Makonda sasa utujibu kuhusu sakata la Roma Mkatoliki

Kila ubaya Utalipwa .
 
Utapiga kelele hizi mpaka unaota mvi kwenye makwapa!

Ukipata solution mimi nitakusik8a nikiwa hapahapa nilipo!

Enjoy kuchezea key-board!
Ume-panic, you're sick and pathetic.
 
Wananchi wanaelewa wazi kuwa alipigwa ban baada ya kunza kuwashughulikua rainbow wenzio. Hilo liko wazi acheni porojo
Acha maneno ya vijiweni yasichote akili yako! Rainbow gani alikuwa anaipiga vita wakati yeye mwenyewe ni member bwana! Hebu tuacheni tusiingie huko!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Muda ukitimia atasema tu kwa hiari ama kwa lazima
 
Hivi Huyu Bwana si ndo alikuwa anasifia mauaji ya Kibiti ya wanachama wa CCM na viongozi wa Serikali, je Wale Wake na watoto zao nani atawaanzishia mikutano ya hadhara?
Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi kuipinga Ile operation ya kibiti. Maana bila huyo msingekuwa mnalala fofofo uku ushuzi ukiwatoka
 
Roma Mkatoliki alitekwa.
Pia Mrisho Gambo anasema kuna watu wanamfuata huku wameshikilia samli mkononi.
 
CCM inakuthamini kama una tuhuma za kutosha kwenye eneo la haki za binadamu
 
Sasa ni mwenezi!
Ili aeneze ushetani wa kutesa, kuteka na kuua watu. Laana ya Mungu wetu, tunaomba itembee naye kutokana na damu zinazomlilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…