Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Tofauti ya makongoro na hao ni :-

Alipigana vita vya Kagera Tena kwa kujitolea akiwa na Umri mdogo tu wa Karibu miaka 18
Ni afisa wa jeshi mwenye taaluma ya mizinga,usalama na mikakati
Ana shahada ya mikakati ya kimataifa na Diplomasia
Na amefanikwia kujenga Jina lake mwenyewe bila kutegemea kubebwa na Jina la baba yake ...Ndio Maana aligombea kwa tiketi ya upinzani pamoja na kuwa na uhakika wa kupitishwa kwa protocol za Jina Ndani ya ccm
Familia Yao imeishi maisha very humble na ya kuridhika sana ..Kama watanzania

Kassoro pekee inayoweza kumgharimu anayotakiwa kufanyia kazi ni kudhibitisha kuwa Ana uelewa wa UCHUMI wa soko na kuwa atakuwa rafik Kwa sekta binafsi ambayo inawajibika....ni lazima akutane na wafanyabiashara awahakikishie kuwa anaunga mkono Uchumi wa kisasa ...wasikir atafuata sera za UCHUMI za babake ...unaweza usipende utajiri Kama Obama lakini unaweza kusimama wakafaulu hawa watakuwa na uhakika kabisa ...mgombea pekee ambaye hatakuwa akiwaomba wafanyabiashara rushwa ni Makongoro
Mgombea pekee ambaye hatakuwa na genge la wafanyabiashara wa kuwalipa fadhila ni yeye ....Hadaiwi pesa na Nchi kuwadi Kama Iran ..na zingine ..akiwa na washauri wazuri anaweza kufanyia kazi kwa uhuru Zaidi

Nafikiri utakuwa umeandika haya kwa mapenzi binafsi na familia ya Nyerere kwa vile Nyerere alikuwa ni kipenzi cha Watanzania. Hivi kupigana Kagera ukiwa na miaka 18 inakuwa ni certificate ya kuupatia Urais!!? There are families that lost their beloved ones and never been recognized or rewarded!!

Makongoro kuwa hana kashifa yeyote inawezekana kabisa ni kwa vile hajakaa na kufanya kazi kwenye system. Tuambie amefanya kazi wapi na ameweza kuepuka temptation za rushwa!! So far hatujawahi hata kumsikia akipiga vita rushwa zaidi ya kuwachacharikia wachache waliokuwa wanakipa bad image chama!! ndiyo maana kwenye speech yake kaanza na EL!!

Kama kweli ni kiongozi mzuri ilikuwaje kweli CCM washindwe kumuona siku zote mpaka leo!! Akina Mkapa, Kikwete na Mwinyi mbona walishindwa kum-groom hata kwa kumpa tu Ukuu wa Wilaya ili kila mtu aaone uwezo wake kama kiongozi. Doing an experiment on us would be a BIG risk. Leaving POOR and staying humble as a family was never their choice, it was rather Mwalimu's choice and his kind of life style. We cannot be so sure what's really in his mind. What we are trying to do here is to speculate or postulate!!

We all know by now, we will NEVER have another Nyerere or his replica!!
 
Mkuu Mr. Zero Makongoro mbunge wangu wa zamani ni jasiri katika kipindi cha mwaka mmoja alikuwa akitukosha wakaazi wa Arusha wakati huo kwa kutupa mrejesho wa mapato na matumizi kitu ambacho wanaCCM katika halmashauri hawakukipenda.

Akiwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara alishiriki katika vikao mbali mbali vya chama kitaifa na kimkoa.Moja ya mchango wake utakao kumbukwa ni pale alipomwambia Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT juu ya udhaifu wake wa kuwapigia kampeni akina Lowassa,Rostam Aziz,Chenge baada ya kutuhimiwa kwa kashfa mbali mbali.

Si kwamba namkubali sana Makongoro la hasha lakini alionyesha ujasiri mkubwa ambao wengine wengi hawakuwa nao.

Nafikiri utakuwa umeandika haya kwa mapenzi binafsi na familia ya Nyerere kwa vile Nyerere alikuwa ni kipenzi cha Watanzania. Hivi kupigana Kagera ukiwa na miaka 18 inakuwa ni certificate ya kuupatia Urais!!? There are families that lost their beloved ones and never been recognized or rewarded!!

Makongoro kuwa hana kashifa yeyote inawezekana kabisa ni kwa vile hajakaa na kufanya kazi kwenye system. Tuambie amefanya kazi wapi na ameweza kuepuka temptation za rushwa!! So far hatujawahi hata kumsikia akipiga vita rushwa zaidi ya kuwachacharikia wachache waliokuwa wanakipa bad image chama!! ndiyo maana kwenye speech yake kaanza na EL!!

Kama kweli ni kiongozi mzuri ilikuwaje kweli CCM washindwe kumuona siku zote mpaka leo!! Akina Mkapa, Kikwete na Mwinyi mbona walishindwa kum-groom hata kwa kumpa tu Ukuu wa Wilaya ili kila mtu aaone uwezo wake kama kiongozi. Doing an experiment on us would be a BIG risk. Leaving POOR and staying humble as a family was never their choice, it was rather Mwalimu's choice and his kind of his life style. We cannot be so sure what's really in his mind. What we are trying to do here is to speculate or postulate!!

We all know by now, we will NEVER have another Nyerere or his replica!!
 
Last edited by a moderator:
Hatutaki Rais mfanyabiashara, lowasa kupitia Alphatel, kuwa na nyumba za kupangisha, tayari mfanyabiashara, wasira ni mfanyabiashra wa samaki msasani mita chache kutoka polisi oystarbay, aliwahi kuniuzia samaki, hawa wanaweza kutuangamiza kwa kutetea maslahi yao.
 
Mkuu Mr. Zero Makongoro mbunge wangu wa zamani ni jasiri katika kipindi cha mwaka mmoja alikuwa akitukosha wakaazi wa Arusha wakati huo kwa kutupa mrejesho wa mapato na matumizi kitu ambacho wanaCCM katika halmashauri hawakukipenda.

Akiwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara alishiriki katika vikao mbali mbali vya chama kitaifa na kimkoa.Moja ya mchango wake utakao kumbukwa ni pale alipomwambia Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT juu ya udhaifu wake wa kuwapigia kampeni akina Lowassa,Rostam Aziz,Chenge baada ya kutuhimiwa kwa kashfa mbali mbali.

Si kwamba namkubali sana Makongoro la hasha lakini alionyesha ujasiri mkubwa ambao wengine wengi hawakuwa nao.

Your point is clear but why CCM never so that potential till today!!? There must be a reason and I will need to be convinced.

Ujasiri wake ni kutokana na kuwa anajua he was untouchable he could not be victimized as long as he did not break the law. There are lot of people who have been the victim of circumstances. That is CCM, you have play by their game!!
 
Nafikiri utakuwa umeandika haya kwa mapenzi binafsi na familia ya Nyerere kwa vile Nyerere alikuwa ni kipenzi cha Watanzania. Hivi kupigana Kagera ukiwa na miaka 18 inakuwa ni certificate ya kuupatia Urais!!? There are families that lost their beloved ones and never been recognized or rewarded!!

Makongoro kuwa hana kashifa yeyote inawezekana kabisa ni kwa vile hajakaa na kufanya kazi kwenye system. Tuambie amefanya kazi wapi na ameweza kuepuka temptation za rushwa!! So far hatujawahi hata kumsikia akipiga vita rushwa zaidi ya kuwachacharikia wachache waliokuwa wanakipa bad image chama!! ndiyo maana kwenye speech yake kaanza na EL!!

Kama kweli ni kiongozi mzuri ilikuwaje kweli CCM washindwe kumuona siku zote mpaka leo!! Akina Mkapa, Kikwete na Mwinyi mbona walishindwa kum-groom hata kwa kumpa tu Ukuu wa Wilaya ili kila mtu aaone uwezo wake kama kiongozi. Doing an experiment on us would be a BIG risk. Leaving POOR and staying humble as a family was never their choice, it was rather Mwalimu's choice and his kind of life style. We cannot be so sure what's really in his mind. What we are trying to do here is to speculate or postulate!!

We all know by now, we will NEVER have another Nyerere or his replica!!

Umenigusa sana ndugu!! sifa ya kwenda jeshini kupigana si sababu ya kuwa raisi wetu,Kuna jamaa ameniambia kuwa alikuwa kutwa anashinda kwenye mahandaki vita ikitulia anasimamia wapishi basi.
 
Mlevi wa gongo anataka kwenda ikulu kufanya nini,kwani ikulu kuna kiwanda cha gongo jamani,ebu oneni midomo yake ilvyo myekundu sababu ya gongo
 
Huyu si ndo mtoto, mwalimu aliyemwita kaini baada ya kwenda NCCR? Uraisi TZ ni kama game ya mapenzi Bongo Fleva
 
Haya yote ya makongoro yalikuwa wapi siku zote? Huu unafiki wa kiafrika sijui utatufikisha wapi,

Miafrika ndio ilivyo
Cc Nyani Ngabu
 
Last edited by a moderator:
Andrew Nyerere

Mkuu haujaeleweka, Na kama huana cha kuandika bora ukae kimya
 
Last edited by a moderator:
Meli mbili za kivita tulizonunua kutoka China hivi karibuni zina majina gani na vilipokelewa na kukaguliwa na naini? Huyo ndie THE NEXT COMMANDER IN CHIEF

duh!
naanza kuconnect hizo dots. Nilimuona ktk habari kwenye tv siku hiyo nikajiuliza huyu anafanya nini huku baharini?
 
Katika watia nia wote waliojitokeza mpaka sasa, inashangaza kujenga hoja zao juu ya upungufu ya kimfumo na kiutawala wa serikali ya CCM ambayo na wao ni sehemu ya utawala huu. Wanaongea as if ni wageni au walifungwa vitambaa machoni sasa wamefunguliwa ndiyo wanajifanya kuona upungufu na uchovu wa CCM.

Tuwe wa kweli hakuna asiyejua Ccm ilipofika haiwez kutusogeza mbele hata kwa nusu hatua,,, wengi waliobaki ni watega mingo au opportunists..

Wako kwenye serikali ya ccm kwa miaka mingi mbona walikuwa kimya mambo yalivyokuwa yanakwenda kombo... Sasa hivi kila mtia nia wa ccm ndiyo anajifanya kuona mafisadi.. kila mtu ndiyo anaijua epa escrow nk. Wakati wapinzani wakipaza sauti juu ya ufisadi huu wanaccm hawa walijifanya hawaoni na as if hakuna kosa lililofanyika..

Mwanaccm anayetangza nia kwa kujenga hoja yake juu ya ufisadi leo.. hana sifa nyingine zaidi ya UNAFIKI

Walikuwa wapi siku zote..

Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??


Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..
well said. tatizo kwa sasa ni chama cha CCM na yeyote aliyeko ndani ya hicho chama ni kuondoa. Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni manganyanganya. Hatutakiwa kuangalia nani katoka na sera nzuri, ilimradi yuko ndani ya ccm wote ni uozo tu sawa na chama chao. WaTZ kazi moja tu, delete ccm
 
Hapa sasa urais nchi hii ni kwa watoto wa marais tu. Kwan inavyoelekea wameshajipanga. Anaingia makongoro miaka kumi. Akitoka anaingia hussein mwinyi miaka kumi akitoka anaingia ridhiwan. Miaka kumi. Wengine cjui kama kwa mpango wa urais wa kuridhiana cjui itakuwaje.
Sikiivyo ila akiwa na uwezo vyema kuishaidia nchi
 
Katika watia nia wote waliojitokeza mpaka sasa, inashangaza kujenga hoja zao juu ya upungufu ya kimfumo na kiutawala wa serikali ya CCM ambayo na wao ni sehemu ya utawala huu. Wanaongea as if ni wageni au walifungwa vitambaa machoni sasa wamefunguliwa ndiyo wanajifanya kuona upungufu na uchovu wa CCM.

Tuwe wa kweli hakuna asiyejua Ccm ilipofika haiwez kutusogeza mbele hata kwa nusu hatua,,, wengi waliobaki ni watega mingo au opportunists..

Wako kwenye serikali ya ccm kwa miaka mingi mbona walikuwa kimya mambo yalivyokuwa yanakwenda kombo... Sasa hivi kila mtia nia wa ccm ndiyo anajifanya kuona mafisadi.. kila mtu ndiyo anaijua epa escrow nk. Wakati wapinzani wakipaza sauti juu ya ufisadi huu wanaccm hawa walijifanya hawaoni na as if hakuna kosa lililofanyika..

Mwanaccm anayetangza nia kwa kujenga hoja yake juu ya ufisadi leo.. hana sifa nyingine zaidi ya UNAFIKI

Walikuwa wapi siku zote..

Sasa hivi wanamwangushia lawama Kikwete.. nashangaa hata mawaziri nao eti ni wakosoaji wa mfumo uliopo..!??


Mtawezaje kujitoa na kuwa suluhisho la matatizo wakati ninyi wenyewe n sehemu ya tatizo..

Ahsante mkuu CCM iko kwenye menopause haiwezi tena kufanya lolote la maana zaid wataendelea kutuibia tu
 
Mkuu Mr. Zero Makongoro mbunge wangu wa zamani ni jasiri katika kipindi cha mwaka mmoja alikuwa akitukosha wakaazi wa Arusha wakati huo kwa kutupa mrejesho wa mapato na matumizi kitu ambacho wanaCCM katika halmashauri hawakukipenda.Akiwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara alishiriki katika vikao mbali mbali vya chama kitaifa na kimkoa.Moja ya mchango wake utakao kumbukwa ni pale alipomwambia Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT juu ya udhaifu wake wa kuwapigia kampeni akina Lowassa,Rostam Aziz,Chenge baada ya kutuhimiwa kwa kashfa mbali mbali.Si kwamba namkubali sana Makongoro la hasha lakini alionyesha ujasiri mkubwa ambao wengine wengi hawakuwa nao.
Humkubali sana ila unamkubali Ngongo upohuru mbona unaogopaogopa! toa hisia zako
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom