Makongoro Nyerere akutana na Jenerali David Musuguri

Nipo Jasusi. Napenda ufalme. Makongoro - Rais. Hussein Mwinyi - Makamu. Joseph Sokoine- Prime Minister. List ya 1983-1984.
Siyo ufalme; anagombea akitokea nje ya system kabisa. Hajwahi kuwemo kwenye system ya utawala hata pale baba yake alipokuwa hai. Sijona mgombea mwingine ambaye hajawahi kuwa waziri au naibu waziri.
 
Siyo ufalme; anagombea akitokea nje ya system kabisa. Hajwahi kuwemo kwenye system ya utawala hata pale baba yake alipokuwa hai. Sijona mgombea mwingine ambaye hajawahi kuwa waziri au naibu waziri.

Are you in the tank already?
 

Goood of you!
 
Siyo ufalme; anagombea akitokea nje ya system kabisa. Hajwahi kuwemo kwenye system ya utawala hata pale baba yake alipokuwa hai. Sijona mgombea mwingine ambaye hajawahi kuwa waziri au naibu waziri.

I don't know the guy. But if his surname can keep some crooks away, I will take it.
 

Acha woga kijana!
 
Zakumi ndo mana mie nimebaki najiuliza hivi sisi kama watanzania quality za rais tunayemtaka ni zipi? ama tusimamie tu zile za kwenye katiba ambazo ni too general? nadhan asasi zisizo za kiraia ambazo zinajishughulisha na maswala ya utawala bora pamoja na taasis za kiserikal zinazohusika juu ya utoaj elimu ya uraia wameshindwa kutelekeza majukum yao. Sijaona popote pale wakiwaelimisha raia kama raia kwamba hii ndio quality ya mtu anayefaa kuwa kiongozi. ili sasa na sisi tuende tukijitahd kutafuta nani ambaye ana sifa japo za kukaribiana na hizo.

ieleweke kwamba hiki cheo cha urais sio cheo kidogo hatakidogo sasa lazima tuwe na uelewa nacho sisi kama raia na sio kusubiri mashirika yatoke ulaya kuja kutufundisha haya . 50 yrs baada ya uhuru lakn sijaona elimu ya uraia ikitolewa ya kumpa raia uhuru wa kuchagua mtu akiwa na uhakika.

ivi unadhan ingekuwepo haya ya watu kununuliwa kwa pesa yangekuwepo? funny enough kila anayetangaza nia huko CCM anasema usimchague fisad sasa najiuliza nyerere aliwah kutuambia maneno hayo hayo kwamba Ikulu kuna biashara gani hadi mumchague mtu anayewapa hela? alieleweka kwasabb nyakati zile uelewa wa watu ulikuwa nao bado ni ule wa kutojiuliza maswal mengi.

sasa tena 30 yrs later bado tumekalia kukariri yaleyale alosema nyerere hatuon hata umuhimu wa kujiongeza kidogo kwmba hizi nsizo sifa sahihi za mtu anayefaa kuwa mgombea?

Halafu shida kubwa iliyopo ni kwamba wagombea kwa kujua kwamba raia hawalijui hili basi hakuna anayehangaika nalo ndo mana hata wale wanaonunua watu wanapeta zaid kuliko wale waadilifu.

BTW hebu nijuze jambo ambalo hata mkanadara anataka kulijua huku UKAWA mtu ambaye sio kiongozi ni raia tu lkn mwana chama wa chama kilichopo kwenye huo umoja anaweza kutangaza nia ama kugombea nafasi ya urais? kama ndio je mwanachama huyu anyajuaje makubaliano yaliyopo ndnai ya kundi hili na pia ilan yao ya uchaguzi?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…