Burito nyanza
Senior Member
- Jan 2, 2021
- 135
- 115
Hizo ni dalili za JF kuishiwa.swala la mavazi ya MTU tunakaa kuumiza vichwa kujadili duu ni hatari ,itafika MDA tutawazia kuanzia kujadili hata faraga ya MTU na mke wake.kuishiwa ni hatari Sana tafadhali tuangalie vitu vya mana.