Pre GE2025 Makonda: Zuio la kusafiri Marekani lilikuja sababu ya kupinga masuala ya ushoga

Pre GE2025 Makonda: Zuio la kusafiri Marekani lilikuja sababu ya kupinga masuala ya ushoga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida. Akaongeza yeye hawezi kukubali hilo litokee katika uongozi wake.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
 
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
Mbona Mike Pompeo alisema wazi kabisa suala la kudhulumu haki ya watu kuishi, anatufanya hatujui kusoma?
 
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida. Akaongeza yeye hawezi kukubali hilo litokee katika uongozi wake.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
Pumbavu stupid, yeye ndiye anayepinga ushoga duniani kote . Dunia kubwa inapinga ushoga lakini bado wanakwenda marekani...uganda, rwanda and so many countries. Sas hapa ndipo amejinasisha kuwa alishiriki kumpiga risasi
 
Mbona Mike Pompeo alisema wazi kabisa suala la kudhulumu haki ya watu kuishi, anatufanya hatujui kusoma?
Waandishi wenyewe wanaomuuliza maswali ni machawa mkuu, unategemea watahoji hili?
 
Mbona Mike Pompeo alisema wazi kabisa suala la kudhulumu haki ya watu kuishi, anatufanya hatujui kusoma?
Sasa wewe naye kumbe pompeo......huyo ndio muhusika kaulizwa na kajibu bado unabisha......eeehhh?? Kwani unvyoona usipoenda marekani ndio maisha hayaendi au utaishiwa damu??.............huyo pompeo alimuona makonda akifanya hayo mambo au ndio vile mnyonge mnyonge tu ................bora aliyoshinda Trump tuone kama ile ban aitofutwa
 
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida. Akaongeza yeye hawezi kukubali hilo litokee katika uongozi wake.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
huenda Pompeo pia alikua shoga ndiyo maana alishadadia jambo hilo la aibu..

Utawala mpya wa Trump hauwezi kumzuia muafrika yeyote kuingia marekani eti kwasabb anapinga huo ufirauni.

huo ni uchafu kabisa 🐒
 
Sasa wewe naye kumbe pompeo......huyo ndio muhusika kaulizwa na kajibu bado unabisha......eeehhh?? Kwani unvyoona usipoenda marekani ndio maisha hayaendi au utaishiwa damu??.............huyo pompeo alimuona makonda akifanya hayo mambo au ndio vile mnyonge mnyonge tu ................bora aliyoshinda Trump tuone kama ile ban aitofutwa
Pompeo anajua mengi bila hata kuweka mguu bongo
 
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida. Akaongeza yeye hawezi kukubali hilo litokee katika uongozi wake.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
Si ilikuwa kipindi cha Trump? Aache uongo.
 
Sasa wewe naye kumbe pompeo......huyo ndio muhusika kaulizwa na kajibu bado unabisha......eeehhh?? Kwani unvyoona usipoenda marekani ndio maisha hayaendi au utaishiwa damu??.............huyo pompeo alimuona makonda akifanya hayo mambo au ndio vile mnyonge mnyonge tu ................bora aliyoshinda Trump tuone kama ile ban aitofutwa
Usiwe mpumbavu,kwani pompeo si alikuwa chini ya serikali ya Trump??
 
Back
Top Bottom