Makonda utaacha lini kutumia jina la Rais ili kukidhi matakwa yako binafsi ya kisiasa?

Makonda utaacha lini kutumia jina la Rais ili kukidhi matakwa yako binafsi ya kisiasa?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Naandika nikiwa na mshangao mkubwa.

Makonda ulianzisha sintofahamu nchini kwa kusimama mbele ya hadhara ya nchi na kulitangazia Taifa kuwa Rais anatukanwa mitandaoni, na wanaomtukana rais ni wateule wake yeye mwenyewe wakiwemo mawaziri wake.
Kitendo hicho peke yake kikamdhalilisha sana rais mara tatu.

1. Mosi kwamba anadaharauliwa na wateule wake mwenyewe
2. Pili kwamba hana maamuzi ya kushughulikia utovu wa nidhamu kwa wanaovunja heshima ya mkuu wa nchi
3. Tatu, kuwafanya wananchi wafuatilie mitandaoni kujua rais katukanajwe ili "wajue". Na hii ikamvunjia heshima zaidi rais baada ya kujua kile anachotukaniwa.

Sasa hivi karibuni, umefanya ujinga mwingine, kwa kiburi na jeuri umekuwa ukizodoa, ukitoa kauli za yodo, dharau na kejeli kwa watumishi wa umma chini ya ofisi yako hadi ukaenda kufanya unyanyasaji wa kijinsia kupitia kauli. Kitendo hicho kimekemewa na wananchi badala ujitafakari uone umekosea wapi Unarudi kulekule katika KUTUMIA JINA LA RAIS kujifichia ujinga wako!.

Kitendo chako cha kurejearejea KUTUKANWA RAIS kunawafanya watu wafuatilie zaidi na zaidi vile alivyotukanwa na matokeo yake matusi kwa rais yanaenea zaidi badala ya kukoma. Na heshima ya rais inashuka!. Wengi walienda kutembelea mtandao wa yule dada baada ya mtonyo wako!

Sasa ni jukumu la Rais kuleta urafiki katika kazi kwa kukuacha ili uendelee kufanya ujinga na yeye adharaulike zaidi, au akutoe hapo ukajifunze upya maana ya kuwa mnyenyekevu.

Makonda utajifunza lini?
 
Scientifically najua binadamu ni Mnyama kama walivyo wanyama wengine lkn sio hayawani,Katika Mazingira haya naishia kusema ww ni hayawani.Huna Kazi ya kufanya kutwa ww na Makonda
 
Naandika nikiwa na mshangao mkubwa.

Makonda ulianzisha sintofahamu nchini kwa kusimama mbele ya hadhara ya nchi na kulitangazia Taifa kuwa Rais anatukanwa mitandaoni, na wanaomtukana rais ni wateule wake yeye mwenyewe wakiwemo mawaziri wake.
Kitendo hicho peke yake kikamdhalilisha sana rais mara tatu.

1. Mosi kwamba anadaharauliwa na wateule wake mwenyewe
2. Pili kwamba hana maamuzi ya kushughulikia utovu wa nidhamu kwa wanaovunja heshima ya mkuu wa nchi
3. Tatu, kuwafanya wananchi wafuatilie mitandaoni kujua rais katukanajwe ili "wajue". Na hii ikamvunjia heshima zaidi rais baada ya kujua kile anachotukaniwa.

Sasa hivi karibuni, umefanya ujinga mwingine, kwa kiburi na jeuri umekuwa ukizodoa, ukitoa kauli za yodo, dharau na kejeli kwa watumishi wa umma chini ya ofisi yako hadi ukaenda kufanya unyanyasaji wa kijinsia kupitia kauli. Kitendo hicho kimekemewa na wananchi badala ujitafakari uone umekosea wapi Unarudi kulekule katika KUTUMIA JINA LA RAIS kujifichia ujinga wako!.

Kitendo chako cha kurejearejea KUTUKANWA RAIS kunawafanya watu wafuatilie zaidi na zaidi vile alivyotukanwa na matokeo yake matusi kwa rais yanaenea zaidi badala ya kukoma. Na heshima ya rais inashuka!. Wengi walienda kutembelea mtandao wa yule dada baada ya mtonyo wako!

Sasa ni jukumu la Rais kuleta urafiki katika kazi kwa kukuacha ili uendelee kufanya ujinga na yeye adharaulike zaidi, au akutoe hapo ukajifunze upya maana ya kuwa mnyenyekevu.

Makonda utajifunza lini?
Baada ya kauli ya makonda hawajatukana tena.

Wako kimya na RAIS anachapa kazi.
 
Naandika nikiwa na mshangao mkubwa.

Makonda ulianzisha sintofahamu nchini kwa kusimama mbele ya hadhara ya nchi na kulitangazia Taifa kuwa Rais anatukanwa mitandaoni, na wanaomtukana rais ni wateule wake yeye mwenyewe wakiwemo mawaziri wake.
Kitendo hicho peke yake kikamdhalilisha sana rais mara tatu.

1. Mosi kwamba anadaharauliwa na wateule wake mwenyewe
2. Pili kwamba hana maamuzi ya kushughulikia utovu wa nidhamu kwa wanaovunja heshima ya mkuu wa nchi
3. Tatu, kuwafanya wananchi wafuatilie mitandaoni kujua rais katukanajwe ili "wajue". Na hii ikamvunjia heshima zaidi rais baada ya kujua kile anachotukaniwa.

Sasa hivi karibuni, umefanya ujinga mwingine, kwa kiburi na jeuri umekuwa ukizodoa, ukitoa kauli za yodo, dharau na kejeli kwa watumishi wa umma chini ya ofisi yako hadi ukaenda kufanya unyanyasaji wa kijinsia kupitia kauli. Kitendo hicho kimekemewa na wananchi badala ujitafakari uone umekosea wapi Unarudi kulekule katika KUTUMIA JINA LA RAIS kujifichia ujinga wako!.

Kitendo chako cha kurejearejea KUTUKANWA RAIS kunawafanya watu wafuatilie zaidi na zaidi vile alivyotukanwa na matokeo yake matusi kwa rais yanaenea zaidi badala ya kukoma. Na heshima ya rais inashuka!. Wengi walienda kutembelea mtandao wa yule dada baada ya mtonyo wako!

Sasa ni jukumu la Rais kuleta urafiki katika kazi kwa kukuacha ili uendelee kufanya ujinga na yeye adharaulike zaidi, au akutoe hapo ukajifunze upya maana ya kuwa mnyenyekevu.

Makonda utajifunza lini?
Rubbish hujui majungu kupika bali wewe ni fala unayetumika kijinga, una roho ya kichawi
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom