Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Nipo Jasusi. Napenda ufalme. Makongoro - Rais. Hussein Mwinyi - Makamu. Joseph Sokoine- Prime Minister. List ya 1983-1984.
Siyo ufalme; anagombea akitokea nje ya system kabisa. Hajwahi kuwemo kwenye system ya utawala hata pale baba yake alipokuwa hai. Sijona mgombea mwingine ambaye hajawahi kuwa waziri au naibu waziri.
 
Siyo ufalme; anagombea akitokea nje ya system kabisa. Hajwahi kuwemo kwenye system ya utawala hata pale baba yake alipokuwa hai. Sijona mgombea mwingine ambaye hajawahi kuwa waziri au naibu waziri.

Are you in the tank already?
 
Katika watia nia wote waliojitokeza mpaka sasa, inashangaza kujenga hoja zao juu ya upungufu ya kimfumo na kiutawala wa serikali ya CCM ambayo na wao ni sehemu ya utawala huu. Wanaongea as if ni wageni au walifungwa vitambaa machoni sasa wamefunguliwa ndiyo wanajifanya kuona upungufu na uchovu wa CCM.

Tuwe wa kweli hakuna asiyejua Ccm ilipofika haiwez kutusogeza mbele hata kwa nusu hatua,,, wengi waliobaki ni watega mingo au opportunists..

Wako kwenye serikali ya ccm kwa miaka mingi mbona walikuwa kimya mambo yalivyokuwa yanakwenda kombo... Sasa hivi kila mtia nia wa ccm ndiyo anajifanya kuona mafisadi.. kila mtu ndiyo anaijua epa escrow nk. Wakati wapinzani wakipaza sauti juu ya ufisadi huu wanaccm hawa walijifanya hawaoni na as if hakuna kosa lililofanyika..

Mwanaccm anayetangza nia kwa kujenga hoja yake juu ya ufisadi leo.. hana sifa nyingine zaidi ya UNAFIKI

Walikuwa wapi siku zote..

Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??


Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..

Goood of you!
 
Siyo ufalme; anagombea akitokea nje ya system kabisa. Hajwahi kuwemo kwenye system ya utawala hata pale baba yake alipokuwa hai. Sijona mgombea mwingine ambaye hajawahi kuwa waziri au naibu waziri.

I don't know the guy. But if his surname can keep some crooks away, I will take it.
 
Hapa sasa urais nchi hii ni kwa watoto wa marais tu. Kwan inavyoelekea wameshajipanga. Anaingia makongoro miaka kumi. Akitoka anaingia hussein mwinyi miaka kumi akitoka anaingia ridhiwan. Miaka kumi. Wengine cjui kama kwa mpango wa urais wa kuridhiana cjui itakuwaje.

Acha woga kijana!
 
Zakumi ndo mana mie nimebaki najiuliza hivi sisi kama watanzania quality za rais tunayemtaka ni zipi? ama tusimamie tu zile za kwenye katiba ambazo ni too general? nadhan asasi zisizo za kiraia ambazo zinajishughulisha na maswala ya utawala bora pamoja na taasis za kiserikal zinazohusika juu ya utoaj elimu ya uraia wameshindwa kutelekeza majukum yao. Sijaona popote pale wakiwaelimisha raia kama raia kwamba hii ndio quality ya mtu anayefaa kuwa kiongozi. ili sasa na sisi tuende tukijitahd kutafuta nani ambaye ana sifa japo za kukaribiana na hizo.

ieleweke kwamba hiki cheo cha urais sio cheo kidogo hatakidogo sasa lazima tuwe na uelewa nacho sisi kama raia na sio kusubiri mashirika yatoke ulaya kuja kutufundisha haya . 50 yrs baada ya uhuru lakn sijaona elimu ya uraia ikitolewa ya kumpa raia uhuru wa kuchagua mtu akiwa na uhakika.

ivi unadhan ingekuwepo haya ya watu kununuliwa kwa pesa yangekuwepo? funny enough kila anayetangaza nia huko CCM anasema usimchague fisad sasa najiuliza nyerere aliwah kutuambia maneno hayo hayo kwamba Ikulu kuna biashara gani hadi mumchague mtu anayewapa hela? alieleweka kwasabb nyakati zile uelewa wa watu ulikuwa nao bado ni ule wa kutojiuliza maswal mengi.

sasa tena 30 yrs later bado tumekalia kukariri yaleyale alosema nyerere hatuon hata umuhimu wa kujiongeza kidogo kwmba hizi nsizo sifa sahihi za mtu anayefaa kuwa mgombea?

Halafu shida kubwa iliyopo ni kwamba wagombea kwa kujua kwamba raia hawalijui hili basi hakuna anayehangaika nalo ndo mana hata wale wanaonunua watu wanapeta zaid kuliko wale waadilifu.

BTW hebu nijuze jambo ambalo hata mkanadara anataka kulijua huku UKAWA mtu ambaye sio kiongozi ni raia tu lkn mwana chama wa chama kilichopo kwenye huo umoja anaweza kutangaza nia ama kugombea nafasi ya urais? kama ndio je mwanachama huyu anyajuaje makubaliano yaliyopo ndnai ya kundi hili na pia ilan yao ya uchaguzi?
Back in the day, I was a regular here. But the democratization of the forum, forced some of us kung'atuka.

Baada ya Lowassa kuachia uwaziri mkuu niliandika article kusema kuwa watanzania washukuru their lucky star kwa sababu pamoja na kuwa kashfa ya Richmond ililingizia taifa hasara, ilizima matumaini ya Lowassa kuwa rais. Kutokana mizunguko ya kidunia sikuifanyia editing na sikupata nafasi ya kui-posti.

Vipimo vya matukio vinaonyesha kuwa leo hii Lowassa ana nafasi kama wagombea wengine kuwa rais. Na inawezekana anayo nafasi kubwa ya kuwa rais iwapo CCM itampitisha. Je Lowassa amefanya kitu gani cha maana toka aachie ngazi? Zaidi ya kutoa michango ajafanya chochote kile.

Hivyo ukinipata choice, I will go with Makongoro. Whether he's qualified or not, it doesn't matter to me.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom