Makongoro Nyerere: Nimenusurika, kama ningeondolewa ningesikitika maana ndio kwanza nimeanza kuwazoea

Makongoro Nyerere: Nimenusurika, kama ningeondolewa ningesikitika maana ndio kwanza nimeanza kuwazoea

Asiwe na wasiwasi,asiji-underrate sana,yeye alitakiwa awe Rais,sijui haiba inamkwamisha,sijui.
 
Asiwe na wasiwasi,asiji-underrate sana,yeye alitakiwa awe Rais,sijui haiba inamkwamisha,sijui.

Nyerere hajawalea watoto wake malezi ya kuwafanya waamini lazima wapate kila kitu kwenye hii nchi.
Yupo jamaa wa Pwani watoto wake kila kilichopo kwenye hii nchi wanataka kiwe chao au nao wawemo, wana utajiri wa kutisha lakini hawaridhiki kila siku ni kufanya lobbying kila kinachojitokeza kwenye uso wa Tanzania.


Hii nchi haifiki kokote kama familia ya mtu huyu itaendelea kuwa hai na kuendeleza harakati zao za kitamaa
 
Nyerere hajawalea watoto wake malezi ya kuwafanya waamini lazima wapate kila kitu kwenye hii nchi.
Yupo jamaa wa Pwani watoto wake kila kilichopo kwenye hii nchi wanataka kiwe chao au nao wawemo, wana utajiri wa kutisha lakini hawaridhiki kila siku ni kufanya lobbying kila kinachojitokeza kwenye uso wa Tanzania.


Hii nchi haifiki kokote kama familia ya mtu huyu itaendelea kuwa hai na kuendeleza harakati zao za kitamaa
Yawezekana ulichoandika,ni kweli kwasababu kila mtu makini anaona hali inavyokua na ilivyo.
 
Makongoro mtu poa sana, hana makuu
Watu wanachotaka ni Maendeleo na kutimiza ilani ya chama, hayo makuu au madogo abaki nayo. Ingekua tunataka watu wasiokua na makuu tungeteua masheikh na wachungaji
 
View attachment 2307017

Saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa na kuwaondoa tisa, leo Alhamisi Julai 28, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere amemshukuru mkuu huyo wa nchi kwa kuendelea kuhudumu katika mkoa huo na kusisitiza kuwa amenusurika.

“Rais (Samia Suluhu Hassan) amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa kwa nia njema, lakini mimi ndugu yenu nimenusurika, kama ningeondolewa ningesikitika maana ndio kwanza nimeanza kuwazoea,” - Makongoro Nyerere.

Makongoro ameyasema hayo leo hii wakati wa zaiara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa akikagua ujenzi wa miundombinu ya Shule ya Sekondari Matui Wilayani Kiteto.
Amewapa kitu kizito watumishi, wa umma, asubili matakeo bora watu Andamana mitaani kuliko moyoni, na asijidanganye endelea kuwa mkuu ,haipo iyo
 
View attachment 2307017

Saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa na kuwaondoa tisa, leo Alhamisi Julai 28, 2022, Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere amemshukuru mkuu huyo wa nchi kwa kuendelea kuhudumu katika mkoa huo na kusisitiza kuwa amenusurika.

“Rais (Samia Suluhu Hassan) amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa kwa nia njema, lakini mimi ndugu yenu nimenusurika, kama ningeondolewa ningesikitika maana ndio kwanza nimeanza kuwazoea,” - Makongoro Nyerere.

Makongoro ameyasema hayo leo hii wakati wa zaiara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Innocent Bashungwa akikagua ujenzi wa miundombinu ya Shule ya Sekondari Matui Wilayani Kiteto.
Huyu nae hayuko sawa Anadhani Ukuu wa Mkoa atadumu nao ipo Siku ataondoka tu
 
Mimi napenda tu alivyo fanana na mwalimu nyerere, hua nikimuona napata amani kama vile ngekuwepeo Nyerere, lakini amejaliwa masihara mengi yaliyomfanya asiwe smart kama mzee wake.
 
View attachment 2307017

Saa chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mabadiliko ya Wakuu wa Mikoa na kuwaondoa tisa, leo Alhamisi Julai 28, 2022,

“Rais (Samia Suluhu Hassan) amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa kwa nia njema, lakini mimi ndugu yenu nimenusurika, kama ningeondolewa ningesikitika maana ndio kwanza nimeanza kuwazoea,” - Makongoro Nyerere.
Kama angeondolewa ingekuwa kwa nia njema vilevile
 
Back
Top Bottom