Makongoro Nyerere kuvalia Shati la CCM katika Msiba wa Dada yako Rosemary wakati Makamu wa Rais tu hakuvalia hivyo umejifunza nini?

Makongoro Nyerere kuvalia Shati la CCM katika Msiba wa Dada yako Rosemary wakati Makamu wa Rais tu hakuvalia hivyo umejifunza nini?

Kumbuka huyu huyu makongoro amewahi kuwa mpinzani. Kitu kama ni kibaya wacha kisemwe
Kibaya kivipi? Mtu kuvaa nguo ya ccm tena kwenye msiba wa familia yake nyie inawahusu nini?? Kama angekuja na hiyo nguo kwako hapo ungelalamika.
Acheni ujinga nyie wajinga
 
We jamaa nakuita mjinga. Unampangia mtu avae nini? Wewe hiyo nguo ya ccm inakuhusu nini?
CCM ya Rais Magufuli ( ya Awamu hii ya Tano ) imepata bahati mbaya mno ya kuwa na Moron Supporters kama hivi Wewe. CCM ijitathmini haraka.
 
Matusi ya nini? Wewe ungetoa tu ushauri wako! Mawazo ya mtu yaheshimuwe.
 
CCM ya Rais Magufuli ( ya Awamu hii ya Tano ) imepata bahati mbaya mno ya kuwa na Moron Supporters kama hivi Wewe. CCM ijitathmini haraka.
Wewe ni mjinga, nani amekuambia mimi ccm? Nimekueleza mtu kuvaa shati la chama nyumbani kwake kwenye shughuli zao sisi haituhusu
Unajuaje kama huyo mdogo wake alimwambia siku akifa avae shati analopenda? Na yeye shati analopenda ndio hiko la ccm?
 
Wewe ni mjinga, nani amekuambia mimi ccm? Nimekueleza mtu kuvaa shati la chama nyumbani kwake kwenye shughuli zao sisi haituhusu
Unajuaje kama huyo mdogo wake alimwambia siku akifa avae shati analopenda? Na yeye shati analopenda ndio hiko la ccm?
Marehemu Rosemary Nyerere kwa jinsi nilivyomjua na alivyowazidi Watoto wote wa Hayati Akili ( IQ ) asingeweza Kumwambia avae Jezi ya CCM.
 
Nilisoma naye tangu O level hadi A level Tabora School; wakati wa vita ya Uganda tukiwa JKT yeye alipelekwa frontline, lakini mimi na baadhi yetu tukawekwa communications unit ya Brigade.
thanks for your service.
Swali
Kwa kuwa umemfahamu Mako muda mrefu tangu shuleni ambapo tabia ya mtu haijifichi saaana. Hivi huyu jamaa hakuwai kuwa na hekima kabisaa ya kiungozi au aliharibikiwa na ulevi kama wengi wanavyomuita.
 
Post za kiumbea hizi: Kwa nini usiende kumwambia makongoro mwenyewe badala yake utuletee sisi? Utakerwaje na mavazi ya mtu mwingine?
Hili jamaa ndo maana lilipigwa ban kwa ile Id nyingine....

Limekuja kivingine...
 
Hivi huko kwa familia ya Nyerere si kuna waliosoma ? Ombi langu kwao waandike kitabu cha mama yao...kuhusu kila kitu kama mama yao aonavyo kwa maoni yake....kitabu kizinduliwe baada ya mama yao kumaliza mwendo wa safari ya hapa duniani.
Ni maoni siyo uchuro. nahisi mama anamengi ya kusema au kuyasemea ila hadhi na madaraka ya kifamilia vinambana
 
Marehemu Rosemary Nyerere kwa jinsi nilivyomjua na alivyowazidi Watoto wote wa Hayati Akili ( IQ ) asingeweza Kumwambia avae Jezi ya CCM.
We jamaa unazidi kuonyesha kuwa ni mjinga. Hiyo IQ umewapima lini?
Unamjua Rose kuliko kaka yake anavyomjua?
 
We jamaa unazidi kuonyesha kuwa ni mjinga. Hiyo IQ umewapima lini?
Unamjua Rose kuliko kaka yake anavyomjua?
Sasa kama Hayati Baba yao namjua vyema tu na kupita pia katika Malezi yake nikiwa Mdogo hadi najitambua nitashindwa Kuwajua Watoto wake?
 
Poleee kwa wafiwa wote,. RIP mpendwa Rosemary
 
hilo shati ni la kwaida ndio maana kalivaa,mbona mimi nimempa mdogo wangu anachungia ng'ombe
 
Hivi Makamu wa Rais, Waombolezeaji wote waliopo hapo pamoja na Mama yako unadhani Wao hawana Sare zao za Vyama wanavyovishabikia ( kikiwemo cha CCM ) hadi Wewe ndiyo uvalie Shati la CCM peke yako hapo Kwenu Msasani?

Hebu acheni kufanya mambo ya Kipuuzi na kutaka kila mara Kuifanya hii Misiba ikae Kivyama ( Kisiasa ) wakati bahati nzuri Marehemu Dada yako Rosemary Nyerere alikuwa ni Mtu wa Kujichanganya na Kila rika la Watu na Makundi yao tofauti pia.

Anaipenda sana ccm
 
Back
Top Bottom