Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Katika watia nia wote waliojitokeza mpaka sasa, inashangaza kujenga hoja zao juu ya upungufu ya kimfumo na kiutawala wa serikali ya CCM ambayo na wao ni sehemu ya utawala huu. Wanaongea as if ni wageni au walifungwa vitambaa machoni sasa wamefunguliwa ndiyo wanajifanya kuona upungufu na uchovu wa CCM.

Tuwe wa kweli hakuna asiyejua Ccm ilipofika haiwez kutusogeza mbele hata kwa nusu hatua,,, wengi waliobaki ni watega mingo au opportunists..

Wako kwenye serikali ya ccm kwa miaka mingi mbona walikuwa kimya mambo yalivyokuwa yanakwenda kombo... Sasa hivi kila mtia nia wa ccm ndiyo anajifanya kuona mafisadi.. kila mtu ndiyo anaijua epa escrow nk. Wakati wapinzani wakipaza sauti juu ya ufisadi huu wanaccm hawa walijifanya hawaoni na as if hakuna kosa lililofanyika..

Mwanaccm anayetangza nia kwa kujenga hoja yake juu ya ufisadi leo.. hana sifa nyingine zaidi ya UNAFIKI

Walikuwa wapi siku zote..

Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??


Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..

Umenena sana. Great thinker
 
ukirejea ujasiri wa Charles Makongoro Nyerere katika vikao vya CCM dhidi ya ufisadi hasa kuthubutu kumuhoji Mwenyekiti wa Chama maswali ambayo wengine wanaogopa kuuliza, ni dhairi ana ujasiri wa kunyoosha mabonde ya rushwa, ufisadi, wizi, hujuma, dhuluma
 
Nafikiri utakuwa umeandika haya kwa mapenzi binafsi na familia ya Nyerere kwa vile Nyerere alikuwa ni kipenzi cha Watanzania. Hivi kupigana Kagera ukiwa na miaka 18 inakuwa ni certificate ya kuupatia Urais!!? There are families that lost their beloved ones and never been recognized or rewarded!!

Makongoro kuwa hana kashifa yeyote inawezekana kabisa ni kwa vile hajakaa na kufanya kazi kwenye system. Tuambie amefanya kazi wapi na ameweza kuepuka temptation za rushwa!! So far hatujawahi hata kumsikia akipiga vita rushwa zaidi ya kuwachacharikia wachache waliokuwa wanakipa bad image chama!! ndiyo maana kwenye speech yake kaanza na EL!!

Kama kweli ni kiongozi mzuri ilikuwaje kweli CCM washindwe kumuona siku zote mpaka leo!! Akina Mkapa, Kikwete na Mwinyi mbona walishindwa kum-groom hata kwa kumpa tu Ukuu wa Wilaya ili kila mtu aaone uwezo wake kama kiongozi. Doing an experiment on us would be a BIG risk. Leaving POOR and staying humble as a family was never their choice, it was rather Mwalimu's choice and his kind of life style. We cannot be so sure what's really in his mind. What we are trying to do here is to speculate or postulate!!

We all know by now, we will NEVER have another Nyerere or his replica!!

so who do you want as to endorse? thebwholenccm is rotten ,wapo wachache tu waliobaki Kama wakina makongoro,judge Ramadhan na baazi tu..hata hawa tunao wana nafuu hamna kitu sema tu wana ka unafuu japo kidogo.
wewe kwa mtazamo wako nani anafaa a part from makongoro.
 
Mkuu MOTOCHINI Makongoro alikuwa mbunge wangu kwa muda mfupi sana nadhani mwaka mmoja nilishiriki kulinda kura zake ukweli ni kwamba wala hakufanya kampeni wakati ule muda mwingi alikuwa na A L Mrema akizunguka naye nchi nzima alirudi Arusha siku tatu kabla ya uchaguzi na akashinda kwa kura nyingi sana.

Makongoro hakuwa na fedha za kuonga badala yake alikuwa akipewa vinywaji na wapiga kura,hakuwa na gari la kampeni,hakuwa mtu wa kujitenga na wananchi wa kada ya chini alikuwa mtu wa kawaida sana tena unaweza kumkuta sehemu ya hovyo sana na kama haukuambiwa huyu ni mtoto wa Mwl Nyerere ungeweza kufikiri ni dereva wa malori au kazi nyingine za kada ya chini kabisa.

Ni muda mrefu umepita sijui yuko vipi siku hizi kwa maana ya misimamo yake na tabia zake.Nafasi ya uRais ni kubwa sana inahitaji mtu aliyetulia sasa sijui kama zile shamra shamra za ujana bado zipo au lah.Makongoro anaweza kuwa kiongozi mzuri sana lakini chama chake kimeoza,kinakumbatia rushwa,kimejiondoa kutoka chama cha wakulima na wafanyakazi hadi kuwa chama wezi,madalali wa rasilimali za taifa sioni Makongoro akiweza kuondoa uozo wote huu kabla hawajamwondoa na kumfutilia mbali.


Humkubali sana ila unamkubali Ngongo upohuru mbona unaogopaogopa! toa hisia zako
 
Last edited by a moderator:
Your point is clear but why CCM never so that potential till today!!? There must be a reason and I will need to be convinced.

Ujasiri wake ni kutokana na kuwa anajua he was untouchable he could not be victimized as long as he did not break the law. There are lot of people who have been the victim of circumstances. That is CCM, you have play by their game!!

mkuu mr zero,you just said you need to be convinced ,that's good let me convince you at a certain level .
ccm knew that the guy was smart to an extend,due to their dirty linens ,they knew very well that is we groom this chap,then he may be a time bomb on out dirty deals.
so that's why they developed a cold shoulder towards him.
mkuu mr zero,you have to convince us why the guy is not fit ,and who do you think is ambo ambo in that seat.
 
Vizuri sana, Kaka Andrew. Vyema viongozi wote wakafahamu hivyo. Generali Musuguri ametumikia vyema Taifa letu na hasa katika ile vita ngumu sana katika historia yetu, Vita ya Kagera.

Na pia, Tuzidi kumuombea Kaka Charles Makongoro kupita kwenye vizuizi vyote hadi Mkutano Mkuu wa CCM na kuwa Rais wetu ili kutuweka vyema kufuata misingi aliyotuachia Baba wa Taifa.
 
Iran toka lini ikawa nchi kuwadi,Kama Kuna nchi za kujifunza duniani Ni Iran kosa lake Ni moja imekataa kuyapigia magoti mataifa makubwa yenye kiburi,Na Kama uislam ndiyo tatizo Saudi Arabia inao pia lakini watu kimya sababu zipo wazi Kuna majeshi ya Marekani yanaulinda utawala wa kimabavu usioruhusu hata wanawake kuendesha gari ifike mahali waafrika tusiwe Na akili za kushikiwa,mabeberu wanatuzuia kufanya biashara Na waarabu lakini Wao kila kukicha wapi arabuni kuchota mafuta ya bure Na fedha zisizo Na riba halafu pesa hizohizo wanatukopesha kwa riba,waafrika bwana hivi mpaka lini tutatoka kwenye utmwa wa wazungu? wakisema Qaddafi mbaya makasuku wanarudia hivyohivyo mpaka nukta,wakisema Iran mbaya bila kujiyliza ubaya wake upi au dini take?Na Kama dini take Na Saudi Arabia Ana dini hiyohiyo.hivi waafrika Kama vile hatuna ubongo=Phillemon Mikael;12882883]Tofauti ya makongoro na hao ni :-

Alipigana vita vya Kagera Tena kwa kujitolea akiwa na Umri mdogo tu wa Karibu miaka 18
Ni afisa wa jeshi mwenye taaluma ya mizinga,usalama na mikakati
Ana shahada ya mikakati ya kimataifa na Diplomasia
Na amefanikwia kujenga Jina lake mwenyewe bila kutegemea kubebwa na Jina la baba yake ...Ndio Maana aligombea kwa tiketi ya upinzani pamoja na kuwa na uhakika wa kupitishwa kwa protocol za Jina Ndani ya ccm
Familia Yao imeishi maisha very humble na ya kuridhika sana ..Kama watanzania

Kassoro pekee inayoweza kumgharimu anayotakiwa kufanyia kazi ni kudhibitisha kuwa Ana uelewa wa UCHUMI wa soko na kuwa atakuwa rafik Kwa sekta binafsi ambayo inawajibika....ni lazima akutane na wafanyabiashara awahakikishie kuwa anaunga mkono Uchumi wa kisasa ...wasikir atafuata sera za UCHUMI za babake ...unaweza usipende utajiri Kama Obama lakini unaweza kusimama wakafaulu hawa watakuwa na uhakika kabisa ...mgombea pekee ambaye hatakuwa akiwaomba wafanyabiashara rushwa ni Makongoro
Mgombea pekee ambaye hatakuwa na genge la wafanyabiashara wa kuwalipa fadhila ni yeye ....Hadaiwi pesa na Nchi kuwadi Kama Iran ..na zingine ..akiwa na washauri wazuri anaweza kufanyia kazi kwa uhuru Zaidi[/QUOTE]
 
mkuu mr zero,you just said you need to be convinced ,that's good let me convince you at a certain level .
ccm knew that the guy was smart to an extend,due to their dirty linens ,they knew very well that is we groom this chap,then he may be a time bomb on out dirty deals.
so that's why they developed a cold shoulder towards him.
mkuu mr zero,you have to convince us why the guy is not fit ,and who do you think is ambo ambo in that seat.

Sina tatizo lolote na yeye kwa vile ni haki yake kugombea kama anaona anao huo uwezo. Lakini kwa point ulizoziweka hapa there is no prove what so ever kuwa unachokisema ni kweli. You are probably among the few who know this!! What we are trying to do with him is a trial and error!! BIG RISK!!

In my side I do not have to convince anybody because I do not know him. He is the one who should be convincing us because we not know him. Personally, I am doubting about his capabilities as a leader especially for such higher post!! Is he the LEADER that we need at this point in time!!? To me this is a VIBE and people are being carried away with it!! This is very dangerous game ............ I do not know why we don't learn from the past because it has happened to us before!! I STILL TO CONVINCED!!
 
Haikuwahi kutokea....!
Ombwe la Uongozi ni laana inayoitafuna Nchi hii. Kila Mwana CCM anafikiri ana sifa za kutangaza nia...
Mh Makongoro hata post ya DC or RC hakuwahi kufikiriwa na Hon JK...
 
Andrew usije ukajigeuza kuwa msemaji wa familia. Utaharibu mbaya.
Inabidi tu uwe 'hacked' for better.
 
Yaan Andrew Nyerere aache uzushi juu ya habari yake kuhusu mdogo wake wa damu Makongoro Nyerere??FUNGUKA!!

Teeeh,teeeeh,msamehe ndio anatoka usingizini hivyo hakuusoma Uzi vyema.
 
Sheria mpya ya mambo ya habari ikisainiwa mutu kama wewe unafungwa, kwa sababu unaingilia mambo ya watu usiyoyajua vizuri
 
Tofauti ya makongoro na hao ni :-

Alipigana vita vya Kagera Tena kwa kujitolea akiwa na Umri mdogo tu wa Karibu miaka 18
Ni afisa wa jeshi mwenye taaluma ya mizinga,usalama na mikakati
Ana shahada ya mikakati ya kimataifa na Diplomasia
Na amefanikwia kujenga Jina lake mwenyewe bila kutegemea kubebwa na Jina la baba yake ...Ndio Maana aligombea kwa tiketi ya upinzani pamoja na kuwa na uhakika wa kupitishwa kwa protocol za Jina Ndani ya ccm
Familia Yao imeishi maisha very humble na ya kuridhika sana ..Kama watanzania

Kassoro pekee inayoweza kumgharimu anayotakiwa kufanyia kazi ni kudhibitisha kuwa Ana uelewa wa UCHUMI wa soko na kuwa atakuwa rafik Kwa sekta binafsi ambayo inawajibika....ni lazima akutane na wafanyabiashara awahakikishie kuwa anaunga mkono Uchumi wa kisasa ...wasikir atafuata sera za UCHUMI za babake ...unaweza usipende utajiri Kama Obama lakini unaweza kusimama wakafaulu hawa watakuwa na uhakika kabisa ...mgombea pekee ambaye hatakuwa akiwaomba wafanyabiashara rushwa ni Makongoro
Mgombea pekee ambaye hatakuwa na genge la wafanyabiashara wa kuwalipa fadhila ni yeye ....Hadaiwi pesa na Nchi kuwadi Kama Iran ..na zingine ..akiwa na washauri wazuri anaweza kufanyia kazi kwa uhuru Zaidi

Watanzani tumeshachoshwa na uongozi wa kifamilia utadhani wao ndio walio lipia leseni kwa mungu kuja kuitawala tanzania,tumechoka,tumechoka na ni wakati muafaka sasa kumchagua mtanzania yeyoye awaye mwenyesifa kuliko kuwachagua hawa watoto wa marais
 
Hapa sasa urais nchi hii ni kwa watoto wa marais tu. Kwan inavyoelekea wameshajipanga. Anaingia makongoro miaka kumi. Akitoka anaingia hussein mwinyi miaka kumi akitoka anaingia ridhiwan. Miaka kumi. Wengine cjui kama kwa mpango wa urais wa kuridhiana cjui itakuwaje.

Awape nani labda kura ziwe za maruhani.
 
1. Kwanini hamuweki sifa za Rais anayetakiwa ili wananchi wapime badala ya kutuletea watu na wasif wao dhidi ya wengine???!!!
2. Kama issue ni jeshi na vita huyu ndio mpiganaji bora wa vita hiyo??!! Wa pili alikiwa nani na wa mwisho alikuwa nani??!!!
3. Mambo ya usalama huyu ndio gwiji kweli??!!
4. Kuhusu jina hili tusiongelee sababu hakuna jinsi ya kutenga hayo mawili na ndio maana karudi huko kutangaza nia sababu ya nasaba hiyo unayotaka kuiua hapa. . . . . Hili hapana!!!

Huko kote unakotaja ni lini mliweka mzani wa kupima wengine wenye fani hizo????
Kama mmependa fine awekwe kwenye mzani kama kawaida . . . . . .

Kwa kauli na vitendo vyoote vya watoto wa viongozi wastaafu,ndio viwe point ya kwanza ya kuwatoa ktk hata kwenye foreni ya kusubiri kupigiwa kura.
 
Back
Top Bottom