Ngozi tena me bora nile mchicha aiseh maan mhhTanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao.
Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa.
Hali ni ngumu sana.
Walevi wa pombe kali wanajifariji
Tanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao.
Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa.
Hali ni ngumu sana.
Walevi wa pombe kali wanajifariji
Nilijaribu supu ya ubongo wa ng'ombe nilishindwa kuimaliza. Kichefu chefu kilipanda mpaka puani. Mwe. Mnajirahidi mnaoiweza, nyie hamna mtakachoshindwa kula duniani.
Vitu gani sasa mnataka kugundua,eti wengine supu ya ulimi,ulimi una supu gani?
Naungana nawe, tupo tunayoipenda tu, hata kama ifakuwa bei ya juu kuliko nyama au samaki........ina ladha fulani hivi amazing!Mkuu Kongolo sio kipimo cha maisha magumu...
Umesomeka mwenyekiti wa mashoga..Sawa mtoto wa shoga
Tanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao.
Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa.
Hali ni ngumu sana.
Walevi wa pombe kali wanajifariji
Tafuta pesa utoke uswahilini na uache Kula sehemu za hovyoHayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.
Na ngozi je? Angalau makongoro yanatoka ndani ya mwili, ngozi ambayo daima imegandana na kinyesi ina usafi gani na kwa njia gani ya usafi watayarishaji waliyo nayo?Hakuna madude machafu kama makongoro
Tanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao.
Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa.
Hali ni ngumu sana.
Walevi wa pombe kali wanajifariji
West Africans wanakula mpaka ngozi, ile inachomwa kuondoa manyoya then inakwanguliwa kama ndevu, ikipikwa laiiiiini na viungo vyao huwezi kujua na ni tamu kweli kweliNa ngozi je? Angalau makongoro yanatoka ndani ya mwili, ngozi ambayo daima imegandana na kinyesi ina usafi gani na kwa njia gani ya usafi watayarishaji waliyo nayo?
Sio zote zinaandaliwa katika mazingira hayoHayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.
Aisee yaani wewe ni kama mimi. Nilikuwa nakula sana kongoro lakini siku moja nikasogea kwa jamaa anayeandaa kwa kweli niliondoka bila kumtaarifu. Jamaa kwenye vidole kumejaa fungus halafu mbichi kama madonga, nilipouliza nikaambiwa asilimia kubwa ya wauzaji wa supu ya kongoro wengi wana fungus. Halafu muda mwingine unamuona anayekuandalia anachokonoa meno yake na toothpick then anashika kongoro lako.Binafsi nafurahi kuona watu wakila kongoro natamani pia ila nimeingiwa na kinyaa baada ya kuona wanavyoyaandaa.
Aisee yaani wewe ni kama mimi. Nilikuwa nakula sana kongoro lakini siku moja nikasogea kwa jamaa anayeandaa kwa kweli niliondoka bila kumtaarifu. Jamaa kwenye vidole kumejaa fungus halafu mbichi kama madonga, nilipouliza nikaambiwa asilimia kubwa ya wauzaji wa supu ya kongoro wengi wana fungus. Halafu muda mwingine unamuona anayekuandalia anachokonoa meno yake na toothpick then anashika kongoro lako.
Suala lingine ni kwenye supu za nyama au utumbo, kwenye bar za kawaida ni jambo la kawaida SUPU YAKO KUCHANGANYWA NA SUPU ALIYOBAKIZA MTEJE MWINGINE, IKIWA NI PAMOJA NA KUPEWA CHOMBO AU KIJIKO KISICHOOSHWA. NIMEYASHUHUDIA SANA HAYA MIMI BINAFSI HADI NIKAWA NINAKWENDA UMBALI MREFU KUFUATA SUPU KWA JAMAA ANGALAU ANAYEZINGATIA USAFI
Kwahiyo ndio uyaiye madude?Mazingira ya kuandaa sio safi haswa kwa sisi wabongo ni tabu tupu.