goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
Sawa endelea kushangilia mkuu.Muone Mataga anajipa moyo! Mkija kushtuka, mtajikuta wote mko barabarani mnauza madafu! Kama ulikua hujui, huu ndiyo ukweli mchungu! Samia ni JK! Na wala siyo Magufuli kama unavyo ota.
Magufuli wako aliwapiga zengwe akina Amos Makala na Batilda Burhan (Team JK), Mama kawarudisha kundini! Halafu hao Team Magufuli wenzako ndiyo anawatumbua tu mmoja baada ya mwingine! Kuanzia Bashiru Ali, Sabaya, Chalamila! List bado inaendelea! Mpaka Mataga wote muishe!
Kwanza kasema alimuua mtu! Au alikuwa ana Tania?Chalamila kaondolewa kwa mambo mengi, alitakiwa kuondolewa kitambo
Nia yako ni kumtetea huyo clown. La Makongoro ni mengineyoBrother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi! Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa Mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!
Ukizingatia kuwa clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1. Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
exactly, nami nimeandika hivyi twita mchana huu! Uko sahihi kabisa. Hakuna nia ya kusema watu waje na mabango ya kumtukana Rais, alimaanisha kama wana grievancies na yeye kama RC , basi hata mabango ya matusi waje nayo tu!Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa Mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!
Unampotosha, kama hataki uteuzi ana uhuru wa kukataa.Kwa lugha rahisi unataka Makongoro aishi kama yuko Jela.
Maisha hayawezi kusimama kwakuwa eti mtu siyo mkuu wa mkoa.
Acheni kuabudu TEUZI.
Makongoro siku zote yuko hivyo, leo ana miaka karibu 60 ndio unategemea kwasababu umemteua Mkuu wa mkoa ndio atabadilika.
Muacheni huyu mzee hana shida na mtu yuko poa sn, wakati mwingine kunyenyekea sn napo ni upumbavu tupu.
Huyu chapii asipojirekebisha hamalizi mwaka atazinguliwa,ana mizaha ya kibwege bwege sanaBrother Mako
Najua wewe ni mtu wa masihara na utani utani mwiiingi. Utani hoye!
Najua wewe ndivyo ulivyo toka long time kitambo.
Ila nataka nikueleze kitu, Kuwa makini sana na utani wako usifikie hatua ya kuharibu haiba na taswira ya taasisi ya Urais au rais mwenyewe!. Namaanisha ukimtaja rais mtaje si katika muktadha wa masihara masihara, bali mtaje ukiwa serious na kwa vitu serious. Kama unataka kumtania rais basi acha hiyo kazi aliyokuteua, njoo JF tumtanie na tumchane kwelikweli akizingua!
Chalamila leo katumbuliwa, naamini sababu kubwa haswa ni ile clip aliyosikika akisema kuwa kwenye ziara ya rais huko Mwanza watu wanaweza kubeba mabango yoyote yale hata kama ni matusi! Naamini kabisa from the bottom of my heart kuwa Chalamila hakumaanisha kuwa watu wanaweza kubeba mabango ya Kumtukana rais, Bali alimaanisha kuwa watu kama wanahisi wana hasira dhidi ya utendaji wa mkoa wa Mwanza basi hata kubeba mabango ya kuwatukana viongozi wa mkoa huo mbele ya rais basi sawa tu!
Ukizingatia kuwa clip ya Chalamila imekatwa, watu wanaweza kushindwa kujua nini logic ya kauli yake. Hata hivyo Chalamila naye ameshindwa kutumia busara kwa kushindwa kujua kuwa kauli yake inaweza kutafsirika vibaya kuwa
1. Anacheza shere agizo la rais la kuruhusu watu kubeba mabango kwenye ziara zake.
2. Kwamba anamchukulia poa rais kwa kutoa kauli za mizahamizaha
Sasa ndugu Mako, kuwa Makini na mizahamizaha hasa juu ya maagizo ya rais. Mzaha ni bora uende vizuri ila ukienda vibaya, na wabaya wako wakaikatakata clip yako ili kukuchongea, hutaeleweka vizuri.
Nakushauri ndugu Mako, Fanya Mzaha 1% ila piga kazi 99%. Na mzaha wako usiinvolve jina la rais kabisa kwa sababu ukikosea pale utapata tabu sana.
Kumbuka busara za bungeni kwa nini kuna kanuni ya kutolitumia jina la rais kwa njia za mizaha ili kujipatia uhalali wa hoja.
Samia kateuliwa na magufuli? Alimteua akiwa kama nanSamia ni Magufuli.
Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc
Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Yale ya mwigulu kumbe hayana ukweli!Samia ni Magufuli.
Samia aliteuliwa na Magufuli kama alivyoteuliwa Sabaya, Hapi, Majaliwa,Mpango etc
Acha wanafunzi wa Magufuli waumane
Ndio namwambia mtoa mada kuwa CHEO hakimtishi wala kumbadilisha MakongoroKwa lugha rahisi unataka Makongoro aishi kama yuko Jela.
Maisha hayawezi kusimama kwakuwa eti mtu siyo mkuu wa mkoa.
Acheni kuabudu TEUZI.
Makongoro siku zote yuko hivyo, leo ana miaka karibu 60 ndio unategemea kwasababu umemteua Mkuu wa mkoa ndio atabadilika.
Makongoro Nyerere amezaliwa January 30th 1959 hivyo ana miaka 62Ana miaka 72 hana cha kupoteza
Siyo kila anayeteuliwa ana shida ya uteuzi. Ila heshima ya kuaminiwana na rais wa nchi ni kitu kikubwa, kuipoteza hiyo eti kusa una vijisenti viwili vitatu vya kunywa kahawa na bia na washikaji zako si jambo la kujivunia.Huyu jamaa labda humfahamu vizuri, Hakuna anachopoteza hata akitumbuliwa
Yeye ilimradi apate muda wa kukaa na washkaji jioni any we kahawa au chai au bia zake mbili baaas
Uteuzi sio maisha yake wala kutenguliwa hakutampa stress nakuambia
Maisha yake ni ya kijamaa sana na Itikadi ya kijamaa ikimuingia ndani ya damu yake
Usifikiri kuna watu wanateseka sana na hizi teuzi.
Ninamfahamu tangu zamani, angekuwa wa kung'ang'ania madaraka angefanya hivyo tangu zamani tu
Watu ni wapumbavu sana yani wanataka watu wanyenyekee vyeo utafikiri vitawapeleka mbinguni.Kwa lugha rahisi unataka Makongoro aishi kama yuko Jela.
Maisha hayawezi kusimama kwakuwa eti mtu siyo mkuu wa mkoa.
Acheni kuabudu TEUZI.
Makongoro siku zote yuko hivyo, leo ana miaka karibu 60 ndio unategemea kwasababu umemteua Mkuu wa mkoa ndio atabadilika.