Pre GE2025 Makonda: Zuio la kusafiri Marekani lilikuja sababu ya kupinga masuala ya ushoga

Pre GE2025 Makonda: Zuio la kusafiri Marekani lilikuja sababu ya kupinga masuala ya ushoga

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida. Akaongeza yeye hawezi kukubali hilo litokee katika uongozi wake.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
Anatuona sisi watoto!
 
Wakuu,

Makonda akiwa katika mkutano wa kuelezea miezi 6 ya makonda ameaulizwa swali kuhusu ban yake ya Marekani kwamba hilo linaasharia kabisa Makonda kuhusika na masuala ya utekaji na uvunjifu mwingine wa haki za binadamu.

Makonda akijibu swali hili amesema kelele hizi zilianza alipoanzisha vita ya ushoga, kabla ya hapo hakukuwa na shida. Akaongeza yeye hawezi kukubali hilo litokee katika uongozi wake.

Wakuu mmemuelewa Makonda?
Asome vizuri lile tangazo la Serikali ya Marekani kuhusu zuio lake la yeye kutotakiwa kuingia kwenye nchi hiyo, sababu zimeelezwa kwenye tangazo hilo.
 
huenda Pompeo pia alikua shoga ndiyo maana alishadadia jambo hilo la aibu..

Utawala mpya wa Trump hauwezi kumzuia muafrika yeyote kuingia marekani eti kwasabb anapinga huo ufirauni.

huo ni uchafu kabisa 🐒
Wewe hamnazo. Ni wapi Marekani ilisema imemzuia Makonda kuingia US kwa sababu ya masuala ya ushoga?

Taarifa ilikuwa wazi kabisa kuwa hataruhusiwa kuingia marekani kutokana na yeye makonda kuwadhulumu watu haki za kuishi, yaani Makonda ni muuaji.

Uganda hapo kuna sheria kali dhidi ya ushoga, lakini uliwahi kusikia kuna yeyote amezuiwa kuingia US?

The guy is good for the fools who can buy his crap.
 
Wewe hamnazo. Ni wapi Marekani ilisema imemzuia Makonda kuingia US kwa sababu ya masuala ya ushoga?

Taarifa ilikuwa wazi kabisa kuwa hataruhusiwa kuingia marekani kutokana na yeye makonda kuwadhulumu watu haki za kuishi, yaani Makonda ni muuaji.

Uganda hapo kuna sheria kali dhidi ya ushoga, lakini uliwahi kusikia kuna yeyote amezuiwa kuingia US?

The guy is good for the fools who can buy his crap.
sasa ndugu muerevu mpotoshaji, hivi aliemzuia Makonda kuingia Marekani ni shoga au sio shoga? Ana ajira kwanza kwa sasa na yupo wapi?

Huyo makonda, aliwadhulumu watu haki ya kuishi wapi ndugu mpotoshaji, Marekani au Tanzania?

Ndugu mpotoshaji,
kwahiyo speaker wa Bunge la Uganda, mume wake, baadhi ya majaji na maafisa wakuu wajeshi, wanaruhisiwa kuingia Marekani baada ya kusaidia kupitisha sheria ya kupinga ufirauni aliokua anautete Pompeo?

unajielewa kweli wewe?

hufahamu kwamba uingereza na Marekani imewapiga ban wapinga ushoga na ufirauni kama makonda hapo Uganda, au unajizima data tu 🐒
 
Ila kiukweli kusema kwamba et Marekani imechukizwa na hizo tuhuma za Makonda kwamba alikuwa mtekaji na muuwaji kiasi cha hadi kumpiga ban kuingia Marekani naona kama ni ngumu kuamini, inaweza kuwa hizo ndio sababu zilizotumika kuhalalisha hiyo ban tu ila kuna sababu zilizowachukiza kuhusu huyo Makonda.
 
Back
Top Bottom