Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta pesa hayo madude hayaliwi utakuja kuharisha..Tafuta pesa utoke uswahilini na uache Kula sehemu za hovyo
Labda hayo makongoro uyatengeneze na kupapika weweNa ngozi je? Angalau makongoro yanatoka ndani ya mwili, ngozi ambayo daima imegandana na kinyesi ina usafi gani na kwa njia gani ya usafi watayarishaji waliyo nayo?
Na mtaa wa fisi sijui yapo? 😃Kongoro la Mtaa wa Simba Mpanda kwa Bambo ni balaa.....
Na mtaa wa fisi sijui yapo? 😃Kongoro la Mtaa wa Simba Mpanda kwa Bambo ni balaa.....
Mbona mnawachukulia poa dagaaMakongoro ya Ngombe is way better than dagaa, hapo kwenye ngozi ni shida sana
Kwani kongoro unachokula ni nini kama sio ngozi.Kongoro tangu enzi za mababu yanaliwa lakini Ngozi labda huko kwenu ndio mnakula ngozi
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
...Simile Mkuu. Ni Chakula' Cha Watu !Hakuna madude machafu kama makongoro
Hapa Tanzania ngozi inaliwa kama peremendeWest Africans wanakula mpaka ngozi, ile inachomwa kuondoa manyoya then inakwanguliwa kama ndevu, ikipikwa laiiiiini na viungo vyao huwezi kujua na ni tamu kweli kweli
[emoji16][emoji16][emoji16]Nilijaribu supu ya ubongo wa ng'ombe nilishindwa kuimaliza. Kichefu chefu kilipanda mpaka puani. Mwe. Mnajirahidi mnaoiweza, nyie hamna mtakachoshindwa kula duniani.
Uchafu mbona we ndio unao mwingi tu...unatembea nao kila mahali tumboni mwako humo na ukiushusha mahali hakuna wa kuusogelea zaidi ya nzi na jamii zake halafu unakuja kusingizia viumbe wasiokuwa na hatia....wengi wanaojidai kuwa wanakichef chefu kwenye vyakula aina flani...ukiwafuatilia....utakugundua magumu mengi.Hayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.
Hayo madude sio chakula changu pendwa ila unaonesha unapenda kula sehemu chafuchafuTafuta pesa hayo madude hayaliwi utakuja kuharisha..
ITakua we ni wa kishua au umri wako mdogo,mwaka 1988 karibia kila nyumba walikua wanakula ngozi ya ngombe wenyewe waliita makwasu kwasu hayo ukila na ugal ni balaa tupu,sasa hiv kuna makwasu kwasu mpaka ya kitimoto.. na hii sio Tz tu mpka USA,china,russia wanakula ngoz sio umaskin ni desturi miaka nenda rudiTanzania nzima kila wilaya, kijiji, kata au tarafa lazima kuna kijiwe cha wauza Makonngoro na ngozi za ng'ombe ambazo watu wanakula na kulinda uhai wao.
Hawana uwezo wa kumudu samaki nyama au dagaa.
Hali ni ngumu sana.
Walevi wa pombe kali wanajifariji
Uchafu mbona we ndio unao mwingi tu...unatembea nao kila mahali tumboni mwako humo na ukiushusha mahali hakuna wa kuusogelea zaidi ya nzi na jamii zake halafu unakuja kusingizia viumbe wasiokuwa na hatia....wengi wanaojidai kuwa wanakichef chefu kwenye vyakula aina flani...ukiwafuatilia....utakugundua magumu mengi.bona
😂😂Endelea kulaHayo madude sio chakula changu pendwa ila unaonesha unapenda kula sehemu chafuchafu
The Digital....aisee Mkuu wasalimie IkolaNsemlwa unapata la jero. Mtaa wa Simba Ni pale kwa bonge fulani ivi black akajaa kifua. Wametizmana na Ile bar inayowika chini ya valencia
Kumbe mkuu unakula sehemu chafu chafu, Nenda kale Chakula sehemu za maana, kwenye mazingira mazuri, unaenda kula unakaa kwenye bechi au viti vya plastick vimechoka mpaka vimeshonwa, utegemee ule chakula kizuri.Aisee yaani wewe ni kama mimi. Nilikuwa nakula sana kongoro lakini siku moja nikasogea kwa jamaa anayeandaa kwa kweli niliondoka bila kumtaarifu. Jamaa kwenye vidole kumejaa fungus halafu mbichi kama madonga, nilipouliza nikaambiwa asilimia kubwa ya wauzaji wa supu ya kongoro wengi wana fungus. Halafu muda mwingine unamuona anayekuandalia anachokonoa meno yake na toothpick then anashika kongoro lako.
Suala lingine ni kwenye supu za nyama au utumbo, kwenye bar za kawaida ni jambo la kawaida SUPU YAKO KUCHANGANYWA NA SUPU ALIYOBAKIZA MTEJE MWINGINE, IKIWA NI PAMOJA NA KUPEWA CHOMBO AU KIJIKO KISICHOOSHWA. NIMEYASHUHUDIA SANA HAYA MIMI BINAFSI HADI NIKAWA NINAKWENDA UMBALI MREFU KUFUATA SUPU KWA JAMAA ANGALAU ANAYEZINGATIA USAFI
Afya yako mgogoro mkuu.Hayo madude yamenishinda kabisa kula na maude kama ulimi wa ng'ombe sijui senene watu wanatafuta kuharisha tu ...yanaandaliwa katika mazingira machafu ka nguruwe.