Makonda umewezaje kulia kwa mama aliyepotelewa na mume ila kwa wazazi wa Ben Saanane ukiwa RC wa DAR hukulia?

Makonda umewezaje kulia kwa mama aliyepotelewa na mume ila kwa wazazi wa Ben Saanane ukiwa RC wa DAR hukulia?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Najua Makonda yuko nasi 24/7 hapa JamiiForums na pia huwa ananisoma sana GENTAMYCINE na hata Chawa wake Waandamizi kuanzia UVCCM, CCM Taifa na hata Serikalini wapo wengi mno hapa.

Hivyo nategemea kupata mirejesho mingi kutoka kwao na hata wale JamiiForums Members wengine wanaompenda na kumkubali.
 
Najua Makonda yuko nasi 24/7 hapa JamiiForums na pia huwa ananisoma sana GENTAMYCINE na hata Chawa wake Waandamizi kuanzia UVCCM, CCM Taifa na hata Serikalini wapo wengi mno hapa, hivyo nategemea kupata Mirejesho mingi kutoka Kwao na hata wale JamiiForums Members wengine Wanaompenda na Kumkubali.
Yaani unataka chatu anapokumeza atoe machozi!
 
Kiukweli Mwenezi Sisi wana CCM wako tulioko hapa JamiiForums ( GENTAMYCINE nikiwemo ) na tunakukubali ile kinoma noma tutashukuru zaidi kwa Wewe Mwenezi wetu Mpendwa ukisema ilikuwaje Ben Saanane alipotea Kusikojulikana ukiwa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata Wazazi wake nao walivyotaka kujua hatima ya Mtoto wao hukuwapa Ushirikiano wowote ule?

Naamini kabisa Mwenezi wangu CCM Makonda hutotuangusha wana CCM Wenzako kwa Kutujibia ili ujisafishe na hata CCM inayounda Serikali na Watendaji wake Waandamizi na hata Sisi wana CCM Wenzako hapa JamiiForums tusafishike na Dhambi hiyo na tuzidi Kukupamba.

Nakukubali sana Mwenezi Makonda.
 
nimekusikia mm nkiwa kama katibu mwenezi nitakuja kukujibu nashughulikia suala lako
 
Kiukweli Mwenezi Sisi wana CCM wako tulioko hapa JamiiForums ( GENTAMYCINE nikiwemo ) na tunakukubali ile kinoma noma tutashukuru zaidi kwa Wewe Mwenezi wetu Mpendwa ukisema ilikuwaje Ben Saanane alipotea Kusikojulikana ukiwa kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam na hata Wazazi wake nao walivyotaka kujua hatima ya Mtoto wao hukuwapa Ushirikiano wowote ule?

Naamini kabisa Mwenezi wangu CCM Makonda hutotuangusha wana CCM Wenzako kwa Kutujibia ili ujisafishe na hata CCM inayounda Serikali na Watendaji wake Waandamizi na hata Sisi wana CCM Wenzako hapa JamiiForums tusafishike na Dhambi hiyo na tuzidi Kukupamba.

Nakukubali sana Mwenezi Makonda.
ROMA atapatikana siku ya jumapili.
 
Aliposimamia Lissu kupigwa risasi sura ilikuwa kavuuu kama jiwe (siyo yule wa jehanamu)
 
Najua Makonda yuko nasi 24/7 hapa JamiiForums na pia huwa ananisoma sana GENTAMYCINE na hata Chawa wake Waandamizi kuanzia UVCCM, CCM Taifa na hata Serikalini wapo wengi mno hapa.

Hivyo nategemea kupata mirejesho mingi kutoka kwao na hata wale JamiiForums Members wengine wanaompenda na kumkubali.
Namm nimeanzisha Uzi wa namna hi

Naomba mod ying yang eng Active muunganishe ule wangu huku
 
Back
Top Bottom