Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Hapa mpka sasa Ni wawili tu Mwigulu na Lowasa diyo
Wakweli wengine ni njaa tu




Walikuwa wapi siku zote..

Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??


Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..[/QUOTE]
 
Baro ongezea hapo :-

6. Ndiye candidate atakayerudisha Katiba ya WARIOBA
7. Ndiye candidate atakayeweza kukemea rushwa na ufisadi bila kumumunya maneno
8. Ndiye candidate atakayeleta heshima kwenye chama, mahakama, polisi, magereza, jeshi, usalama n.k kuna makanjanja wengi wameibuka kwenye hizi nyanja muhimu.
9. Anaweza kurudisha matumaini kwa wanyonge maana wamepoteza matumaini
10....
11....

Queen Esther

Asante Queen Ester
 
Baro ongezea hapo :-

6. Ndiye candidate atakayerudisha Katiba ya WARIOBA
7. Ndiye candidate atakayeweza kukemea rushwa na ufisadi bila kumumunya maneno
8. Ndiye candidate atakayeleta heshima kwenye chama, mahakama, polisi, magereza, jeshi, usalama n.k kuna makanjanja wengi wameibuka kwenye hizi nyanja muhimu.
9. Anaweza kurudisha matumaini kwa wanyonge maana wamepoteza matumaini
10....
11....

Queen Esther

Ukoo wa wezi hauwezi kutoa familia takatifu,ukoo wa panya hauwezi kuuchanganya na ukoo wa paka,hakuna mwenye leseni ya kutawala nchii hii,
 
Hapa sasa urais nchi hii ni kwa watoto wa marais tu. Kwan inavyoelekea wameshajipanga. Anaingia makongoro miaka kumi. Akitoka anaingia hussein mwinyi miaka kumi akitoka anaingia ridhiwan. Miaka kumi. Wengine cjui kama kwa mpango wa urais wa kuridhiana cjui itakuwaje.
Aliwazlo mpumbavu ndio limtokealo!!!!
 
Tunahitaji kumchambuwa kwa kina huyu Makongoro.

Wote ni wezi,hakuna atakaye toka ccm akawa muadilifu hata kidogo,labda ule usemi wa chama kimeshika dola uondolewe.lkn kama ccm itabakia kushika dola ,basi watoto wa viongozi hawatufai kupewa madaraka ya kutuongoza.
 
Wote ni wezi,hakuna atakaye toka ccm akawa muadilifu hata kidogo,labda ule usemi wa chama kimeshika dola uondolewe.lkn kama ccm itabakia kushika dola ,basi watoto wa viongozi hawatufai kupewa madaraka ya kutuongoza.

Huna hoja ila viroja

Jadili mada
 
Don't exeggerate mkuu (hapo kwa red), usilete za samaki mmoja akioza wote wameonza - not realistic, not practical, and not fair

Watz tulio wengi tunachukia ufisadi na rushwa, lakini usituaminishe eti kila aliyeoko ccm anapaswa kulaumiwa kwa ufisadi na rushwa. For your information mambo ya ufisadi na rushwa ni ya watu wachache, often powerful people. If you are not powerful by virtual of position you hand up doing nothing, if not mere words kama una uthubutu. Bora Makongoro anauthubutu wa kukemea mafisadi na wala rushwa.

Mapungufu yapo kila chama, hata CUF, Chadema, NCCR na wengine wana mapungufu yao na unafiki vilevile. Chadema walivyokuwa wanapinga posho kinafiki machoni mwa wananchi huku wanaendelea kuzipokea. Mbowe alivyokataaga gari la serikali kinafiki huku analitumia, walivyoweka ndg zao na mahawala zao viti maalum. Mifano iko mingi, lakini hatuwezi ku-generalize eti ukawa wote hawafai kwa sababu ya madudu ya hao wachache ndani ya ukawa. Tukifanya hivyo hatuwatendei haki wengine, so let us be honest and realistic.

BTW sishangai kusikia exeggerations kama hizi kwa Makongoro kwani tunajua wazi jamaa ni threat kwa ukawa.

cc DSN, Andrew Nyerere, baro, Edson, Ndalama, lancanshire, Ndallo, makorere, kwamtoro

Well Said!!
 
Katika watia nia wote waliojitokeza mpaka sasa, inashangaza kujenga hoja zao juu ya upungufu ya kimfumo na kiutawala wa serikali ya CCM ambayo na wao ni sehemu ya utawala huu. Wanaongea as if ni wageni au walifungwa vitambaa machoni sasa wamefunguliwa ndiyo wanajifanya kuona upungufu na uchovu wa CCM.

Tuwe wa kweli hakuna asiyejua Ccm ilipofika haiwez kutusogeza mbele hata kwa nusu hatua,,, wengi waliobaki ni watega mingo au opportunists..

Wako kwenye serikali ya ccm kwa miaka mingi mbona walikuwa kimya mambo yalivyokuwa yanakwenda kombo... Sasa hivi kila mtia nia wa ccm ndiyo anajifanya kuona mafisadi.. kila mtu ndiyo anaijua epa escrow nk. Wakati wapinzani wakipaza sauti juu ya ufisadi huu wanaccm hawa walijifanya hawaoni na as if hakuna kosa lililofanyika..

Mwanaccm anayetangza nia kwa kujenga hoja yake juu ya ufisadi leo.. hana sifa nyingine zaidi ya UNAFIKI

Walikuwa wapi siku zote..

Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??


Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..
Ulikuwa una hoja lakini umeshindwa kuisimami na ndio maana walio wengi wamekudis ...q. sio kuwa ndani ya CCM hakuna watu wema, wazarendo, wenye kuweza kuwatendea haki wenzao...ndio kusema yaliyokea kwa Zitto ndani ya CDM sio kusema CDM yote ina haiba ya Zitto, Samson Mwigamba na Kitla Mkumbo ..au yaliyotokea CUF sio kusema haiba ya Mzee Hamad Rashid ni sawa na Wanacuf wote.Kugeneralize mambo ni ufinyu wa kujituma kujua ukweli wa jambo..

Kuna watu makini ndani ya vyama vyetu vya siasa kuanzia CCM, CDM, CUF, navinginevyo wana uwezo thabiti wa kupambana na matatizo mazito yanayotusibu kama Rushwa, Wizi, Ufisadi, Maendeleo...lakini jinsi ya kuwaweka na kusimamia Taifa.Kwa kuwa tunao walalamika kuwa wanalitafuna Taifa wako ndani ya MFUMO [System] wa Taifa letu.Wengine ni viongozi, watendaji wakuu, watendaji wadogo na hata wananchi wa kawaida.Na popote penye ufisadi au wizi fahamu kuna mahusiano ya kimaslahi pia ...na jambo linapo husu maslahi tambua lina husu hatima ya VITA katika kutengua hatima hiyo.

Tunaposema Taifa liko kwenye Mtanziko wa UFISADI NA RUSHWA ndio kusema sio Viongozi tu hata sie wananchi wa kawaida tuna mchango wetu kwa kuwa mfumo pia uliojengwa HAKUNA RAIA wa kawaida anae weza kusimama na kusema jambo la UFISADI na RUSHWA bila kusukwa sukwa na mfumo wetu.Hivyo kuna tatizo la kitaifa la Ufisadi na Rushwa lakini si kweli kuwa kila RAIA wa Tanzania ni mla Rushwa na Fisadi kama ambavyo wewe unavyotaka kutuaminisha kuwa Wanccm wote ni tatizo.Jenga hoja kwa misingi ya kujenga FACTS.
 
Kweli sina hakika kama kushiriki vita vya kagera ndo sifa ya uongozi

wapime upepo kwanza hadi sasa ni LOWASA ambae mjini na vijijini walifahamu kutangaza nia kwake,lkn bado mmoja ambae kila kona ya nchi hii wanaulizia ni lini.
 
Magazeti ya leo ccm kumewaka moto baada ya MAGUFULI kutangaza kutia nia,kila sehemu nchi nzima wanauliza ni lini,hadi nimeshanga nikakumbuka mbunge mmoja wa upinzani bungeni aliposema huyo ndo mkombozi wa ccm,(mb,machali)
 
zumbemkuu kwanza habar za asbh??
pili nimekumiss sana kule kwetu siku hizi naona umetuacha na akina Zakumi et al

well nirudi kwenye mada, ninachojiuliza kila iitwapo leo, hivi sisi kama wananchi tunazo standards za quality za rais tunayemtaka?

je hivi sisi kama raia and am talking as a very layman person here, what shall be the very attributes that i should anticipate to the coming leader?
hivi sifa za kwamba alipigana vita vya kagera vinafaa kweli kuwa sifa? Makongoro kasemwa alipigana vita, Lowassa nimepigana vita Wassira nimepigana vita sasa should we assume that war is coming so we are going to elect a person ambaye ataenda front line kutupigania?

je kuambiwa kwamba mtu ni mchumi mzuri, ana elimu ya diplomasia sijui ni mwana hitoria mzuri vinatosha kutufanya kumpata kiongozi bora na makin tunayemtaka?

mbona swala la elimu kwenye katiba liko kwamba awe na elimu ya sekondari, awe ana miaka isiyopungua 45 sijui lkn sifa hizi bado pia ni finyu sana za kusema tumzitumie kumpata rais wa nchi hii.

Hebu hapa kwanza kabisa tujadili jaman tunamtaka rais wa nchi hii awe na sifa zipi? na hapa tujiwekee records ambazo ni rahisi kuzivalidate, mfano ukisema familia yakie imeish maisha ambayo ni humble haina maana kwamba watoto wa familia wote ni humble wanaweza wakawepo ambao sio humble pia na wakajificha chin ya sifa nzuri za familia.

Labda unisaidia jambo hapa brodah!!..............sisi kama raia tulioko huku usweken ambao ukweli hata elimu tu ni shida lkn tunataka kumchagua rais je tumchague kwa kufuata chama, ama mtu, ama anavyopigiwa makofi mengi, ama jina lake ebu nisaidie tutatumia nini hasa kama standards kwenye hili?

Zakumi kafanya nini tena kule? Anakuleteani shida gani kule? Haya ngoja niwaachie great thinkers yenu na mimi nirudi huku uswekeni.

Anyway, kikatiba sifa za kuwa rais anazo. Sifa zilizobakia ni za ziada tu. Rais wa Tanzania hatakiwi kuwa technician au mkuu wa kamati ya ufundi.

Akitumia ujeshi wake na kufuata script anaweza kuwa rais mwenye mafanikio mazuri tu.
 
Wacha kutudanganya hapa,na inaonekana unaongea ki shabiki zaidi kuliko kujua nini kinaendelea ndani ya ccm,kwa kuanzia tu je unaweza sababu kubwa iliyompelekea Ally Karume kutoka Zanzibar,atangaze Jana kuingia kwenye kinyang'anyiro cha urais wa muungano na siyo visiwani? Kama hujui unachokiongelea nyamaza Mkuu.

Kwani Ally Karume hii ni mara yake ya kwanza? Kama sitakosea 2005 alitangaza kugombea muungano. Na alisema kuwa akichaguliwa Ikulu ataipeleka mara moja Dodoma.
 
mkuu zero point zako zinaekeweka ,lakin umeshindwa kutuekeza ,who among the aspirants anafaa,especially ndani ya ccm.
men personally kwa wana ccm wote walio tangaza nia namuona at least yeye kidogo,bado nasubiri na wengine so far he is the man to beat .
so ebu tupe mwangaza kidogo ,apart from makongoro who else mr zero.


So far ni mapema kusema ni nani anafaa!! Given a choice among the known candidates from CCM I would rather vote for Magufuli!!
 
Kwani Ally Karume hii ni mara yake ya kwanza? Kama sitakosea 2005 alitangaza kugombea muungano. Na alisema kuwa akichaguliwa Ikulu ataipeleka mara moja Dodoma.

Ok,sina uhakika na hilo ila kwa safari hii kaingia ki mkakati zaidi,tuombe uzima ili wakati ukifika tushuhudie ukweli.
 
Msuguri.png
Mh. Makongoro Nyerere akiwa na Musuguri akipata baraka kabla ya kuelekea Dodoma kuchukua fomu ya Kugombea Urais.
 
Magazeti ya leo ccm kumewaka moto baada ya MAGUFULI kutangaza kutia nia,kila sehemu nchi nzima wanauliza ni lini,hadi nimeshanga nikakumbuka mbunge mmoja wa upinzani bungeni aliposema huyo ndo mkombozi wa ccm,(mb,machali)

Ccm hakuna aliye msafi
 
Don't exeggerate mkuu (hapo kwa red), usilete za samaki mmoja akioza wote wameonza - not realistic, not practical, and not fair

Watz tulio wengi tunachukia ufisadi na rushwa, lakini usituaminishe eti kila aliyeoko ccm anapaswa kulaumiwa kwa ufisadi na rushwa. For your information mambo ya ufisadi na rushwa ni ya watu wachache, often powerful people. If you are not powerful by virtual of position you hand up doing nothing, if not mere words kama una uthubutu. Bora Makongoro anauthubutu wa kukemea mafisadi na wala rushwa.

Mapungufu yapo kila chama, hata CUF, Chadema, NCCR na wengine wana mapungufu yao na unafiki vilevile. Chadema walivyokuwa wanapinga posho kinafiki machoni mwa wananchi huku wanaendelea kuzipokea. Mbowe alivyokataaga gari la serikali kinafiki huku analitumia, walivyoweka ndg zao na mahawala zao viti maalum. Mifano iko mingi, lakini hatuwezi ku-generalize eti ukawa wote hawafai kwa sababu ya madudu ya hao wachache ndani ya ukawa. Tukifanya hivyo hatuwatendei haki wengine, so let us be honest and realistic.

BTW sishangai kusikia exeggerations kama hizi kwa Makongoro kwani tunajua wazi jamaa ni threat kwa ukawa.

cc DSN, Andrew Nyerere, baro, Edson, Ndalama, lancanshire, Ndallo, makorere, kwamtoro

Mkuu hayo ni mawazo yako na huna haki yoyote ya kuzuia mtu mwingine kutoa mawazo yake,wewe kama unaishangilia ccm sawa na wanaoshabikia wapinzani ni haki yao.ccm wote ni majizi tu na hilo litabaki kuwa ni mtazamo wa kila mpenda haki ktk nchi hii,na hawatakiwi kupewa nafasi ya kuliongoza tena taifa letu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom