Makongoro na ngozi za ng'ombe zimekuwa chakula kinachokidhi mahitaji ya Watanzania. Hali ya maisha ni ngumu

Ngozi tena me bora nile mchicha aiseh maan mhh
 

Binafsi nafurahi kuona watu wakila kongoro natamani pia ila nimeingiwa na kinyaa baada ya kuona wanavyoyaandaa.
 
Nilijaribu supu ya ubongo wa ng'ombe nilishindwa kuimaliza. Kichefu chefu kilipanda mpaka puani. Mwe. Mnajirahidi mnaoiweza, nyie hamna mtakachoshindwa kula duniani.

Vitu gani sasa mnataka kugundua,eti wengine supu ya ulimi,ulimi una supu gani?
 


Makongoro ya Ngombe is way better than dagaa, hapo kwenye ngozi ni shida sana
 
Hayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.
Tafuta pesa utoke uswahilini na uache Kula sehemu za hovyo
 
Hakuna madude machafu kama makongoro
Na ngozi je? Angalau makongoro yanatoka ndani ya mwili, ngozi ambayo daima imegandana na kinyesi ina usafi gani na kwa njia gani ya usafi watayarishaji waliyo nayo?
 

Makongoro ni chakula cha kifahari kabisa!! Hicho hakiliwi kufanya mtu asife bali watu wanakula kwa starehe!!

Chakula cha kulinda uhai ni ugali na mboga za majani dagaa wenyewe wanauzwa kg 1 shs 14,000 bru mchele mtaletewa wa msaada na kama njaa kali mtaletewa wenye nutrients!!

Mtu anashida ya chakula hana fedha then akanunue kongoro la 1,500? Huko uliko ni nchi ya matajiri sana!!

Mie kongoro na mkia ni chakula changu pendwa sana!! Mara nyingi jioni baada ya zoezi napita sehemu napiga kongoro zangu au mkia!! Maisha yanasonga!!

Ngozi sijawahi kuona!! Sijawahi kushuhudia zikiuzwa hadharani labda kuzitafuta!!
 
Nyama ni gharama lakini samaki watu wanaweza kujifugia wenyewe, ni ufugaji rahisi sana familia nyingi zikiamua zinaweza , wakati mwingine njaa ni uvivu tuu na kutofikiria vizuri, zamani nyumba zote za wachina zilikuwa na vibwawa vidogo vya kufugia samaki, ilikuwa sheria ili watu wapate mlo wenye protein za kutosha ndio maana wachina wana akili sana ( sina uhakika na akili lakini)
 
Na ngozi je? Angalau makongoro yanatoka ndani ya mwili, ngozi ambayo daima imegandana na kinyesi ina usafi gani na kwa njia gani ya usafi watayarishaji waliyo nayo?
West Africans wanakula mpaka ngozi, ile inachomwa kuondoa manyoya then inakwanguliwa kama ndevu, ikipikwa laiiiiini na viungo vyao huwezi kujua na ni tamu kweli kweli
 
Nyama zimeenda wapi ikiwa kuna ngozi na kongoro sio kuna watu wameimudu? Sijawahi ona ngozi ikiliwa ila kongoro (bomba)mitaa yangu ya vitu virefu siiachagi full pilipili nyingi
 
Hayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.
Sio zote zinaandaliwa katika mazingira hayo

Njoo nikupeleke mahali pazuri uone kongoro na michemsho inavyovutia
 
Binafsi nafurahi kuona watu wakila kongoro natamani pia ila nimeingiwa na kinyaa baada ya kuona wanavyoyaandaa.
Aisee yaani wewe ni kama mimi. Nilikuwa nakula sana kongoro lakini siku moja nikasogea kwa jamaa anayeandaa kwa kweli niliondoka bila kumtaarifu. Jamaa kwenye vidole kumejaa fungus halafu mbichi kama madonga, nilipouliza nikaambiwa asilimia kubwa ya wauzaji wa supu ya kongoro wengi wana fungus. Halafu muda mwingine unamuona anayekuandalia anachokonoa meno yake na toothpick then anashika kongoro lako.

Suala lingine ni kwenye supu za nyama au utumbo, kwenye bar za kawaida ni jambo la kawaida SUPU YAKO KUCHANGANYWA NA SUPU ALIYOBAKIZA MTEJE MWINGINE, IKIWA NI PAMOJA NA KUPEWA CHOMBO AU KIJIKO KISICHOOSHWA. NIMEYASHUHUDIA SANA HAYA MIMI BINAFSI HADI NIKAWA NINAKWENDA UMBALI MREFU KUFUATA SUPU KWA JAMAA ANGALAU ANAYEZINGATIA USAFI
 

True,Supu ya utumbo sijui nitaenda sehem ninayoifaham vizurii au nikichinja mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…