Makongoro Nyerere kuvalia Shati la CCM katika Msiba wa Dada yako Rosemary wakati Makamu wa Rais tu hakuvalia hivyo umejifunza nini?

Makongoro Nyerere kuvalia Shati la CCM katika Msiba wa Dada yako Rosemary wakati Makamu wa Rais tu hakuvalia hivyo umejifunza nini?

Hizo ni dalili za JF kuishiwa.swala la mavazi ya MTU tunakaa kuumiza vichwa kujadili duu ni hatari ,itafika MDA tutawazia kuanzia kujadili hata faraga ya MTU na mke wake.kuishiwa ni hatari Sana tafadhali tuangalie vitu vya mana.
 
thanks for your service.
Swali
Kwa kuwa umemfahamu Mako muda mrefu tangu shuleni ambapo tabia ya mtu haijifichi saaana. Hivi huyu jamaa hakuwai kuwa na hekima kabisaa ya kiungozi au aliharibikiwa na ulevi kama wengi wanavyomuita.
Hapana, alikuwa na tabia nzuri tu, tena ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa vijana shuleni. Ila siku moja aliendesha mgomo dhidi ya uongozi wa shule kwa kuwa tulikuwa tunapikiwa chakula kibovu!
 
Kwahiyo mtu akipiga gitaa na ukiwa umesoma naye hawezi kuua? Utetezi gani huu?!
Unadhani kweli Makongoro aue mtu kwenye mji mdogo kama Tabora ya wakati huo isijulikane kweli kwenye mji mzima?
 
Asilimia 70 ya mijadala ni kujadili watu. Umesahau Mwanakijiji alivokuwa akimshambulia Kikwete?
Tunaweza kujadili sera na na tabia za viongozi, lakini asiyo kujibu mada alioandikiwa mtu raia mwingine. Ukisoma mada hiyo iliandikwa kama barua ya kwenda kwa makongoro, sasa sisi tutaingiliage barua ya mtu mwingine.
 
Back
Top Bottom