Makongamano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kuendelea kuvurumishwa nchi nzima. Kituo kinachofuata ni Mkoa wa Mara

Makongamano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kuendelea kuvurumishwa nchi nzima. Kituo kinachofuata ni Mkoa wa Mara

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , na ambayo taarifa zinaonyesha kwamba pia inashika nafasi ya 3 kwa ubora wa Taasisi za Vijana duniani , BAVICHA , imetangaza kuendelea tena kwa Makongamano ya ndani ya kuhamamisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Kwa mujibu wa ratiba mpya Kituo kinachofuata ni Mkoa imara wa Mara ambapo kongamano hilo muhimu linatarajiwa kufanyika tarehe 4/9/2021 , na kwa mujibu wa Takwimu za sasa mkoa huu ndio unaoongoza kwa kuchangia askari wengi nchini Tanzania .

MUHIMU : Tuendelea kufuata muongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .

Mungu ibariki Chadema

Baraza_Vijana_Chadema_(BAVICHA)_linawaalika_vijana_wote_katika_Kongamano_la_#KatibaMpya_litaka...jpg
 
Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , na ambayo taarifa zinaonyesha kwamba pia inashika nafasi ya 3 kwa ubora wa Taasisi za Vijana duniani , BAVICHA , imetangaza kuendelea tena kwa Makongamano ya ndani ya kuhamamisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Kwa mujibu wa ratiba mpya Kituo kinachofuata ni Mkoa imara wa Mara ambapo kongamano hilo muhimu linatarajiwa kufanyika tarehe 4/9/2021 , na kwa mujibu wa Takwimu za sasa mkoa huu ndio unaoongoza kwa kuchangia askari wengi nchini Tanzania .

MUHIMU : Tuendelea kufuata muongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .

Mungu ibariki Chadema


Daima mbele kurudi nyuma mwiko!
 
Afadhali tulikuwa tumeanza kuyamisi Makongamano ya Katiba yetu sisi Wananchi.

Tukumbushane kidogo kuwa Katiba sio iKituba, Katiba ni mali ya Wananchi.
 
wale jamaa zetu wa siku zote hawakawii kusema wamenusa harufu ya magaidi toka Taliban wanaweza kuja kuvamia mkutano huo kwa hiyo usiwepo ili kuepusha vitu vyenye ncha kali kuwadhuru mwilini.
 
wale jamaa zetu wa siku zote hawakawii kusema wamenusa harufu ya magaidi toka Tarban wanaweza kuja kuvamia mkutano huo kwa hiyo usiwepo ili kuepusha vitu vyenye ncha kali kuwadhuru mwilini.
Tutamuuliza kama amepata barua kama ile anayosubiri kumkamata Gwajima
 
si suala la muda tu, giza haijawahi kuishinda nuru kamwe tangu uumbaji wa hii dunia. ni maigizo tu waliyoyafanya ila kwa sasa washaanza kututa - Plan Without Effective Mission ...
Hakika !
 
Kwa Mujibu wa Waendesha Mashitaka , Mbowe hakukamatwa kwa sababu ya Makongamano ya Katiba mpya
Endesheni makongamano yenu kama chama na si wananchi
Mkishindwa mkatafuta wananchi mtakwama.
 
Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , na ambayo taarifa zinaonyesha kwamba pia inashika nafasi ya 3 kwa ubora wa Taasisi za Vijana duniani , BAVICHA , imetangaza kuendelea tena kwa Makongamano ya ndani ya kuhamamisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Kwa mujibu wa ratiba mpya Kituo kinachofuata ni Mkoa imara wa Mara ambapo kongamano hilo muhimu linatarajiwa kufanyika tarehe 4/9/2021 , na kwa mujibu wa Takwimu za sasa mkoa huu ndio unaoongoza kwa kuchangia askari wengi nchini Tanzania .

MUHIMU : Tuendelea kufuata muongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .

Mungu ibariki Chadema

fanyeni kazi za kuwaingizia kipato hizi drama hazitawasaidia nyie shindaneni na wakina mbowe waliojiwekeza baadae mtakuja kutafuta wachawi wa mafanikio yenu wakati ndio mnaanza kujiloga wenyewe sasa hivi
 
Back
Top Bottom