Unapenda kuandika insha,hukufunzwa kuandika muhtasari!?Mimi ni voicer of the Voiceless!
Nipo humu kitambo
sana,
Nimeongea sababu inakera kuona vijana kwa maelfu nchi hii,akili zao hazina uwezo wa kujenga sera badala yake tumebaki kurudia rudia vitu visivyoweza kubadili yaliyokwishstokea.
Twendeni tukajenge hoja vijana!
Twende tukawaelimishe wananchi madhara ya itawala wa CCM hadharani.
Twende tukwaeleze madhara ya ufisadi wa CCM.
Twende tukawaeleze madhara ya mikopo isiyo ratibiwa vizuri?
Tunakaa kugombana na Marehemu.
Tunakaa kuwatumia Marehemu kama mitaji yetu ya kisiasa?
Till when?¿
Tume Kama hii iliundwa afrika kusini na rwanda,lipi la uzito huo lililotokea hapa tz!?..maridhiano baina ya nani na nani!?..suluhisho la madai yako ni kuundwa kwa Tume ya Ukweli, Haki, na Maridhiano.
Makaburi unamaanisha nn maisha ya ben saanane tusahau hivi hivi ?? Hii tutalipa tuu tena mwaka huuACHA KUFUKUA MAKABURI MKUU MAISHA YENYEWE MAGUMU
Tume Kama hii iliundwa afrika kusini na rwanda,lipi la uzito huo lililotokea hapa tz!?..maridhiano baina ya nani na nani!?
Huu upuuzi mzee..maridhiano baina ya Watanzania wenyewe.
..Kuna matendo ya kikatili na kinyama yaliyofanywa na serikali dhidi ya wananchi.
..Kwa mfano, wapo Watanzania waliofia wakiwa mikononi mwa vyombo vya dola.
Makonda analindwa na Samia kwa sababu anazozijua yeye. Isingekuwa hilo ungekuta ameshafikishwa mahakamani siku nyingi. Huyu mshenzi ana madhambi mengi sana alitenda wakati wa Magufuli.Kwa upande mwingine hata Serikali ilitakiwa itoe taarifa rasmi. Huyu Makonda kuna taarifa iliwahi kutolewa na Serikali ya US kuwa haruhusiwi kuingia nchini Marekani kwa sababu anakiuka haki za binadamu kwa kuwanyima watu haki ya kuishi.
Tuhuma nzito kabisa hizo, Serikali haikustahili kukaa kimya, ilitakiwa itolewe taarifa rasmi kwa umma. Iwaeleze wananchi kuwa tuhuma hizo ni za kweli au uwongo. Kama ni tuhuma za kweli, itamke watu ambao huyu bwana alishiriki kuwaondolea haki ya kuishi. Na pia iseme, imechukua hatua gani dhidi yake maana bado anaranda mitaani.
Kuwaondolea watu haki ya kuishi, japo imetumika lugha yenye mapungufu ya ukali lakini ni tuhuma nzito sana ambazo hazikustahili kuachwa tu!
Huu upuuzi mzee
Kwa kesi ipi na ipi!?..wewe unaamini ni upuuzi, na naheshimu mawazo yako.
..lakini mimi naamini ni jambo la msingi. kwamba ukweli ujulikane na haki itendeke.
Kwa kesi ipi na ipi!?
Muulize pia je, Tundu Lisu kupigwa risasi "selasini' anahusika?View attachment 2472935
Tuhuma zako ni nyingi sana kuwa umeshiriki utekaji, mateso na hata uuaji. Pengine hizi tuhuma ni kweli au pia sio kweli. Lakini mwenye majibu kamili ni wewe mwenyewe.
Sasa tuambie ukweli, wakati watu wamejawa na mashaka kuwa Roma Mkatoliki ndio ametoweshwa kabisa kama Ben Saanane ulijitokeza na kusema atarejea Jumapili (kama vile alikuwa nyumbani kwako) na kweli alirudi.
Tuambie tena jee kina Saanane na Azory kwa nini nao hawakurudi "Jumapili" kama mwenzao?
Usione tuko kimya tuna majonzi makubwa mno.
Ili hayo yasiibuke tena kwenye hii mikutano ya kisiasa inayoanza tena nakushauri wahi kujibu tuhuma hizo na kama unasingiziwa lakini unaujua ukweli uweke wazi
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Walipoza ukali ila ilitakiwa waseme MAKONDA NI MUUAJIKwa upande mwingine hata Serikali ilitakiwa itoe taarifa rasmi. Huyu Makonda kuna taarifa iliwahi kutolewa na Serikali ya US kuwa haruhusiwi kuingia nchini Marekani kwa sababu anakiuka haki za binadamu kwa kuwanyima watu haki ya kuishi.
Tuhuma nzito kabisa hizo, Serikali haikustahili kukaa kimya, ilitakiwa itolewe taarifa rasmi kwa umma. Iwaeleze wananchi kuwa tuhuma hizo ni za kweli au uwongo. Kama ni tuhuma za kweli, itamke watu ambao huyu bwana alishiriki kuwaondolea haki ya kuishi. Na pia iseme, imechukua hatua gani dhidi yake maana bado anaranda mitaani.
Kuwaondolea watu haki ya kuishi, japo imetumika lugha yenye mapungufu ya ukali lakini ni tuhuma nzito sana ambazo hazikustahili kuachwa tu!
Wananchi wanaelewa wazi kuwa alipigwa ban baada ya kunza kuwashughulikua rainbow wenzio. Hilo liko wazi acheni porojoKwa upande mwingine hata Serikali ilitakiwa itoe taarifa rasmi. Huyu Makonda kuna taarifa iliwahi kutolewa na Serikali ya US kuwa haruhusiwi kuingia nchini Marekani kwa sababu anakiuka haki za binadamu kwa kuwanyima watu haki ya kuishi.
Tuhuma nzito kabisa hizo, Serikali haikustahili kukaa kimya, ilitakiwa itolewe taarifa rasmi kwa umma. Iwaeleze wananchi kuwa tuhuma hizo ni za kweli au uwongo. Kama ni tuhuma za kweli, itamke watu ambao huyu bwana alishiriki kuwaondolea haki ya kuishi. Na pia iseme, imechukua hatua gani dhidi yake maana bado anaranda mitaani.
Kuwaondolea watu haki ya kuishi, japo imetumika lugha yenye mapungufu ya ukali lakini ni tuhuma nzito sana ambazo hazikustahili kuachwa tu!
Huku ni kuokoteza hoja mzee..mfano mmoja ni Abdulah Kassim Hanga na wenzake walivyopotea Zanzibar na hawajulikani walipo mpaka leo.
..mfano wa karibu ni shambulizi na mauaji ya mwanafunzi Akwilina Akwilini ambapo wahusika hawajakamatwa.
Upuuz wa wenzio wameliwa tako n'a maagizo ya magu ??Huu upuuzi mzee
Utapiga kelele hizi mpaka unaota mvi kwenye makwapa!Take a chill pill man. Kila uovu uliofanyika inatakiwa ijulikane ukweli ulikuwaje na hiyo haimaanishi ni visasi bali ni kutafuta justice, iwe ni issue ya Azory Gwanda, Ben Saanane, Chacha Wangwe, Mchungaji Mtikila au yoyote mwingine inatakiwa mbivu na mbichi zijulikane.
Kama kwingineko waliyaacha mauaji yakapita bila ya kufanya uchunguzi wa kina hiyo haimaanishi na Wabongo waige hayo, kila mauaji yaliyofanyika yafanyiwe uchunguzi wa kina.
Hayo ya 'cartel' nadhani unaweza kuwafungulia kesi, kuhusu hao wanaoishi nje ya nchi ni wengi tu tunaoishi nje hivyo kama kuishi kwao nje hawajavunja sheria zozote za nchi basi waachwe watarudi watakapotaka wenyewe au hata wasiporudi kabisa bado sioni kama ni tatizo.
Kwani Kubenea anasemaje??Makonda analindwa na Samia kwa sababu anazozijua yeye. Isingekuwa hilo ungekuta ameshafikishwa mahakamani siku nyingi. Huyu mshenzi ana madhambi mengi sana alitenda wakati wa Magufuli.
Hebu mawazo na maneno yako haya kamtafute mke wa Azory useme mbele yake kama hata kuzabua Kofi au nenda kule Rombo kwa kina Saanane katamke kama hawajakugawana.
Njia pekee ya kupata suluhisho na msamaha ni kuweka wazi maovu yote na kutubu.
Ujanja wa kujifichia ndani ya propaganda eti hiyo ni siasa wakati ni uhalifu haita wasaidia.
Kama wewe ndio Bashite au mtu wake wa karibu basi fanyia kazi ushauri, hii ngoma bado mbichi sana
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app