Makongoro Nyerere jifunze kutoka kwa Chalamila, punguza Masihara

Sawa endelea kushangilia mkuu.
 
Wewe inaonekana kumhurumia Moko kuliko wewe mwenyewe unavyotakiwa ujiurumie
 
Nia yako ni kumtetea huyo clown. La Makongoro ni mengineyo
 
exactly, nami nimeandika hivyi twita mchana huu! Uko sahihi kabisa. Hakuna nia ya kusema watu waje na mabango ya kumtukana Rais, alimaanisha kama wana grievancies na yeye kama RC , basi hata mabango ya matusi waje nayo tu!
 
Unampotosha, kama hataki uteuzi ana uhuru wa kukataa.
 
Huyu chapii asipojirekebisha hamalizi mwaka atazinguliwa,ana mizaha ya kibwege bwege sana
 
Samia ni Magufuli.

Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc

Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Samia kateuliwa na magufuli? Alimteua akiwa kama nan
 
Samia ni Magufuli.

Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc

Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Yale ya mwigulu kumbe hayana ukweli!
 
Makongoro tena awe makini sanaaaa, mzaha mzaha hutumbua usaha, sasa Makongoro aache kabisa ule utani utani wake usio na maana, kazi kucheka cheka kila dakika moja kucheka cheka, aachane na hilo haraka sana, najua Makongoro sio mtu wa maendeleo kivile, na hilo ageuke haraka, awe mtu wa maendeleo haraka kwa watu wa Mkoa wa Manyara, aache story na kusema sema mambo ya historia, achape au aongoze watu wachape kazi.
 
"Kikofia hoyeee!!!,kifimbo hoyeee!!!......."

"Naenda shule yupoo!!![emoji1]...naensa jeshini yupo!!![emoji1]... naoa yupo!!!![emoji1] Hadi Leo nazeeka yupoooo!![emoji1]...."

Huyu mzee comedy Sana ana mixing Fulani ya mzee mchonga[emoji1]
 
Huyu jamaa labda humfahamu vizuri, Hakuna anachopoteza hata akitumbuliwa

Yeye ilimradi apate muda wa kukaa na washkaji jioni any we kahawa au chai au bia zake mbili baaas

Uteuzi sio maisha yake wala kutenguliwa hakutampa stress nakuambia

Maisha yake ni ya kijamaa sana na Itikadi ya kijamaa ikimuingia ndani ya damu yake

Usifikiri kuna watu wanateseka sana na hizi teuzi.

Ninamfahamu tangu zamani, angekuwa wa kung'ang'ania madaraka angefanya hivyo tangu zamani tu
 
Ndio namwambia mtoa mada kuwa CHEO hakimtishi wala kumbadilisha Makongoro

Aliishi hivyo kwa miaka kadhaa na kumtengua hakumpi stress
 
Ingekuwa mizaha inaathiri utendaji wa kazi na mwenye mizaha anatakiwa atumbuliwe mtu wa kwanza kutumbuliwa angekuwa Magufuli.
 
Siyo kila anayeteuliwa ana shida ya uteuzi. Ila heshima ya kuaminiwana na rais wa nchi ni kitu kikubwa, kuipoteza hiyo eti kusa una vijisenti viwili vitatu vya kunywa kahawa na bia na washikaji zako si jambo la kujivunia.
 
Watu ni wapumbavu sana yani wanataka watu wanyenyekee vyeo utafikiri vitawapeleka mbinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…