Makongamano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kuendelea kuvurumishwa nchi nzima. Kituo kinachofuata ni Mkoa wa Mara

Makongamano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kuendelea kuvurumishwa nchi nzima. Kituo kinachofuata ni Mkoa wa Mara

Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , na ambayo taarifa zinaonyesha kwamba pia inashika nafasi ya 3 kwa ubora wa Taasisi za Vijana duniani , BAVICHA , imetangaza kuendelea tena kwa Makongamano ya ndani ya kuhamamisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Kwa mujibu wa ratiba mpya Kituo kinachofuata ni Mkoa imara wa Mara ambapo kongamano hilo muhimu linatarajiwa kufanyika tarehe 4/9/2021 , na kwa mujibu wa Takwimu za sasa mkoa huu ndio unaoongoza kwa kuchangia askari wengi nchini Tanzania .

MUHIMU : Tuendelea kufuata muongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .

Mungu ibariki Chadema

Kongole zenu Bavicha. Shikilieni hapohapo. "No retreat; No surrender".
 
wale jamaa zetu wa siku zote hawakawii kusema wamenusa harufu ya magaidi toka Taliban wanaweza kuja kuvamia mkutano huo kwa hiyo usiwepo ili kuepusha vitu vyenye ncha kali kuwadhuru mwilini.
Kumbuka: "Mwoga hufa mara nyingi kabla ya kifo chake".
 
fanyeni kazi za kuwaingizia kipato hizi drama hazitawasaidia nyie shindaneni na wakina mbowe waliojiwekeza baadae mtakuja kutafuta wachawi wa mafanikio yenu wakati ndio mnaanza kujiloga wenyewe sasa hivi
Kuikomboa Tanzania ndio kazi ya maana kuliko zote
 
Mungu asaidie katiba mpya ipitishwe. Ambao wanapinga hawajui faida yake. Na wengi wao wafuata mkumbo tu,, ukimuliza nini haswaa kinafanya upinge hana jibu la maana.
 
fanyeni kazi za kuwaingizia kipato hizi drama hazitawasaidia nyie shindaneni na wakina mbowe waliojiwekeza baadae mtakuja kutafuta wachawi wa mafanikio yenu wakati ndio mnaanza kujiloga wenyewe sasa hivi
Samahani: "Tumejitoshereza.mkuu. Umasikini au utajiri wetu haukuhusu. Wewe endelea tu kuvuta cannabis sativa (bangi) lako".
 
Sept._04,_2021_Kongamano_la_#KatibaMpya_litafanyika_mkoani_Mara._#Wilaya_zote_za_Mkoa_wa_Mara;...jpg
 
Wengine ni wanufaika uchwara tu

Masikini anapinga huku anajionea kwa viongozi wake wanaishi maisha bora na familia zao, manyumba ya kifahari na magari wanayotembelea yakifahali.huku yeye akijitaidi sana sana mlo mmoja kwa siku, hapo usafiri hana, nyumba ya kuishi hana, anaishi maisha yakubahatisha
 
Taasisi bora kabisa ya vijana barani Africa , na ambayo taarifa zinaonyesha kwamba pia inashika nafasi ya 3 kwa ubora wa Taasisi za Vijana duniani , BAVICHA , imetangaza kuendelea tena kwa Makongamano ya ndani ya kuhamamisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Kwa mujibu wa ratiba mpya Kituo kinachofuata ni Mkoa imara wa Mara ambapo kongamano hilo muhimu linatarajiwa kufanyika tarehe 4/9/2021 , na kwa mujibu wa Takwimu za sasa mkoa huu ndio unaoongoza kwa kuchangia askari wengi nchini Tanzania .

MUHIMU : Tuendelea kufuata muongozo wa WHO wa kujikinga na Corona .

Mungu ibariki Chadema

Gaidi mbowe analiwa na papasi lockup,nyie kelele tu

USSR
 
Masikini anapinga huku anajionea kwa viongozi wake wanaishi maisha bora na familia zao, manyumba ya kifahari na magari wanayotembelea yakifahali.huku yeye akijitaidi sana sana mlo mmoja kwa siku, hapo usafiri hana, nyumba ya kuishi hana, anaishi maisha yakubahatisha
Kama maV8 ya Polepole
 
Gaidi mbowe analiwa na papasi lockup,nyie kelele tu

USSR

Heri kuliwa na papasi kwa ajili ya kesho iliyo bora kwa watoto wa wajukuu zetu (wakiwamo wa kwako) kuliko wewe uliye busy kuwazibia riziki wakiwamo watoto wa wajukuu zako!
 
Back
Top Bottom