Talapo
Senior Member
- Nov 22, 2014
- 120
- 41
Katika watia nia wote waliojitokeza mpaka sasa, inashangaza kujenga hoja zao juu ya upungufu ya kimfumo na kiutawala wa serikali ya CCM ambayo na wao ni sehemu ya utawala huu. Wanaongea as if ni wageni au walifungwa vitambaa machoni sasa wamefunguliwa ndiyo wanajifanya kuona upungufu na uchovu wa CCM.
Tuwe wa kweli hakuna asiyejua Ccm ilipofika haiwez kutusogeza mbele hata kwa nusu hatua,,, wengi waliobaki ni watega mingo au opportunists..
Wako kwenye serikali ya ccm kwa miaka mingi mbona walikuwa kimya mambo yalivyokuwa yanakwenda kombo... Sasa hivi kila mtia nia wa ccm ndiyo anajifanya kuona mafisadi.. kila mtu ndiyo anaijua epa escrow nk. Wakati wapinzani wakipaza sauti juu ya ufisadi huu wanaccm hawa walijifanya hawaoni na as if hakuna kosa lililofanyika..
Mwanaccm anayetangza nia kwa kujenga hoja yake juu ya ufisadi leo.. hana sifa nyingine zaidi ya UNAFIKI
Walikuwa wapi siku zote..
Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??
Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..
Umenena sana. Great thinker